Baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama ni timamu, je, tumshauri to do "The needful?" au akomae nao, till they do him away?

Baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama ni timamu, je, tumshauri to do "The needful?" au akomae nao, till they do him away?

Tukilipa LUKU tunakatwa hela ya kusambaza umeme.

Hiyo hela inaenda wapi?

Mama anakosea sana kuachana na kundi la wanyonge ambao ndiyo wengi na kuanza kukumbatia kundi la walichonacho ambao hawazidi hata millioni 3 nchi nzima
Hu
Walionacho ndio wenzake kwa taarifa yako. Ndio maana bei za bidhaa karibu zote zimekaa tangu akabidhiwe kijiti
Yeye ni Rais wa matajiri maana ndo waliomweka kwa Boma hiyo
 
Akufukuzae hakuambii toka”
Na Rais akitoa kauli sio lazima afukuze ila la kufukuza mtu kaishalisema kama huyo jamaa kaelewa aondoke tu kwani kuna na bifu na mkubwa kwako kicheo tena top haina afya kabisa

Aliposema atawatoa ili waende kujiandaa na 25 hiyo kauli maana yake ondoka

Hapo ni uamuzi wake sasa aidha kukomaa na kumkodolea macho Boss au aende
Huenda alikosea kwenda hewani badala ya kwenda kule kweupe kukutana ana kwa ana ingekuwa bora zaidi ila naona hapo pia aliona sio same gender akafanya dharau huku akijua kuna mpaka hawezi kuvuka

Aidha ajishushe na kwenda kuonana nae au akomae kidume ingawa hatakuwa na furaha
Downloading.........
Hakuna namna Ndungai atatoboa.

Let's wait and see maana baadhi husema "never say never "
 
JPM alisema huu ni mhimili uliojichimbia chini zaidi. Ndio mhimili unaotafuta hela na kulipa.

Kwa katiba hii kiukweli kabisa, Rais ni bosi wa Spika na Jaji Mkuu. Sasa mathalani Jaji mkuu anateuliwa na Rais, hivi kiukweli Rais sio bosi wake? Aliyekuteua ataachaje kuwa bosi wako???Spika ni mwanachama wa CCM ambapo Rais ndio Bosi wa chama.... kweli kabisa unadhani Rais sio bosi wa spika??

Vyombo vyote vya ulinzi na usalama viko chini ya Rais, BOT na vyanzo vyote vya mapato viko chini ya Rais..

Kwa katiba hii, narudia tena kwa katiba hii, baada ya Mungu mwenye mamlaka kuu katika nchi ni Rais

Hii mihimili mingine ipoipo tu...

Kama vipi wabishe waone...
Huu ndio ukweli mchungu sana!
 
Alikuwa na haki kama mkuu wa mhimili kutoa maoni yake but kosa alilofanya ni kuanza tena kuomba msamaha. Pamoja na kuomba msamaha amechambwa kisawasawa. Ili afe kishujaa anatakiwa arudi tena kuongea na waandishi wa habari na kurejesha msimamo wake wa awali kabla ya kuomba msamaha na kuchambua kauli za mama ambazo zinamshushia hadhi kama mkuu wa mhimili ktk katiba, vinginevyo anakufa kisiasa kwa aibu. Of course kwa option ya kukaa kimya au kuonesha msimamo tena, atashughulikiwa ndani ya chama na kupoteza uanachama na baadaye uspika. Achague zimwi lenye nafuu.

Kuhusu mbio za 2025, si lazima kuwa yeye ndiye atakaye gombea as anaweza kuwa na kundi/mtandao wake ambao una mgombea wao.
The safest and better option kwake is to "walk away"

Period!
 
Niwafungueni tuu macho kama mlikua hamjui.....

