Baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama ni timamu, je, tumshauri to do "The needful?" au akomae nao, till they do him away?

Tena anawajua vizuri sana!

Aliwajua mapema sana maadui wa nchi hii hata kabla hajawa rais.

Wewe unadhani Shaka kuwa Mwenezi ni bahati mbaya?? Kazi na iendelee........
Lazima ajue maana yeye ndie alikuwa bingwa wa hizo mishe kwa hayati na mtoa Siri mkuu wa serikali Ila asubirie karma iko njiani atakosa wa kumlalamikia tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Viongozi hawawazi shinda za wananchi lakin wanawaza uchunguzi wa 2025 ni aibu sana ,vijijin hakuna umeme ,maji ,hospital na madawa,watoto wanaenda peku mashulen ,wafanya Kazi mishahara haiongezek
Mtoto kwenda peku shuleni ni ujinga na upumbavu wa mzazi. Sio Kila kitu Cha kuilalamikia serikali
 
Covid 19 akina Mdee wana kadi gani ya Chama?
 
Team Ndugai wataelewa tu.
 
Hakuna atakayeamsha vita ndani ya ccm. Kumbuka wengi ni mafisadi na wana makando kando mengi. Ni rahisi kushughulikiwa ukiinua kichwa tu. Wapinzani ndio wanaweza. Kauli ya Nduhai imeshasemwa na wapinzani kila mara lakini hawakufanywa kitu maana hawana cha kupoteza.
 
Kumbe huyu mama anachamba hivi? Mie nilikua namuonaga mpolee na hana mambo mengi, mmmmmmh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kilitokea kundi kubwa wakiwa na "imani " na mtu wao ambae alikuwa na pesa na ushawishi mpaka kwa baadhi ya wana CHADEMA.

Mwenyekiti wa Chama alikuja na kumkata hata 5 minutes haikuchukua.

Hebu tumtafute Jumbe Brown atukumbushe
Mkuu wangu 🤣🤣🤣

Yaani leo hii UNASIMAMIA KUIPITISHA BAJETI ambayo ndani yake ina mikopo ya wadau wa kimaendeleo halafu punde unaibagaza mikopo hiyo!!!! 🤣🤣🤣

#Siempre JMT
#Siempre Chief Hangaya 🙏
 
Babu umefikiria ze same
 
Inabidi arudi kumsoma napoleon bonaparte. Isitoshe mama hana uhodari wowote sio yeye wala waliomzunguka.....
Endelea kukariri tu.....

Ni hayati baba wa taifa aliyetuwekea utaratibu kuwa UTII KWA MWENYEKITI NI LAZIMA...IWE HADHARANI AMA KIFICHONI......
Hizo ndizo itikadi zetu tunazoziimba katika madarasa ya ITIKADI.....

CCM imefika hapa kwa sababu ya kanuni hiyo KUU....

#Siempre JMT🙏
#SiempreChiefHangaya🙏
 
Tunataka Katiba Mpya.
 
Tizama mtu wetu alifanya kosa la kuomba msamaha technical error. Lakini kwa vile mtu wetu nae anao muhimili wake basi autumie vizuri awashawishi wabunge wapige kura ya no confidence na serikali, bunge livunjwe uchaguzi uitishwe atakaepata apate na atakaekosa akose. Huko CCM mwanachama yoyote aruhusiwe kugombea hiyo kofia ya mfalme
 
Kilitokea kundi kubwa wakiwa na "imani " na mtu wao ambae alikuwa na pesa na ushawishi mpaka kwa baadhi ya wana CHADEMA.

Mwenyekiti wa Chama alikuja na kumkata hata 5 minutes haikuchukua.

Hebu tumtafute Jumbe Brown atukumbushe
Komredi umenikumbusha mbali sana 🤣🤣🤣

Huku arbabu mwenyekiti wa CCM kule Kanda ya ziwa mh.mzee KM akisimama imara mno kutetea jahazi....nyimbo zikahanikizwa "TUNA IMANI NA DESH DESH OYAA OYAA OYAAA"🎼🎼
Wajumbe "wake" waliokuwa ni zaidi ya 70% ya akidi ya wajumbe wote hawakumsaidia "mwamba" kutokuzama🤣
NGUVU YA MWENYEKITI IKAONEKANA NA PANGA LIKAFYEKA SHINGO YA MTU.....

#SiempreJMT🙏
#SiempreCCM💪
#SiempreSSH🙏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…