Baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama ni timamu, je, tumshauri to do "The needful?" au akomae nao, till they do him away?

Baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama ni timamu, je, tumshauri to do "The needful?" au akomae nao, till they do him away?

Wanabodi,
Hili ni bandiko la ma GT, hivyo hatutataji majina na naomba usitaje jina lolote!.

Hatua ya kwanza ni sikiliza kauli hii


Hivi hata baada ya kauli kama hii, kama wewe ni mtu mzima na akili zako timamu, bado unasubiri nini to do the right thing, the needful?.

Swali ni jee tumshauri mtu wetu, a do the needful, au akomae nao, till they do him away?.

Mimi nimemsikiliza Mama, kiukweli hajamtendea haki mtu wetu!, zile kauli kuhusu tozo, mikopo na deni la Taifa ni kauli za kizalendo na wala sio homa 2025, kwasababu kiukweli kabisa mtu wetu, hajawahi hata kuwazia 2025 kwasababu ndani ya CCM kuna a silent code ya kupokezana fulani kati ya Wakatoliki na wale jamaa zetu!.

Kwa vile alianza Mkatoliki, Juliasi akaja Jamaa zetu, Hasani, akaja Mkatoliki Benyamini Wiliamu, akaja jamaa zetu Mrisho, akafuta Yohane Yosefu, hivyo 2025 ilikuwa ni zamu ya wale jamaa zetu na Mungu ndio akawatangulizia, hivyo kusema kauli ile ya kizalendo ni homa ya 2025, huku ni kumsingizia bure tuu huyu mtu wetu!.

Kwa vile the boss is always right, ikitokea ume differ na boss wako, to the point ya bosi wako to question your intellect "mtu mzima mwenye akili timamu", the best way is to Quitt, the sooner, the better.

Namalizia kwa swali hili la msingi, baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama mtu wetu ni timamu, he shoud do the right thing, "the needful", jee tumshauri to do the right thing, "The Neeful?", before its too late, au akomae nao, mpaka kieleweje, if it is to do him away, akomae till they do him away?. The game is on again, it is not over yet until it's over.

I migh end up being right again!

Paskali

Wewe njaa kali una stress kwa kuondokewa na nduguyo. Huna jipya.
 
Wanabodi,
Hili ni bandiko la ma GT, hivyo hatutataji majina na naomba usitaje jina lolote!.

Hatua ya kwanza ni sikiliza kauli hii


Hivi hata baada ya kauli kama hii, kama wewe ni mtu mzima na akili zako timamu, bado unasubiri nini to do the right thing, the needful?.

Swali ni jee tumshauri mtu wetu, a do the needful, au akomae nao, till they do him away?.

Mimi nimemsikiliza Mama, kiukweli hajamtendea haki mtu wetu!, zile kauli kuhusu tozo, mikopo na deni la Taifa ni kauli za kizalendo na wala sio homa 2025, kwasababu kiukweli kabisa mtu wetu, hajawahi hata kuwazia 2025 kwasababu ndani ya CCM kuna a silent code ya kupokezana fulani kati ya Wakatoliki na wale jamaa zetu!.

Kwa vile alianza Mkatoliki, Juliasi akaja Jamaa zetu, Hasani, akaja Mkatoliki Benyamini Wiliamu, akaja jamaa zetu Mrisho, akafuta Yohane Yosefu, hivyo 2025 ilikuwa ni zamu ya wale jamaa zetu na Mungu ndio akawatangulizia, hivyo kusema kauli ile ya kizalendo ni homa ya 2025, huku ni kumsingizia bure tuu huyu mtu wetu!.

Kwa vile the boss is always right, ikitokea ume differ na boss wako, to the point ya bosi wako to question your intellect "mtu mzima mwenye akili timamu", the best way is to Quitt, the sooner, the better.

Namalizia kwa swali hili la msingi, baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama mtu wetu ni timamu, he shoud do the right thing, "the needful", jee tumshauri to do the right thing, "The Neeful?", before its too late, au akomae nao, mpaka kieleweje, if it is to do him away, akomae till they do him away?. The game is on again, it is not over yet until it's over.

