Baada ya Master J kumkejeli Ali Kiba kuwa ni mbana pua, Ali Kiba ajibu mapigo

Baada ya Master J kumkejeli Ali Kiba kuwa ni mbana pua, Ali Kiba ajibu mapigo

Ali Kiba sio mbovu kwenye kupeform live lakini sio kama ana sauti powerful kama ya Bien..
Nadhani master alichokosea ni kuongea kwa kumshusha Ali kiba kupita kiasi na Ali Kiba nae amejibu kiswahiliswahili na kwa jeuri kubwa ambayo huwa anaificha kwenye ukimya wake.
Hapo sasa kumbuka ni brand ambassador wa Stanbic! Ngoja tuone! Master J hana cha kupoteza ni mstaafu yule!


View: https://x.com/StanbicBankTZ/status/1895353279720120459
 
Huwa nawashangaa wanaolipia fedha zao kuisikiliza misanii ya muziki ya kibongo ni makelele tu hakuna mwenye afadhali hata mmoja.
 
Alikiba kuimba hajui.ni zaidi ya mbana pia

Ukitaka kuamini hilo hudhuria matamasha yao ni uchafu mtupu
Sio alikiba tu karibu wasanii wote wa bongfleva saiv ata diamond

Technology inawasaidia

Kuna dada anaitwa grace matata ukimsikiliza live utataman akuimbie hadi asubuh
Mwingine chrstian belaa ni noma

Ila Hawa kina diamond,mario raymond, alikiba harmonize na wengine wabana pua promax
Ila wewe unaujua mziki? Unaweza panda kwa stage kushindana na kiba, mmakonde sjui domo?
 
Ali Kiba sio mbovu kwenye kupeform live lakini sio kama ana sauti powerful kama ya Bien..
Nadhani master alichokosea ni kuongea kwa kumshusha Ali kiba kupita kiasi na Ali Kiba nae amejibu kiswahiliswahili na kwa jeuri kubwa ambayo huwa anaificha kwenye ukimya wake.
MJ alijibu swali na kumshusha sana tena kwa kejeli kubwa inayoonesha chuki, na kama hawakuwa na ugomvi wowote MJ kama mtu wanayemuheshimu ktk hiyo industry hakutakuwa kutoa ushubwada alodadavua zaidi msisitizo wa kumshusha, hata kama mtu hajui ana haki pia ya kusemewa kwa staha, Kiba ana haki ya kujibu vilevile kama alivoongelewa
 
Ubaya live show zao unakuta wanabadiri Ala za muziki.


Ukifuatilia show za wenzetu live band inapiga kama Audio ilivyo.


Sasa sikia hiyo live show ya kiba. Drums zinapigwa tofauti kabisa na audio ya huo wimbo. Sexaphone inapigwa tofauti yaani hupati ile ladha iliyoufanya wimbo ukapendwa
Hivyo ni vionjo mzee tunes za studio sio rahisi kuzipata live 100%! Hata nchi zilizoendelea!
 
Master J yupo sahihi
Tatizo ni namna alivyo wasilisha hoja zake.... kuna kebehi ndani yake

Kwa level ya Master J anapaswa kujua jinsi watu walivyo hustle kujenga brand zao kupitia muziki
So unapo toa maoni yako toa kwanjia za kiungwana

Namuelewa kwanini Kiba amekasirika na yeye akajibu mashambulizi
 
Master J yupo sahihi
Tatizo ni namna alivyo wasilisha hoja zake.... kuna kebehi ndani yake

Kwa level ya Master J anapaswa kujua jinsi watu walivyo hustle kujenga brand zao kupitia muziki
So unapo toa maoni yako toa kwanjia za kiungwana

Namuelewa kwanini Kiba amekasirika na yeye akajibu mashambulizi
Master J ana jealous ana ile kitu inaitwa Crab Mentality
(kaa kwenye ndoo.) Maana anajariibu kuongelea vibaya watu ambao wame-hustle Kwa jasho na Damu kujenga brand zao na Leo they made it

Unaweza kuona kupitia vijana Kama Alikiba jinsi walivyoubadilisha muziki na Kuwa biashara kubwa na kutoa ajira rukuki
 
Sio sawa Ali Kiba kumuita Master Jay ni shoga kisa kamkosoa. Hakuna tusi kwa mwanaume ni la kudhalilisha kama kuitwa shoga.
Wapii kasema ni Shoga? Na lini ushoga ikawa tusi? Una fikra potofu wee
 
MJ alijibu swali na kumshusha sana tena kwa kejeli kubwa inayoonesha chuki, na kama hawakuwa na ugomvi wowote MJ kama mtu wanayemuheshimu ktk hiyo industry hakutakuwa kutoa ushubwada alodadavua zaidi msisitizo wa kumshusha, hata kama mtu hajui ana haki pia ya kusemewa kwa staha, Kiba ana haki ya kujibu vilevile kama alivoongelewa

Master jay naona kama tayari alikuwa amekunywa lakini pia, nachoona watu wengi wanailinda ego ya Ali Kiba lakini MJ alimuongelea Ali kiba kimuziki, Ali kiba Amemuattack kwa kumpa tuhuma nzito sana. Kuna tofauti hapo ukiangalia kwa ukarbu

Ni sawa ni mfanyakazi mwenzio akuambie hujui kazi na wewe umjibu.. Mbona yeye ni upinde. Unaweza pata picha hapo
 
Kumuita master jay ni upinde tayari kamchafua lakini pia imemshusha Ali kiba kwa level mbaya sana. Mitandaoni atapigiwa heko, ila kwa watu wenye ufahamu anaonekana amekosa emotional intelligence
Kama anavyosema Kenny Rogers katika Coward of the country kuwa ni muhimu kuwa humble na kuhakikisha haujibu mashambulizi hii itakufanya uwe safe Sana Ila akitokea mjinga anataka kukupanda kichwani don't hesitate to give him or her a f**
 
Master J ana jealous ana ile kitu inaitwa Crab Mentality
(kaa kwenye ndoo.) Maana anajariibu kuongelea vibaya watu ambao wame-hustle Kwa jasho na Damu kujenga brand zao na Leo they made it

Unaweza kuona kupitia vijana Kama Alikiba jinsi walivyoubadilisha muziki na Kuwa biashara kubwa na kutoa ajira rukuki

MJ amekuwa kama activist wa muziki kwa hiyo huwa anapambania quality irudi hususani ya live performance. Kilichotokea Trace Music Awards kwa mtu yoyote mwenye akili atajua master jay alikuwa sahihi muda wote.

By the way ukitoa consitency, Ali Kiba ana impact gani kwenye bongo flava kama genre na kibiashara hadi aitwe King. Au na wewe mkuu umejaa kwenye strategy za kina Seven walivyomrudisha.
 
Back
Top Bottom