Baada ya Master J kumkejeli Ali Kiba kuwa ni mbana pua, Ali Kiba ajibu mapigo

Baada ya Master J kumkejeli Ali Kiba kuwa ni mbana pua, Ali Kiba ajibu mapigo

Ila wewe unaujua mziki? Unaweza panda kwa stage kushindana na kiba, mmakonde sjui domo?
Nitashindana vipi na wasanii wa studio
Hata mm binge invest kwenye music kwa nidhamu niliyokuwa nayo I guarantee ningekuwa 🌟 mkubwa
 
Tatizo Master Jay mziki anaujua. Am sorry king, he got you this time.

Sema na wewe Master jiheshimu. Profile yako ni kubwa sana kuzungumza kama ulivyozungumza. Ni kama umemtukana Kiba ungeweza kutetea hoja yako katika namna nyingine bora zaidi ya hiyo.

Kiba naye kapanic kajibu kama msela wa Manzese.
Shida ni kwamba kuna wakati ukifika wakati kama huu inabidi utumie busara ukiwa mtu mzima usiropoke maana watoto watakushushia heshima.
Master watoto wanamdhalilisha sasa mtandaoni
 
Kama anavyosema Kenny Rogers katika Coward of the country kuwa ni muhimu kuwa humble na kuhakikisha haujibu mashambulizi hii itakufanya uwe safe Sana Ila akitokea mjinga anataka kukupanda kichwani don't hesitate to give him or her a f**
Kwa hiyo unaona alivyojibu Ali Kiba ni sawa. Karusha personal attack nzito na mnaona sawa.

Angeenda marekani hapo akaona jinsi Aretha Franklin alimtupia Kombora Taylor Swift kuwa yani ni beautiful gowns Tu. Hana talent wala chochote na Taylor hakujibu kitu

Hii ya kuambiwa sio vocalist na anaimba kama wahindi ama waarabu "baibuda". Mnaona ni tusi kubwa la kutolea tuhuma nzito
 
Kumuita master jay ni upinde tayari kamchafua lakini pia imemshusha Ali kiba kwa level mbaya sana. Mitandaoni atapigiwa heko, ila kwa watu wenye ufahamu anaonekana amekosa emotional intelligence

Katika kukosoa kuna kitu kinaitwa

Constructive criticism na destructive criticism.

Sasa unapozungumzia EI Emotional intelligence ambaye hana hiyo kitu ni master J kutokana na umri wake mkubwa lazima awe anatumia Sana akili kuliko hisia na na akiwa amelewa pombe ajizuie kufanya interview


Maana msanii ambaye anafanya mziki wake zaidi ya maika 18 Kama A -list iweje Leo hii useme hajui kuimba

Alikiba alichojibu sio sahihi Ila itamfanya huyo master j next time asiwe mtu wa kuropoka
 
Ali Kiba sio mbovu kwenye kupeform live lakini sio kama ana sauti powerful kama ya Bien..
Nadhani master alichokosea ni kuongea kwa kumshusha Ali kiba kupita kiasi na Ali Kiba nae amejibu kiswahiliswahili na kwa jeuri kubwa ambayo huwa anaificha kwenye ukimya wake.
Ijuma kwenye BSS Diamond alupokuwa mgeni rasmi, aliongea kwa hekima sana kuhusu Master J.

Alisema; Master J mimi Diamond huwa kila mara ninamwambia S2kizzy kuwa kila unachokiongea kuhusu sisi japo ni kichungu huwa ninakiandika na kukifanyia kazi.

Japo kuna wakati maneno yako mara nyingine ni machungu lkn huwa ninayachukulia very positive na yananisaidia; mwisho wa kunukuu
 
Kwa hiyo unaona alivyojibu Ali Kiba ni sawa. Karusha personal attack nzito na mnaona sawa.

Angeenda marekani hapo akaona jinsi Aretha Franklin alimtupia Kombora Taylor Swift kuwa yani ni beautiful gowns Tu. Hana talent wala chochote na Taylor hakujibu kitu

Hii ya kuambiwa sio vocalist na anaimba kama wahindi ama waarabu "baibuda". Mnaona ni tusi kubwa la kutolea tuhuma nzito

Master j ni overrated producer ambaye Ana low IQ

Hawa waropokaji mkiwavumilia wataendelea kuropoka na kuua brand za watu.