2015 CCM walikuwa wamempitisha Emmanul Nchimbi ndio agombee uspika. But Kwa kuwa alitamka waziwazi kuwa hamtaki magufuli
Basi magufuli akalazimisha jina lake lienguliwe Katika kinyanganyiro Cha uspika ( Nani wa kimpinga rais??).... Sasa fununu kuwa JJ NCHIMBI karudishwa bongo tokea kule kifungoni ubalozini Brazil Ili aje kuchukua USPIKA wake Toka Kwa JOBO. Muelewe ndugai sio mjinga kuropoka vile. Yeye na timu yake walikua wanatafuta timing tuu ya kuuasoma mchezo... Na kingine timu MSOGA walikua wanatafuta tuu ajikanyage wamlipue.

N.b
Usishangae wabunge wa ccm wakaanzisha kampeni za kutokuwa na Imani na spika. ( Sababu kubwa ikiwa ni wale wabunge 19 maarufu kama COVID-19) yetu macho tuendelee kuusoma mchezo taratibu
Ukiskia CCM mbele kwa mbele ndio hiyo sasa.

Hawa jamaa ni maguru kwenye "politics"
 
Hakuna atakayeamsha vita ndani ya ccm. Kumbuka wengi ni mafisadi na wana makando kando mengi. Ni rahisi kushughulikiwa ukiinua kichwa tu. Wapinzani ndio wanaweza. Kauli ya Nduhai imeshasemwa na wapinzani kila mara lakini hawakufanywa kitu maana hawana cha kupoteza.
Katibu mkuu Daniel Chongolo recently alisema, wote hawa ni mbuzi tu ambao wamefungwa kamba na ndio maana wako salama. Tukiifungua tu kamba na kuwaachia wakajitafutie malisho yao wenyewe basi hutowaona kamwe.
 
Mkuu wangu 🤣🤣🤣

Yaani leo hii UNASIMAMIA KUIPITISHA BAJETI ambayo ndani yake ina mikopo ya wadau wa kimaendeleo halafu punde unaibagaza mikopo hiyo!!!! 🤣🤣🤣

#Siempre JMT
#Siempre Chief Hangaya 🙏
Hawa wagogo bhana hahaahahhahahah.

Yaani huyu Mzee sijui akili zake ziko wapi. Ndio maana yule Mpemba wa Njombe akaona amlipue tu.
 
Hii conflict Kati ya executive na Bunge itufungue macho kwa hitaji la katiba mpya. Speaker kuzodolewa namna ile ni kuonesha ya kwamba Bunge letu halina nguvu. Katiba mpya inahitajika kuweka checks and balances. Tatizo ukisema katiba mpya watu wanafikiria CHADEMA basi, lakini madhara Kama haya hawayaoni.
Bunge lenyewe lilikubali kujidogosha lenyewe. Lilipokubali kuwa tawi la serekale hapo ndipo walijimsliza! Wapambane na hali yao!
 
Wanabodi,
Hili ni bandiko la ma GT, hivyo hatutataji majina na naomba usitaje jina lolote!.

Hatua ya kwanza ni sikiliza kauli hii


Hivi hata baada ya kauli kama hii, kama wewe ni mtu mzima na akili zako timamu, bado unasubiri nini to do the right thing, the needful?.

Swali ni jee tumshauri mtu wetu, a do the needful, au akomae nao, till they do him away?.

Mimi nimemsikiliza Mama, kiukweli hajamtendea haki mtu wetu!, zile kauli kuhusu tozo, mikopo na deni la Taifa ni kauli za kizalendo na wala sio homa 2025, kwasababu kiukweli kabisa mtu wetu, hajawahi hata kuwazia 2025 kwasababu ndani ya CCM kuna a silent code ya kupokezana fulani kati ya Wakatoliki na wale jamaa zetu!.

Kwa vile alianza Mkatoliki, Juliasi akaja Jamaa zetu, Hasani, akaja Mkatoliki Benyamini Wiliamu, akaja jamaa zetu Mrisho, akafuta Yohane Yosefu, hivyo 2025 ilikuwa ni zamu ya wale jamaa zetu na Mungu ndio akawatangulizia, hivyo kusema kauli ile ya kizalendo ni homa ya 2025, huku ni kumsingizia bure tuu huyu mtu wetu!.

