Mama inawezekana hana taarifa za kina kuwa hana support ya kutosha ndani ya CCM na atakuja kushituka kina Ndugai wako wengi tu wakiwemo wanaojidai kumuunga mkono leo hii kumbe wanamlia timing tu.
Kuna wataomuunga mkono kutafuta uteuzi tu na sio kwamba wako loyal kwake.
Hata Trump aliachiwa agombee second term, hata biden kama atakuwa uzee haujamzidia, watamwachia agombee second term,,
This is common,, kwanini mtake yeye aishie one term?,, Hizi dharau kwa wanawake hazipaswi kuachiwa..
Enzi za Jpm hawa kina ndugai walikuwa wanyenyekevu sana,
Siku hizi eti hadi kina Pambalu wanaongea na taifa,, hizi ni dharau,, kila mtu karefusha mabega sababu Rais ni mwanamke,,, [emoji20]
Hata hivyo, ni makosa kumlinganisha huyu na watu ambao hawakuwa marais kwa kubebwa na katiba. Hao wengine walipatikana kwa kushindanishwa na watu wengine kipindi chao cha kwanza. Kwa huyu, no one ran against her; hajapitia mchujo wa kawaida wa wagombea urais. Katika hali ya kawaida, mtu anayemalizia ngwe ya mtu mwingine hastahili kuachwa agombee pekee yake!
Mama inawezekana hana taarifa za kina kuwa hana support ya kutosha ndani ya CCM na atakuja kushituka kina Ndugai wako wengi tu wakiwemo wanaojidai kumuunga mkono leo hii kumbe wanamlia timing tu.
Kuna wataomuunga mkono kutafuta uteuzi tu na sio kwamba wako loyal kwake.
Hii conflict Kati ya executive na Bunge itufungue macho kwa hitaji la katiba mpya. Speaker kuzodolewa namna ile ni kuonesha ya kwamba Bunge letu halina nguvu. Katiba mpya inahitajika kuweka checks and balances. Tatizo ukisema katiba mpya watu wanafikiria CHADEMA basi, lakini madhara Kama haya hawayaoni.
Kwani yeye Ndugai alishindwa kupata taarifa zaidi za ule mkopo huko chamani?? Hebu jiulize nchi inafikaje kukopa bila "mhimili" kuwa na taarifa?? Nani amechangia nchi kufika huko?? Si yeye huyu huyu Ndugai??? Sasa Leo anahoji nini??
Leo mpemba katudhihirishia uwezo wake ktk kuchamba na wala siyo kuongoza.
Kama Rais na mwenyekiti wa chama hakutakiwa kusema yale hadharani hasa baada ya Job kuomba radhi hadharani. Job alikosoa lkn mama Katuhumu. That was totally wrong.
Acha wafu wafukuane na wazikane kwanza Bungeni hakuna upinzani pia Mwenye muhimili wake hana pakujiegesha maana upinzani hakuna na bunge lote Mboga nani wa kuinua mdomo kusupport Job subiri Muda utaongea
Namalizia kwa swali hili la msingi, baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama mtu wetu ni timamu, he shoud do the right thing, "the needful", jee tumshauri to do the right thing, "The Neeful?", before its too late, au akomae nao, mpaka kieleweje, if it is to do him away, akomae till they do him away?. The game is on again, it is not over yet until it's over.
Ingekuwa ni ushauri toka kwangu, ningesema akomae tu mpaka kieleweke. Akijiondoa na kujiweka pembeni ni kutoa nafasi kwa watesi kukutwanga bila wewe kuwepo, watafanya wanavyotaka. Ukizira wenzio wala yakhe!
Kama ulivyosema, siamini kama Job ana mpango wowote wa kugombea urais 2025, labda kama ana kundi analoliunga mkono. Nadhani rais hapo ameamua kwa makusudi kum-mispresent ili apate sympathy ya watu, hasa ukizingatia kwamba mtu mwenyewe alishaomba radhi hadharani!
Anyway, ngoja tuone huu upepo wa kusulisuli unakotupeleka.