Msanii hafanyi biashara Ila yeye ndo hiyo biashara so unabidi usimuongelee vibaya kwa lengo la kuua brand yake.

So alichopewa ni sahihi
 
Master jay naona kama tayari alikuwa amekunywa lakini pia, nachoona watu wengi wanailinda ego ya Ali Kiba lakini MJ alimuongelea Ali kiba kimuziki, Ali kiba Amemuattack kwa kumpa tuhuma nzito sana. Kuna tofauti hapo ukiangalia kwa ukarbu

Ni sawa ni mfanyakazi mwenzio akuambie hujui kazi na wewe umjibu.. Mbona yeye ni upinde. Unaweza pata picha hapo
Mkuu kwenye ulimwengu wa Bongo fleva “kubana pua” ni tusi kubwa sana...... ni vile tu watu hawajui

Yes Ali Kiba ana ego lakini katika hili amechokozwa na akakasirika
Mtu akikasirika akishindwa kujizuia anakupa za uso ili mradi na wewe uumie

Master J asinge ropoka unadhani Ali angemtusi kweli?
 
Shida ni kwamba kuna wakati ukifika wakati kama huu inabidi utumie busara ukiwa mtu mzima usiropoke maana watoto watakushushia heshima.
Master watoto wanamdhalilisha sasa mtandaoni
Sure Mkuu tatizo la nchi zetu za dunia ya tatu .

Peoples get older but ain't grow.
 
Mkuu kwenye ulimwengu wa Bongo fleva “kubana pua” ni tusi kubwa sana...... ni vile tu watu hawajui

Yes Ali Kiba ana ego lakini katika hili amechokozwa na akakasirika
Mtu akikasirika akishindwa kujizuia anakupa za uso ili mradi na wewe uumie

Master J asinge ropoka unadhani Ali angemtusi kweli?

Unajua msanii hafanyi biashara Ila yeye ndo biashara yenyewe.

Ndo maana ukiwa na show lazima utamlipia msanii nauli , hotel n.k na hata ikitokea show imekuwa Canceled bado msanii atalipiwa nauli ya kumrudisha alipotoka .


So unapokuwa unamuongelea msanii kuwa anabana Pua hili ni tusi ambalo linaua brand yake na brand ndo biashara yenyewe .


So reaction ya ALIKIBA inaweza isieleweke Ila hana kosa.
 
Katika kukosoa kuna kitu kinaitwa

Constructive criticism na destructive criticism.

Sasa unapozungumzia EI Emotional intelligence ambaye hana hiyo kitu ni master J kutokana na umri wake mkubwa lazima awe anatumia Sana akili kuliko hisia na na akiwa amelewa pombe ajizuie kufanya interview


Maana msanii ambaye anafanya mziki wake zaidi ya maika 18 Kama A -list iweje Leo hii useme hajui kuimba

Alikiba alichojibu sio sahihi Ila itamfanya huyo master j next time asiwe mtu wa kuropoka
Siku za hivi karibuni masterj kawa mjinga nadhani ana matatizo ya akili
 
Siku za hivi karibuni masterj kawa mjinga nadhani ana matatizo ya akili

Tangia anyoe Rasta mwaka 2020 na kuhamia Ccm ili agombee ubunge kichwa hakijarudi katika hali yake.

Pia anaweza Kuwa anasumbuliwa na ile kitu inaitwa crab mentality
 
kwani pua abani kweli? hiko ndiyo kitu pekee toka aanze tasnia hii,na hayupo flexible kabisa.Na ni kweli kwa sasa sijaona rnb artist waku mfikia Bienaimesol east africa..
  • Ni kweli Alikiba anabana pua lkn
  • MasterJ angeweza kutumia lugha ya kistaarabu zaidi.
  • Ni kweli Alikiba amekwaza lkn alikuwa na muda wa kutafakari kujibu vyema zaidi na kuepuka kosa alilofanya MasterJ
 
Back
Top Bottom