Baada ya Master J kumkejeli Ali Kiba kuwa ni mbana pua, Ali Kiba ajibu mapigo

Baada ya Master J kumkejeli Ali Kiba kuwa ni mbana pua, Ali Kiba ajibu mapigo

Baada ya kufanya mahojiano na mwandishi mmoja alidai kwamba @alikiba hawezi kumfikia msanii wa Kenya Bienaimesol kwa uimbaji maana Alikiba anabana sana pua akiwa anaimba live. Alisema;

""Nani? Yule mbana pua, hapana kweli. Usimfanishe na Bien, msifananishe wabana pua na waimbaji wa rnb major, yule ni wakufananisha na wale waimbaji wa kihindi maana ndio wabana pua wenzake. Huwezi kuwashindanisha wabana pua na watu wenye vipaji vya Rnb, hawezi yule."

Alikiba kaposti instagram kwa kumjibu

"Umekuwa ukiropoka sana mitandaoni bila kujiheshimu wala kuheshimu watu sijui unajiona nani yani kama vile wewe ndio unapandisha watu daraja katika maisha mabadiriko yako ya akili unayaweka hadharani unataka tujiskie vipi sisi tunao kuheshimu unaropoka sana siku hizi umesahau brand yako uliyoitengeneza miaka mingi unahitaji kunyama sio kila kitu watu wasubiri utasema nini unadalili zote za upinde maana umekosa heshima siku hizi badirika unachokifanya sio sifa nzuri"

caption - Upinde 🍆

View attachment 3255328
Ali Kiba ni mdau wa muda mrefu wa upinde, ni watu hawajamwandika vizuri akatulia.
 
Master jay naona kama tayari alikuwa amekunywa lakini pia, nachoona watu wengi wanailinda ego ya Ali Kiba lakini MJ alimuongelea Ali kiba kimuziki, Ali kiba Amemuattack kwa kumpa tuhuma nzito sana. Kuna tofauti hapo ukiangalia kwa ukarbu

Ni sawa ni mfanyakazi mwenzio akuambie hujui kazi na wewe umjibu.. Mbona yeye ni upinde. Unaweza pata picha hapo
Hajui kazi kwani yeye ndio final sayer akisema jambo ndio linakuwa hivyo? Mtu kapambana kivyake katoboa halafu mtu anakuja kuleta nyege kwenye mafanikio ya mtu. Huyo anawashwa
 
Hakuna sehemu nimesema master j alikuwa sahihi ila aliongea kitu sahihi katika namna ambayo si nzuri..

Kingine mkuu kuwa juu kimuziki ni package kubwa kwa hiyo kuimba Ali Kiba anajua lakini hana vocal supremacy waliyonayo wasanii wengi tu ambao hawana level ya mafanikio yake.

Nikikuuliza Ali Kiba unaweza muweka kwenye Top 5 ya best vocalist wa bongo flava au watunzi wakali zaidi, ??

Jibu ni HAPANA, kwa hiyo master hakukosea sana kumuweka Ali Kiba kwenye Category za wahindi na waarabu maana sauti yake ina mahadhi hayo. Huwezi muweka Bien na Ali vocally kwenye category moja japo Ali ana mafanikio kumzidi Bien



Master J ni loser katika huu mziki na ana uwezo mdogo wa akili achilia mbali uwezo wa kudadavua mambo .

Asilimia kubwa ya wasanii anaowakataa BSS ndo hao wanakuja kufanya vizuri mfano harmonize , K2GA , N.K


SO MIMI NACHOONA ANAJARIBU KU-SPREAD NEGATIVE ENERGY SO ALIKIBA AMEMWAMBIA UKWELI THE GUY ANAZEEKA ILA AKILI INAZIDI KUWA KAMA YA MTOTO MDOGO ANAYEJIFUNZA KUONGEA
 
Asilimia kubwa ya wasanii anaowakataa BSS ndo hao wanakuja kufanya vizuri mfano harmonize , K2GA , N.K


SO MIMI NACHOONA ANAJARIBU KU-SPREAD NEGATIVE ENERGY SO ALIKIBA AMEMWAMBIA UKWELI THE GUY ANAZEEKA ILA AKILI INAZIDI KUWA KAMA YA MTOTO MDOGO ANAYEJIFUNZA KUONGEA
BSS yenyewe utumbo mtupu tu.
 
MJ amekuwa kama activist wa muziki kwa hiyo huwa anapambania quality irudi hususani ya live performance. Kilichotokea Trace Music Awards kwa mtu yoyote mwenye akili atajua master jay alikuwa sahihi muda wote.

By the way ukitoa consitency, Ali Kiba ana impact gani kwenye bongo flava kama genre na kibiashara hadi aitwe King. Au na wewe mkuu umejaa kwenye strategy za kina Seven walivyomrudisha.

Utakuaje Mwanaharakati wa muziki wakati Una akili kiduchu na unaropoka .

Yaani mropokaji Kama huyo unamuita Activist ?

Kama Una namba yake mwambie aache wivu na chuki awaache vijana watengeneze hela .

Kila msanii ana ladha yake katika huu muziki.
 
Bila shaka hunjui MasterJ vizuri.
Ni kweli ni mropokaji lkn hana wivu wowote.
Jamaa amenyooka sana.
Alichokosa ni ile hekima but jamaa ni mzungu sana tu.

Watuvwa Tangagiza na wapenda unafiki kamwe hawawezi kumwelewa wala kumpenda MasterJ

Mimi siwakubali wasanii watanzania wote Ila huyo master J ni mtu mwenye akili ndogo .

Kuna level ukifika unabidi kuwa smart na kuchuja unachoongea
 
Yote kwa yote huwezi kukua kwa kusifiwa sifiwa tu 🤔ni muhimu wawepo wakosoaji! Ndio maana Ata Kila ofisi Kubwa ina "auditor"

Nadhani kazi moja wa auditor "ni kuangalia mapungufu na kutoa report " ili kujua nini cha improve
 
Yote kwa yote huwezi kukua kwa kusifiwa sifiwa tu 🤔ni muhimu wawepo wakosoaji! Ndio maana Ata Kila ofisi Kubwa ina "auditor"

Nadhani kazi moja wa auditor "ni kuangalia mapungufu na kutoa report " ili kujua nini cha improve
Maisha yanaendeshwa na kanuni mfano hakuna mtu anaruhusiwa kukosoa ilimradi hii ni kanuni .
 
Shida ni kwamba kuna wakati ukifika wakati kama huu inabidi utumie busara ukiwa mtu mzima usiropoke maana watoto watakushushia heshima.
Master watoto wanamdhalilisha sasa mtandaon
 
Sasa jiulize waliompa u-ambassador Stanbic ni nani haswa? Na msimamo (policy) wao juu ya kunyanyapaa watu wa upinde ukoje? Ukiwa artist kuwa mwangalifu na unachoandika! Sitashangaa akiondelewa u-ambassador!
Watu wengi wana comment tuu, hawaeleweli haya mambo ya mikataba ya Taasisi za mabeberu, unakuta shareholders wengi upinde, Kibarua kinaota Nyasi ye Kiba Angejibu kwa matendo tuu, andaaa shoo, piga sana tizi, njoo perform live piga shoo Kali watu watajua tu ukweli ni upi.
 
Back
Top Bottom