Mama anakosea sana kuachana na kundi la wanyonge ambao ndiyo wengi na kuanza kukumbatia kundi la walichonacho ambao hawazidi hata millioni 3 nchi nzima
Maza akumbuke Marehemu Mzee Karume aliwajengea watu magorofa buree watu wale matunda ya uhuru ajabu gani Magufuli kuwapa wa Tananyika Umeme kwa unafuu!!!
Wanabodi,
Hili ni bandiko la ma GT, hivyo hatutataji majina na naomba usitaje jina lolote!.
Hatua ya kwanza ni sikiliza kauli hii
Hivi hata baada ya kauli kama hii, kama wewe ni mtu mzima na akili zako timamu, bado unasubiri nini to do the right thing, the needful?.
Swali ni jee tumshauri mtu wetu, a do the needful, au akomae nao, till they do him away?.
Mimi nimemsikiliza Mama, kiukweli hajamtendea haki mtu wetu!, zile kauli kuhusu tozo, mikopo na deni la Taifa ni kauli za kizalendo na wala sio homa 2025, kwasababu kiukweli kabisa mtu wetu, hajawahi hata kuwazia 2025 kwasababu ndani ya CCM kuna a silent code ya kupokezana fulani kati ya Wakatoliki na wale jamaa zetu!.
Kwa vile alianza Mkatoliki, Juliasi akaja Jamaa zetu, Hasani, akaja Mkatoliki Benyamini Wiliamu, akaja jamaa zetu Mrisho, akafuta Yohane Yosefu, hivyo 2025 ilikuwa ni zamu ya wale jamaa zetu na Mungu ndio akawatangulizia, hivyo kusema kauli ile ya kizalendo ni homa ya 2025, huku ni kumsingizia bure tuu huyu mtu wetu!.
Kwa vile the boss is always right, ikitokea ume differ na boss wako, to the point ya bosi wako to question your intellect "mtu mzima mwenye akili timamu", the best way is to Quitt, the sooner, the better.
Namalizia kwa swali hili la msingi, baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama mtu wetu ni timamu, he shoud do the right thing, "the needful", jee tumshauri to do the right thing, "The Neeful?", before its too late, au akomae nao, mpaka kieleweje, if it is to do him away, akomae till they do him away?. The game is on again, it is not over yet until it's over.
Wanabodi, Japo siku zote Nabii huwa hakubaliki nyumbani, hili nalijua na litabezwa, na nimeisha lisemea humu TZ Tulipo Sipo!. Nabii Hakubaliki Nyumbani, JF Tuna Manabii wa Kweli, Tuwatumie Walisaidie Taifa!. - JamiiForums Hii ni thread ya maono ya unabii, na sio utabiri na sio trends reading...
Wanabodi, Huu ni uzi elimishi kuhusu aina tatu za kuomba msamaha, kama zilivyo aina tatu za ndoa. Lengo la kutoa elimu hii ni kulinda heshima ya fani ya watu ambayo imetakwa kudhalilishwa kwa kusingiziwa kuwa ile video imefanyiwa maujanja kwa kuchakachuliwa ili kumchafua mtu, kitu ambacho sii...
Wanabodi, Kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo huwa na swali, kisha hoja, halafu jibu utajibu wewe msomaji. Naomba kuanza kwa Declaration of Interest. Kwa vile mimi ni mmoja wa waandishi wa habari, tuliwahi kuitwa mbele ya Kamati ya Bunge na kusulubiwa...
Mkuu wa nchi ameongea tayari. Tumeona sura mpya tofauti na ile tuliyoizoea. Ukimgeuza sana nyoka utaona miguu yake. Yanasemwa mengi na wengi. Mimi nina mawili:
1. Ni nafasi ya Mama kuanza upya. Mvutano wa mihimili unafaa kama ni wa vyama tofauti. Ni hekima kumpa nafasi Mama bila kusubiri kuombwa kupisha. Ni salama na heshima kupisha ukarejeshwa kuliko kuambiwa umpishe mgeni akae.
2. Mke wa Kaizari anapaswa kuishi nje na ng'ambo ya tuhuma ya uzinzi.Tuhuma zinatosha kuvunja ndoa yake. Wanaotuhumiwa na Mama kuota 2025 wampishe bila kusubiri mkeka. Akipenda atawarejesha mwenyewe. Hiyo ni busara, siyo nguvu.
