dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
Nyie si ma zamwamwa.Mbona dini ya kiislamu haichezewi chezewi ?
Wenzetu mmewezaje na sisi tunakwama wapi?
Dar wajinga ni wengi kuliko vijijiniMbona hawaendi kuanzisha makanisa vijijini inamaana Dar ndio wanapenda sana kusali[emoji3]
Kweli Dar ni mji wa biashara.
Haaaa...Kumamao
Kwani ulienda wapi?Ujanjaujanja Umerudi Tena
Alu nimekuichia mkuu wangu ππππ
Hii kitu yake kali aisee.
Sharia!Mbona dini ya kiislamu haichezewi chezewi ?
Wenzetu mmewezaje na sisi tunakwama wapi?