Kwa vile the boss is always right, ikitokea ume differ na boss wako, to the point ya bosi wako to question your intellect "mtu mzima mwenye akili timamu", the best way is to Quitt, the sooner, the better.

Namalizia kwa swali hili la msingi, baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama mtu wetu ni timamu, he shoud do the right thing, "the needful", jee tumshauri to do the right thing, "The Neeful?", before its too late, au akomae nao, mpaka kieleweje, if it is to do him away, akomae till they do him away?. The game is on again, it is not over yet until it's over.

I might end up being right again!

Paskali
Rejea


Hii ni wazi kabisa kwa kauli ya Mheshimiwa Rais Samia Spika Ndugai alikuwa adui yake toka ashike madaraka inaamana Spika Ndugai hakupenda kuona huyu mama akiongoza nchi hii.
Ndugai must go kwani ni mtu hafai kabisa kuwa Spika kwa kushindwa kuheshimu katiba kwa mambo mengi pale bungeni.
 
Tizama mtu wetu alifanya kosa la kuomba msamaha technical error. Lakini kwa vile mtu wetu nae anao muhimili wake basi autumie vizuri awashawishi wabunge wapige kura ya no confidence na serikali, bunge livunjwe uchaguzi uitishwe atakaepata apate na atakaekosa akose. Huko CCM mwanachama yoyote aruhusiwe kugombea hiyo kofia ya mfalme
Khaaa!!!!

Mwanachama yoyote?? Kwani unadhani anaruhusiwa yoyote tu kugombea?? Unadhani ni mambo ya sadakalawe haya??

Halafu unaongelea issue za kuwashawishi wabunge?? Wabunge wapi?? Kina Mwana FA na Babu Tale???
 
Komredi umenikumbusha mbali sana 🤣🤣🤣

Huku arbabu mwenyekiti wa CCM kule Kanda ya ziwa mh.mzee KM akisimama imara mno kutetea jahazi....nyimbo zikahanikizwa "TUNA IMANI NA DESH DESH OYAA OYAA OYAAA"🎼🎼
Wajumbe "wake" waliokuwa ni zaidi ya 70% ya akidi ya wajumbe wote hawakumsaidia "mwamba" kutokuzama🤣
NGUVU YA MWENYEKITI IKAONEKANA NA PANGA LIKAFYEKA SHINGO YA MTU.....

#SiempreJMT🙏
#SiempreCCM💪
#SiempreSSH🙏
😄😄😄😄😄😄

Hawa Wapinzani ndio maana sio tatizo kubwa kwa chama. Wao ni kijitatizo tu kidogo. Ikifika 2024 wakapewa "katiba mpya" basi kura zote watampigia Mama huku wakiamini 2030 mama atawaachia. Wanasahau haraka hawa.

Leo eti wamesahau na wanajifanya hawaijui nguvu ya Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi.

Tuwaangalie tu hawa CDE wangu
 
..huyu Maza huenda amebeba mengi kifuani kwake.

..unakumbuka kikao chake cha kwanza cha barraza la mawaziri baada ya kuapishwa kuwa Raisi walimpa peni ya kijani badala ya nyekundu?

..maskini mama wa watu akaomba apewe peni nyekundu ya Raisi.

..je, tukio lile lilikuwa sehemu ya vitimbi na kejeli kuwa SSH ni Raisi wa mpito?
Mkuu kuna mengi sana!

Mama anatumia busara sana za kiuongozi. Hata issue ya kufumua cabinet yote au kujazia ways wachache ulikuwa ni mjadala mkubwa sana pale mwanzo mwanzo kama unakumbuka.

Busara na ufundi wa kiutawala ulitumika sana pale. Mama akaona isiwe tabu acha niende nao maana walisema "keep your friends close, and your enemies closer"
 
Wanabodi,
Hili ni bandiko la ma GT, hivyo hatutataji majina na naomba usitaje jina lolote!.