I migh end up being right again!

Paskali
Mama anafaa kuongozi TOT band na kula urojo,uraisi hawezi yani ni mweupe
 
Akufukuzae hakuambii toka”
Na Rais akitoa kauli sio lazima afukuze ila la kufukuza mtu kaishalisema kama huyo jamaa kaelewa aondoke tu kwani kuna na bifu na mkubwa kwako kicheo tena top haina afya kabisa

Aliposema atawatoa ili waende kujiandaa na 25 hiyo kauli maana yake ondoka

Hapo ni uamuzi wake sasa aidha kukomaa na kumkodolea macho Boss au aende
Huenda alikosea kwenda hewani badala ya kwenda kule kweupe kukutana ana kwa ana ingekuwa bora zaidi ila naona hapo pia aliona sio same gender akafanya dharau huku akijua kuna mpaka hawezi kuvuka

Aidha ajishushe na kwenda kuonana nae au akomae kidume ingawa hatakuwa na furaha
Downloading.........
 
Mkuu Pascal Mayalla nadhani hii ngoma bado mbichi.

Kwanza kabisa mi naamini Mh. Job Ndugai hakumaanisha kudharau mamlaka ya Rais, ila alichukulia ni kauli ya kawaida kama ambavyo unajua watanzania.

Ila Mh. Rais inaonekana hajiamini kabisa kutokana na makundi yaliyopo ndani ya CCM na hii ilichangiwa na huyo mnoko aliyemuambia adui yake ni shati la kijani (mtu huyu alijua madhaifu ya Mama akaona amfarakanishe kabisa na wana CCM ili wao ikija 2025 wapate pakutokea).

Jambo lingine lililopo mbele ni uwezekano wa Mama kupigiwa kura ya kutokuwa na imani naye (hii inawezekana kabisa kwa sababu mpaka sasa Mama ni dhahiri kifo cha Dkt Magufuli yeye ni kama alikipanga kitokee awe Rais (hii inatokana na kauli zake za kudra za mwenyezi mungu na uchu wa urais alionao).

Uchu wake wa urais umemjengea maadui wengi sana ndani ya CCM na kwa sasa wanamuangalia kama adui yao namba moja kiasi kwamba wabunge wengi wataunga mkono hoja ya kutokuwa na imani na rais.

Na Ndugai hawezi kuachia ngazi labda wamuue kwa sababu hana cha kupoteza.

Na huu ugomvi mama kautafuta mwenyewe kwa kuamini vitu ambavyo si vya kweli kwa sababu moyoni mwake kabisa Ndugai naamini hakumaanisha kudharau mamlaka ya rais na viongozi wote waandamizi wanamheshimu mama ila yeye mama inaonekana ni mtu wa kujishuku shuku, na hiyo inaweza pelekea kuungwa mkono Ndugai bungeni na hatimaye kumpigia kura ya kutokuwa na imani Mama.

Mama asipokuwa makini, hatoweza kutimiza miaka yake 5, atapigiwa kura ya kutokuwa na imani na urais wake ukaishia hapo na tena wanaweza hata kumfungulia mashitaka na anaweza kusota ndani kwa sababu yeye kaonekana kushangilia kifo cha mtangulizi wake na uchu wa urais (kwa sababu aelewe aliyekufa ni mtu mmoja-Dkt Magufuli na ile machinery ya urais ipo inamcheki vizuri mienendo yake).
Unaifahamu nguvu ya Rais wa JMT? Kura ya kutokuwa na imani hapa Tanzania? Na hili hili bunge la ndugai? Lady, what have you been smoking?
 
Unakosea sana unaposema Rais ni boss wa Spika! Unbelievable!
JPM alisema huu ni mhimili uliojichimbia chini zaidi. Ndio mhimili unaotafuta hela na kulipa.

