Baada ya Master J kumkejeli Ali Kiba kuwa ni mbana pua, Ali Kiba ajibu mapigo

wafundisheni kuandika hawa wasanii wenu
 
Ali kiba sio level za bien.

Harmonizer tu mtu wa vimelody na ujanja kampindua Ije kuwa bien anaeimbia tumboni?

Bro kiba bien humuwezi katu, we wabanie pua wabongo ila mziki ni zaidi ya kubana pua
 
Inshort hana uking wowote.... kinachomuweka kwenye ramani ni kuwa compared na Diamond,

Ukiachana na live perfomance, Marioo tu ni mzuri kuliko Kiba angle zote... vocal na uandishi
 
Master yupo sahihi... ila kawasilisha hovyo sana, ukiwa soft kama Kiba lazima ulipuke.

Alikiba yeye ilibidi atulie na amjibu kwa kuimba live ya maana show yake yoyote itakayofata, that's how REAL MEN AND REAL MUSICIANS DO

Nje ya hapo, yeye mwenyewe kajibu kiupinde kuliko aliyeitwa upinde. Sababu Kiba ana scandal ya kuwa upinde ila Master hana scandal ya kuwa upinde.

Na upande wa production, Master J hadaiwi, he has done it all as a producer kwa mazingira tuliyopo
 
Wote ni wapuuzi. MJ ni mpuuzi na Ali pia mpuuzi. Kimsingi Bongo fleva wapigwe marufuku kupiga muziki wa LIVE. Na endapo watakiuka wafunguliwe mashtaka ya kujipatia fedha kwa njia za udanganyifu. Kina Bella na wenzie wachache hasa kutoka DRC ndo wanaweza hayo mambo ya LIVE. Ila A - list yote ya bongo flava hakuna kitu.
 
Kiba angeweza kuipa muda upite then ajibu, coz akumbukd hata yeye kunakipindi alimkdjeli domo kwrnye lile sakata la sean combs,japokuwa skumbuki mond ali-react vep.

Ila hii tabia ya watu maarufu wenye fans base kubwa kutukanana mambo mazito kama alivyojibu kiba inapaswa wajue wanayapromote indirectly othetwise. Wanapaswa kujua kuna watoto wanawafuatilia mziki ns maisha yao na akili zao hazjakomaa kuchanganua mambo.
 
Kwa navoana bora wasanii wamchukulie MJ kama mtu aliyelost kuliko kuwa over reacted. Hivi unadhan siku
Kiba akimchokonoa mtu coz nayeye ana tabia ya vijembe vijembe sasa akijibiwa shit kama hizo alizomjibu MJ sijui atasemaje.
 
Mkuu ukosahih, yaan mond kuna namna anajizuia. Ila kiba nikama ameuvaa uking na hicho kitu kinamfanya asivae uhusika wa mzigo wa mwiba yaani ustaa.
 
M
Mkuu nkweli kabsaa hata kama Mj angefungiwa kujihusisha na mziki lro hii, ila haiwez ondoa ukweli kuwa ni miongion mwa mafiga matatu (P Funk, MJ na Mika) yalioupika mziki wa bongo mpaka hapa ulipofika.
 
Master yale makopo yake alikuwa anayapiga naye anajiita producer🤣
Mngese sana huyo jamaa.. alipoona game imemshinda akatokea dirishani. Saa hizi kazi mipasho tu na kuwadiss wanaume ambao hana mchango wowote kwenye game yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…