Hatua ya kwanza ni sikiliza kauli hii


Hivi hata baada ya kauli kama hii, kama wewe ni mtu mzima na akili zako timamu, bado unasubiri nini to do the right thing, the needful?.

Swali ni jee tumshauri mtu wetu, a do the needful, au akomae nao, till they do him away?.

Mimi nimemsikiliza Mama, kiukweli hajamtendea haki mtu wetu!, zile kauli kuhusu tozo, mikopo na deni la Taifa ni kauli za kizalendo na wala sio homa 2025, kwasababu kiukweli kabisa mtu wetu, hajawahi hata kuwazia 2025 kwasababu ndani ya CCM kuna a silent code ya kupokezana fulani kati ya Wakatoliki na wale jamaa zetu!.

Kwa vile alianza Mkatoliki, Juliasi akaja Jamaa zetu, Hasani, akaja Mkatoliki Benyamini Wiliamu, akaja jamaa zetu Mrisho, akafuta Yohane Yosefu, hivyo 2025 ilikuwa ni zamu ya wale jamaa zetu na Mungu ndio akawatangulizia, hivyo kusema kauli ile ya kizalendo ni homa ya 2025, huku ni kumsingizia bure tuu huyu mtu wetu!.

Kwa vile the boss is always right, ikitokea ume differ na boss wako, to the point ya bosi wako to question your intellect "mtu mzima mwenye akili timamu", the best way is to Quitt, the sooner, the better.

Namalizia kwa swali hili la msingi, baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama mtu wetu ni timamu, he shoud do the right thing, "the needful", jee tumshauri to do the right thing, "The Neeful?", before its too late, au akomae nao, mpaka kieleweje, if it is to do him away, akomae till they do him away?. The game is on again, it is not over yet until it's over.

I might end up being right again!

Paskali
Rejea


P,

Hapa huyu alikuwa na maana gani. Naona hapa ni sawa na kujionyesha naye ni mshindani

" Sasa 2025 mtaamua mkitoa waliopo nao sawa waje ambao kazi yao kuwa kukopa endapo hiyo ndiyo namna ya ku run nchi"
 
Ingekuwa ni ushauri toka kwangu, ningesema akomae tu mpaka kieleweke. Akijiondoa na kujiweka pembeni ni kutoa nafasi kwa watesi kukutwanga bila wewe kuwepo, watafanya wanavyotaka. Ukizira wenzio wala yakhe!
Kama ulivyosema, siamini kama Job ana mpango wowote wa kugombea urais 2025, labda kama ana kundi analoliunga mkono. Nadhani rais hapo ameamua kwa makusudi kum-mispresent ili apate sympathy ya watu, hasa ukizingatia kwamba mtu mwenyewe alishaomba radhi hadharani!
Anyway, ngoja tuone huu upepo wa kusulisuli unakotupeleka.
Narudia tena

Tuielewe mitaa. Kwani unadhani aliomba radhi kwa kutaka??

Lile lilikuwa ni sharti na tego. Vijana wanajua siasa za fitna kinoma. Sio wale wakolomije.

Nyinyi mnamchukulia poa sana CDE Shaka Hamdu Shaka.

Sasa jamaa nkaomba radhi in public (which means kakiri makosa yake in public) na bado watu wakamlipua kama kawa.

Hakuna Mkubwa zaidi ya CCM as long as wewe ni mwanachama wa CCM basi utafuata taratibu za CCM
 
Kabla Bunge halijafikia hatua ya kumpigia kura ya kutokuwa na imani nae, atalivunja na kuitisha Uchaguzi mkuu!! Kumbuka yeye ndio Mwenyekiti wa ccm ambae atasimamia majina yatakayopitishwa kugombea kupitia chama hicho! Hata hivyo wabunge wangapi wako tayari kwenda kwenye uchaguzi wakati huu.
Hawa vijana hwaoni kama unavyoona wewe mkuu. Wabunge wenyewe ni David Silinde na Mwita waitara 😁😁😁😁😁
 
Back
Top Bottom