Kwa katiba hii kiukweli kabisa, Rais ni bosi wa Spika na Jaji Mkuu. Sasa mathalani Jaji mkuu anateuliwa na Rais, hivi kiukweli Rais sio bosi wake? Aliyekuteua ataachaje kuwa bosi wako???Spika ni mwanachama wa CCM ambapo Rais ndio Bosi wa chama.... kweli kabisa unadhani Rais sio bosi wa spika??

Vyombo vyote vya ulinzi na usalama viko chini ya Rais, BOT na vyanzo vyote vya mapato viko chini ya Rais..

Kwa katiba hii, narudia tena kwa katiba hii, baada ya Mungu mwenye mamlaka kuu katika nchi ni Rais

Hii mihimili mingine ipoipo tu...

Kama vipi wabishe waone...
 
Mkuu Pascal Mayalla nadhani hii ngoma bado mbichi.

Kwanza kabisa mi naamini Mh. Job Ndugai hakumaanisha kudharau mamlaka ya Rais, ila alichukulia ni kauli ya kawaida kama ambavyo unajua watanzania.

Ila Mh. Rais inaonekana hajiamini kabisa kutokana na makundi yaliyopo ndani ya CCM na hii ilichangiwa na huyo mnoko aliyemuambia adui yake ni shati la kijani (mtu huyu alijua madhaifu ya Mama akaona amfarakanishe kabisa na wana CCM ili wao ikija 2025 wapate pakutokea).

Jambo lingine lililopo mbele ni uwezekano wa Mama kupigiwa kura ya kutokuwa na imani naye (hii inawezekana kabisa kwa sababu mpaka sasa Mama ni dhahiri kifo cha Dkt Magufuli yeye ni kama alikipanga kitokee awe Rais (hii inatokana na kauli zake za kudra za mwenyezi mungu na uchu wa urais alionao).

Uchu wake wa urais umemjengea maadui wengi sana ndani ya CCM na kwa sasa wanamuangalia kama adui yao namba moja kiasi kwamba wabunge wengi wataunga mkono hoja ya kutokuwa na imani na rais.

Na Ndugai hawezi kuachia ngazi labda wamuue kwa sababu hana cha kupoteza.

Na huu ugomvi mama kautafuta mwenyewe kwa kuamini vitu ambavyo si vya kweli kwa sababu moyoni mwake kabisa Ndugai naamini hakumaanisha kudharau mamlaka ya rais na viongozi wote waandamizi wanamheshimu mama ila yeye mama inaonekana ni mtu wa kujishuku shuku, na hiyo inaweza pelekea kuungwa mkono Ndugai bungeni na hatimaye kumpigia kura ya kutokuwa na imani Mama.

Mama asipokuwa makini, hatoweza kutimiza miaka yake 5, atapigiwa kura ya kutokuwa na imani na urais wake ukaishia hapo na tena wanaweza hata kumfungulia mashitaka na anaweza kusota ndani kwa sababu yeye kaonekana kushangilia kifo cha mtangulizi wake na uchu wa urais (kwa sababu aelewe aliyekufa ni mtu mmoja-Dkt Magufuli na ile machinery ya urais ipo inamcheki vizuri mienendo yake).
[emoji3][emoji3]
FHb_m5cWUAM6cVb.jpg


Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Muhimili umesutwa.... Mipasho....

Infact nchi yetu ni ya hovyo sana... Yaaani spika kafanya kazi yake halafu kaomba na msamaha... Baadae kapigwa mipasho.... Na bado amekomalia kiti...

Mkuu tatizo la viongozi wetu ni ugali... Vieitte... So hawez kuachia ngazi... Nadhani hadi wao wamuachishe iwe kwa aibu au dharau.
 
Pascal acha unafiki wako, huyo unayesema mtu wenu amesingiziwa kipi ambacho hakusema kwenye ile clip? Ukisikiliza kwa makini bila ushabiki utasikia pale anapohitimisha na kusema TUONE hapo 2025 kama hao watu wa tozo watakubalika au la!!! Sasa huo sio usemi wa kuonesha stress za uchaguzi hapo ifikapo 2025?
Turudi sasa kwenye ukweli; unadhani watakubalika?
 
Back
Top Bottom