Inashangaza sana...nakumbuka Mimi jamii ilinishangaa sana kukimbia my brutal marriage lakini sikuangaika nao ...nilitazama wanangu na mama angu,nikaelewa hawa hawatokuwa salama Mimi nikifaWatu hawajua kwamba ,hapa duniani hakuna mtu atakayekupa furaha isipokuwa wewe mwenyewe. Unaishi kwa mateso kwa sababu sababu ya kiumbe ambaye ameamua kwa maksudi kukusaliti.
Kazi kwelikweli.
Hivyo yaan,Kuna dada mmoja alikuwa kwenye ndoa miaka 8 ya uvumilivu na sababu ilikuwa ni kukosa mtoto... mwisho wa siku mume akachoka kuongea kwa mdomo akaamua kuhamia nje mazima...yule dada stress wiki moja tu tukazikaNamshangaa. Ngoja afe kwa stress. Watakaoumia ni watoto wake ,wazazi na ndugu zake. Hao wengine siku unazikwa baada ya wiki wanakusahau, na huyo mume anavuta kifaa kingine chap.
Tatizo tunategemea watu wengine watupe furaha. Mume au mke sio ndugu yako. Ukifa leo,unafutika kwenye kumbukumbu zao.Inashangaza sana...nakumbuka Mimi jamii ilinishangaa sana kukimbia my brutal marriage lakini sikuangaika nao ...nilitazama wanangu na mama angu,nikaelewa hawa hawatokuwa salama Mimi nikifa
Kuna rafiki yetu amekuwa chiz kabisa sababu ya stress za ndoa. Alifikia hatua ya kufungwa kamba . Alilizwa Muhimbili na sasa hivi anatumia dawa.Hivyo yaan,Kuna dada mmoja alikuwa kwenye ndoa miaka 8 ya uvumilivu na sababu ilikuwa ni kukosa mtoto... mwisho wa siku mume akachoka kuongea kwa mdomo akaamua kuhamia nje mazima...yule dada stress wiki moja tu tukazika
mashem shem wamamalizanaga eee, ina maana mambo yamebadilika hamna hofu tena kama huyu ni mke wa rafiki yangu au mume wa rafiki yangu? sasa dada ameolewa na ana watoto wawili naye mwamba kaoa na mtoto mmoja hapo unatafuta nini? mwanamke angekuwa hajaolewa labda hapo unaweza pata sababu
😂😂😂mna mitazamo yenu kuhusu punyeto lakini kubalini kwamba ni bora hivyo kuliko angetoka nje na yeye.
halafu punyeto ni kauhuni kadogo tu kareja reja.
Hakika, tujipende kwanza...watu wanafia ndoa sikuhizi cuteTatizo tunategemea watu wengine watupe furaha. Mume au mke sio ndugu yako. Ukifa leo,unafutika kwenye kumbukumbu zao.
ujinga kabisa, wanawake wamejaa tele huko nje mpaka upige mdogo wa mkeo au dada yake hiyo ni dharau ya mwishoHawa watoto wa siku hizi wanasema, hainaga ushemeji tunakulaga
🤭halafu punyeto ni kauhuni kadogo tu kareja reja.
Utakamatwa tu 🥴Nipo nipo kwanza (Mwana FA)
Hapana,hatustahili kufikia hapo kiukweliKuna rafiki yetu amekuwa chiz kabisa sababu ya stress za ndoa. Alifikia hatua ya kufungwa kamba . Alilizwa Muhimbili na sasa hivi anatumia dawa.
Kazi kwelikweli
Waache wafia huko kama wanadhani kuna mbadala wa roho zaoHakika, tujipende kwanza...watu wanafia ndoa sikuhizi cute
Yaani, na bado karudi kwa mtesi wake. Ukimuona amekuwa kitu cha ajabu jamani. Unamuonea huruma, na stage aliyofikia yaani hajielewi.Hapana,hatustahili kufikia hapo kiukweli
Hakika inaogofyaWaache wafia huko kama wanadhani kuna mbadala wa roho zao
Ukipata wasaa sikiliza ujumbe huu toka kwa mtumishi wa Mungu...Imani ya kuachilia machungu moyoni. Natumai itakusaidia.Ni Mume wangu wa ndoa, Mwaka jana niligundua anatembea na rafiki yangu, rafiki ambae tumekua wote shule tumesoma wote mpaka chuo bahat mbaya tukaolewa mikoa tofauti
Lkn haikutupa shida kwan tulikua tunatembeleana mara kwa mara alikua kama ndugu maana mpaka wazazi wetu walikua na ukaribu kupitia sisi....
