Elections 2015 Baada ya Masheikh wa Bagamoyo, Wachungaji wamzamia Edward Lowassa kumuomba kugombea Urais

Elections 2015 Baada ya Masheikh wa Bagamoyo, Wachungaji wamzamia Edward Lowassa kumuomba kugombea Urais

HAHAA haya maigizo inaelekea mazuri sana nitapata wapi CD nikaangalie nyumbani
 
Hii moviev imetengenezwa vibaya bhana au kwa sababu bunge linakwisha ijumaa,kwa hiyo lazima wote waje wiki hii,nataka kujua na kuuliza pia kesho zamu ya waganga wa jadi? wakiongozwa na kingunge ngombale mwilu.
 
Lowassa Aachwe mlisema hakubaliki sasa nchi inawaumbua mnaanza kujamba tulieni January kichwani mweupe eti awe Rais yani huruma Za Jakaya kukubeba na weupe wako unajiona obama,waalimu asilimia karibu 74 tumeamua Lowassa nyuma haturudi
 
Lowassa mbele kwa mbele kudadadeki eti January makamba loooooh kweli nchi inaelekea kulaanika Bring Back our Bundles
 
Nauliza tu naona busega, bariadi, sengerema, masasi, arumeru, chato nani aliyewaorganize au ndo nyota ya mashariki kama mamajusi kwenye bible. Movie tamu hii maana sterling anakaribia kufa
 
Wachungaji pumbav kabisa enzi za Mwalimu hakuruhusu ujinga kama huu yaani hawa wajinga wanamshangilia Fisadi papa mtu asie na maadili mtu aliekataliwa na Mwalimu kwa tuhuma alizoshindwa kutolea majibu leo hii wajinga wanakurupuka watokakako na kumshangilia
 
sioni wa kumzuia edo kuwa mgombea kwa ticket ya chama chake!... January, sumaye, sitta, membe et al wajipime kisha wapite kuhesabiwa... Nyota ya lowassa inang'aa...

huu ni ukweli
lowassa ni kibiko ya wavivu na wazembe serikalini
 
Wachungaji pumbav kabisa enzi za Mwalimu hakuruhusu ujinga kama huu yaani hawa wajinga wanamshangilia Fisadi papa mtu asie na maadili mtu aliekataliwa na Mwalimu kwa tuhuma alizoshindwa kutolea majibu leo hii wajinga wanakurupuka watokakako na kumshangilia

watakua wale wachungaji wa kisasa aka manabii au wachungaji jina kama mashehe wa jana. Taasisi haziwezi fanya ujinga ka huu
 
Ni wachungaji wa makanisa yapi hao wanaoganga njaa? Maaskofu, mapadre na wachungaji wa makanisa yenye mfumo wa uongozi unaoeleweka na wasio na tamaa ya fedha hawawezi kuingia ktk mchezo wa kuigiza.
 
January....hana kitu kichwani..hata nywele hana..

Form 4.....Expelled from NECTA...kaiba paper..
then akafanya QT...!!

Form 6....Forest Hill....Div.."0"...aje ajibu hapa kama nasema uongo...!!!

Funny enough anajifanya anakusanya vitabu dunia nzima ktk Library yake...just like movie store...a purely comedian...!!!

So don't even quote him...nothing he has done tokea awe Naibu waziri...hata ktk Escrow au Bunge la katiba hakuna kitu anaweza sema au fanya...useless...!!!


Lowassa Aachwe mlisema hakubaliki sasa nchi inawaumbua mnaanza kujamba tulieni January kichwani mweupe eti awe Rais yani huruma Za Jakaya kukubeba na weupe wako unajiona obama,waalimu asilimia karibu 74 tumeamua Lowassa nyuma haturudi
 
Hii moviev imetengenezwa vibaya bhana au kwa sababu bunge linakwisha ijumaa,kwa hiyo lazima wote waje wiki hii,nataka kujua na kuuliza pia kesho zamu ya waganga wa jadi? wakiongozw
a na kingunge ngombale mwilu.

Kingunge N. Mwiru alishasema wote waliotangaza kuwania urais hawana sifa; kwa hiyo hawezi kuandamana.
 
Wapo nyumbani kwa Lowasa wakimshawishi achukue fomu ya kugombea urais wa JMT..

lowasa.jpg

Sasa sijui upepo wa huyu jamaa mtauzuiaje..

Point of correction: Ni viongozi wa dini toka sehemu mbalimbali hapa Tanzania..

cc: Moderator
 
Last edited by a moderator:
January....hana kitu kichwani..hata nywele hana..

Form 4.....Expelled from NECTA...kaiba paper..
then akafanya QT...!!

Form 6....Forest Hill....Div.."0"...aje ajibu hapa kama nasema uongo...!!!

Funny enough anajifanya anakusanya vitabu dunia nzima ktk Library yake...just like movie store...a purely comedian...!!!

So don't even quote him...nothing he has done tokea awe Naibu waziri...hata ktk Escrow au Bunge la katiba hakuna kitu anaweza sema au fanya...useless...!!!

Duh... Kumbe.
Haya aje atujibu hapa manaake tunaambiwa kasoma nue ya nchi
 
Ni kweli viongozi wa dini au watu wameigiza kwa kuvaa mavazi ya kikasisi/ kichungaji?!
 
Pesa za ufisadi zinafanya kazi. Waache waigize tu. Rais wa Tanzania hapatikani kwa njia za maigizo
zile pesa zilikuwa za umma au mafisadi tuanzie apo ndiyo tumuite lowasa fisadi!!!
 
Back
Top Bottom