Arobaini za swala zikifika, huwa hasikii baragumu ya wawindaji.
Shtuka bila kuchelewa.
ambo lingine lililopo mbele ni uwezekano wa Mama kupigiwa kura ya kutokuwa na imani naye (hii inawezekana kabisa kwa sababu mpaka sasa Mama ni dhahiri kifo cha Dkt Magufuli yeye ni kama alikipanga kitokee awe Rais (hii inatokana na kauli zake za kudra za mwenyezi mungu na uchu wa urais alionao).
Kabla Bunge halijafikia hatua ya kumpigia kura ya kutokuwa na imani nae, atalivunja na kuitisha Uchaguzi mkuu!! Kumbuka yeye ndio Mwenyekiti wa ccm ambae atasimamia majina yatakayopitishwa kugombea kupitia chama hicho! Hata hivyo wabunge wangapi wako tayari kwenda kwenye uchaguzi wakati huu.
Wanabodi,
Hili ni bandiko la ma GT, hivyo hatutataji majina na naomba usitaje jina lolote!.
Hatua ya kwanza ni sikiliza kauli hii
Hivi hata baada ya kauli kama hii, kama wewe ni mtu mzima na akili zako timamu, bado unasubiri nini to do the right thing, the needful?.
Swali ni jee tumshauri mtu wetu, a do the needful, au akomae nao, till they do him away?.
Mimi nimemsikiliza Mama, kiukweli hajamtendea haki mtu wetu!, zile kauli kuhusu tozo, mikopo na deni la Taifa ni kauli za kizalendo na wala sio homa 2025, kwasababu kiukweli kabisa mtu wetu, hajawahi hata kuwazia 2025 kwasababu ndani ya CCM kuna a silent code ya kupokezana fulani kati ya Wakatoliki na wale jamaa zetu!.
Kwa vile alianza Mkatoliki, Juliasi akaja Jamaa zetu, Hasani, akaja Mkatoliki Benyamini Wiliamu, akaja jamaa zetu Mrisho, akafuta Yohane Yosefu, hivyo 2025 ilikuwa ni zamu ya wale jamaa zetu na Mungu ndio akawatangulizia, hivyo kusema kauli ile ya kizalendo ni homa ya 2025, huku ni kumsingizia bure tuu huyu mtu wetu!.
Kwa vile the boss is always right, ikitokea ume differ na boss wako, to the point ya bosi wako to question your intellect "mtu mzima mwenye akili timamu", the best way is to Quitt, the sooner, the better.
Namalizia kwa swali hili la msingi, baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama mtu wetu ni timamu, he shoud do the right thing, "the needful", jee tumshauri to do the right thing, "The Neeful?", before its too late, au akomae nao, mpaka kieleweje, if it is to do him away, akomae till they do him away?. The game is on again, it is not over yet until it's over.
Wanabodi, Japo siku zote Nabii huwa hakubaliki nyumbani, hili nalijua na litabezwa, na nimeisha lisemea humu TZ Tulipo Sipo!. Nabii Hakubaliki Nyumbani, JF Tuna Manabii wa Kweli, Tuwatumie Walisaidie Taifa!. - JamiiForums Hii ni thread ya maono ya unabii, na sio utabiri na sio trends reading...
Wanabodi, Huu ni uzi elimishi kuhusu aina tatu za kuomba msamaha, kama zilivyo aina tatu za ndoa. Lengo la kutoa elimu hii ni kulinda heshima ya fani ya watu ambayo imetakwa kudhalilishwa kwa kusingiziwa kuwa ile video imefanyiwa maujanja kwa kuchakachuliwa ili kumchafua mtu, kitu ambacho sii...
Wanabodi, Kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo huwa na swali, kisha hoja, halafu jibu utajibu wewe msomaji. Naomba kuanza kwa Declaration of Interest. Kwa vile mimi ni mmoja wa waandishi wa habari, tuliwahi kuitwa mbele ya Kamati ya Bunge na kusulubiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.