Kumbe ile kunitembelea akaanzisha mahusiano na mr wangu bila mm kujua aisee niliteseka sana sababu alijua kumteka akili Mr mpaka akawa anafata chochote anachosema yeye ndio tunafata..
Ikafika kipindi akawa ataki kushare dudu yan hataki mr asex namimi ..mr nae akamfata ikiwa naitaji ndani nambembeleza mpaka machozi hataki ....
Kipindi cha siku za hatari nakua na hamu sana unamuomba alivyomshenzi wakati namuomba nalalamikaa ananirecord kwa siri voice badae anamtumia rafiki yangu kumhakikishia kua hanipi haki yangu.....
Unamyimwa mpaka unaangalia porn mbele yake huku umajichua ukimaliza ndio unalala na anasikia hajali anasinzia...
Nilikuja kujua password yake badae ndio kugundua hayo nilichanganyikiwa ikabidi nishirikishe familia zote na mume wa best nikamwambia yakawa yameisha...
Kilichopo sasa baada ya yote kuisha sina hisia nae kabisa kila nikifikiria aliponipitisha nalia tu japo ni mwaka sasa umepita....akiwa anaitaji tendo nampa lkn kuna muda katikati ya tendo machozi yanatoka
Analalamika nimtu gani nisiesamehe ninaroho mbaya ...
Sijui nifanyaje sababu naiona chuki tu moyoni sioni mapenzi...
Nafanya tu lkn sipendi hata anisogelee lkn najikaza tu..
SAmehe 7 mara 70Ni Mume wangu wa ndoa, Mwaka jana niligundua anatembea na rafiki yangu, rafiki ambae tumekua wote shule tumesoma wote mpaka chuo bahat mbaya tukaolewa mikoa tofauti
Lkn haikutupa shida kwan tulikua tunatembeleana mara kwa mara alikua kama ndugu maana mpaka wazazi wetu walikua na ukaribu kupitia sisi....
Kumbe ile kunitembelea akaanzisha mahusiano na mr wangu bila mm kujua aisee niliteseka sana sababu alijua kumteka akili Mr mpaka akawa anafata chochote anachosema yeye ndio tunafata..
Ikafika kipindi akawa ataki kushare dudu yan hataki mr asex namimi ..mr nae akamfata ikiwa naitaji ndani nambembeleza mpaka machozi hataki ....
Kipindi cha siku za hatari nakua na hamu sana unamuomba alivyomshenzi wakati namuomba nalalamikaa ananirecord kwa siri voice badae anamtumia rafiki yangu kumhakikishia kua hanipi haki yangu.....
Unamyimwa mpaka unaangalia porn mbele yake huku umajichua ukimaliza ndio unalala na anasikia hajali anasinzia...
Nilikuja kujua password yake badae ndio kugundua hayo nilichanganyikiwa ikabidi nishirikishe familia zote na mume wa best nikamwambia yakawa yameisha...
Kilichopo sasa baada ya yote kuisha sina hisia nae kabisa kila nikifikiria aliponipitisha nalia tu japo ni mwaka sasa umepita....akiwa anaitaji tendo nampa lkn kuna muda katikati ya tendo machozi yanatoka
Analalamika nimtu gani nisiesamehe ninaroho mbaya ...
Sijui nifanyaje sababu naiona chuki tu moyoni sioni mapenzi...
Nafanya tu lkn sipendi hata anisogelee lkn najikaza tu..
ujinga kabisa, wanawake wamejaa tele huko nje mpaka upige mdogo wa mkeo au dada yake hiyo ni dharau ya mwisho