XII Tz
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 4,345
- 7,076
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wakijichanganya wakashika pumbu ndipo atakapochaRuka na dunia ifike ukingoni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wakijichanganya wakashika pumbu ndipo atakapochaRuka na dunia ifike ukingoni.
Hakuna hela hukoMbona dini ya kiislamu haichezewi chezewi ?
Wenzetu mmewezaje na sisi tunakwama wapi?
Kamata fulsa,
Wao wana Sharifu.................. nini wanapunga mapepo kwa njia kama hiyoMbona dini ya kiislamu haichezewi chezewi ?
Wenzetu mmewezaje na sisi tunakwama wapi?
Mchungaji ameeka ka way kwa mbali
Mwaka Jana Masanja kapata pigo kwa kifo kilicholetwa na upepo wa kisukisuli hajakaa sawa mwendazake kaenda zake.Masanja ile project yako ya kulala juu ya madaraja na kusifia sifia imeisha kwa mtu kuzimika milele. Ngoja niende zangu week end mie
unawajua bokho kharam,ar khaeda,alshabaab na wenzao wa kibiti??Mbona dini ya kiislamu haichezewi chezewi ?
Wenzetu mmewezaje na sisi tunakwama wapi?
SAFI SANA UMEJIUNGA LEO LEO KUJA KUJENGA HOJA.Mlitaka wauze unga..? Waishie kuwa wasanii tu.. Acheni vijana walitangaze neno la Mungu. Shetani hapendi kuona vijana wakilisifu na kuhubiri jina la Yesu Kristo ndio maana wachawi wazandiki wanafki na waliopotoka na mambo ya kidunia wanawakebehi vijana wadogo ambao ni watumish wa Mungu...
Wakat mnaendelea kuwa judge kutokana na life style yao ya nyuma, Mungu anazidi kuwaimarisha na kuwapa nguvu ya kiroho na kiuchumi kueneza ukristo kupitia jina la Yesu...
Nazo ruksa kuzishika, ikiwa mkono utakuwa hauna mahali pengine pa kushika.wakijichanganya wakashika pumbu ndipo atakapochaRuka na dunia ifike ukingoni.
Kwani hao uliowataja wanahubili neno kama kina mwamposa, tb Joshua, nabii tito wa uongo na kina masanja mkandamizaji wa sadaka.unawajua bokho kharam,ar khaeda,alshabaab na wenzao wa kibiti??
huko ndio kuna michezo ya kuuana kabisa.
kwahiyo hao kama hawaichezei diin ya hakh wanaieneza sio!!!!Kwani hao uliowataja wanahubili neno kama kina mwamposa, tb Joshua, nabii tito wa uongo na kina masanja mkandamizaji wa sadaka.
Wangari Maathai njoo huku. Umepata mtumishi wa kuombea shughuli zako kama haziendi vizuri. Ushindwe mwenyewe sasa kuwa tajiri.