Baada ya Matola kupewa Timu kama 'Caretaker' hiki ndicho kinaenda kutokea ambacho hakikutokea Timu ilipohitaji Ushindi Muhimu

Baada ya Matola kupewa Timu kama 'Caretaker' hiki ndicho kinaenda kutokea ambacho hakikutokea Timu ilipohitaji Ushindi Muhimu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Atawaambia Wachezaji wake anaowamudu kuwa Wampambanie kwa kumpa Ushindi Mechi zote zilizobaki ili aaminiwe na asitemwe kabisa Simba SC.

2. Atawapanga zaidi Wachezaji Washkaji (Marafiki) zake hasa akina Wawa na Nyoni ambao ndiyo huwa wanampa mno Hela na kumletea (wakimpa) Mizawadi mingi kama wakisafiri nje ya nchi.

3. Kuanzia sasa Wachezaji wa Simba SC watacheza Mpira mkubwa katika Mechi zilizobakia ambao hata hamkuwahi Kuuona pale Timu ilipohitaji Ushindi Muhimu katika Mechi za Ligi Kuu ya NBC na Kombe la ASFC ili Kumshawishi Kocha Matola asiwajumuishe katika Ripoti yake ya Wachezaji wanaotakiwa Kuachwa baada ya Msimu Kumalizika

4. Kama kawaida yake Matola atawaoanga wale tu ambao ama huwa wanampa Hela (10% za Posho zao) au wale ambao watamhakikishi Kumnunulia Bia kitu ambacho anakipenda zaidi na Kuvuta Sigara.

5. Kwakuwa analindwa pia na baadhi ya Viongozi (hasa kutoka katika Bodi ya Simba SC) watamsaidia kwa kuhakikisha Wanazihnga Timu zote watakazocheza nazo ili Kuwashawishi Viongozi Wenzao kuwa anaweza na abaki Klabuni ili Simba SC ikiajiri tena Kocha mpya waendelee Kumtumia kwa Kuihujumu Timu kama alivyoihujumu kwa Msimu huu.

6. Wachezaji wa Kigeni hatokuwa akiwapanga kwakuwa Kwanza Kiingereza na Kifaransa kinampiga Chenga (hakijui) na pia Wachezaji wa Kigeni wanajiamini, wanajitambua na hawaabudu 'Uswahili' alionao na aliouzoea.

7. Atashauri sana Timu iwe 'inaroga' kwakuwa ndiyo eneo lake Kuu la Ubobezi tokea akiwa ni Mchezaji wa Simba SC na Nahodha na 'ametukuka' nalo kisawasawa ili Timu ishinde mabao mengi na ya ajabu ajabu na aweze kupata sana Sifa ili atengeneze Uchawi wa Kubakishwa hata kama Simba SC watamleta Kocha Mpya.
 
1. Atawaambia Wachezaji wake anaowamudu kuwa Wampambanie kwa kumpa Ushindi Mechi zote zilizobaki ili aaminiwe na asitemwe kabisa Simba SC.

2. Atawapanga zaidi Wachezaji Washkaji (Marafiki) zake hasa akina Wawa na Nyoni ambao ndiyo huwa wanampa mno Hela na kumletea (wakimpa) Mizawadi mingi kama wakisafiri nje ya nchi.

3. Kuanzia sasa Wachezaji wa Simba SC watacheza Mpira mkubwa katika Mechi zilizobakia ambao hata hamkuwahi Kuuona pale Timu ilipohitaji Ushindi Muhimu katika Mechi za Ligi Kuu ya NBC na Kombe la ASFC ili Kumshawishi Kocha Matola asiwajumuishe katika Ripoti yake ya Wachezaji wanaotakiwa Kuachwa baada ya Msimu Kumalizika

4. Kama kawaida yake Matola atawaoanga wale tu ambao ama huwa wanampa Hela (10% za Posho zao) au wale ambao watamhakikishi Kumnunulia Bia kitu ambacho anakipenda zaidi na Kuvuta Sigara.

5. Kwakuwa analindwa pia na baadhi ya Viongozi (hasa kutoka katika Bodi ya Simba SC) watamsaidia kwa kuhakikisha Wanazihnga Timu zote watakazocheza nazo ili Kuwashawishi Viongozi Wenzao kuwa anaweza na abaki Klabuni ili Simba SC ikiajiri tena Kocha mpya waendelee Kumtumia kwa Kuihujumu Timu kama alivyoihujumu kwa Msimu huu.

6. Wachezaji wa Kigeni hatokuwa akiwapanga kwakuwa Kwanza Kiingereza na Kifaransa kinampiga Chenga (hakijui) na pia Wachezaji wa Kigeni wanajiamini, wanajitambua na hawaabudu 'Uswahili' alionao na aliouzoea.

7. Atashauri sana Timu iwe 'inaroga' kwakuwa ndiyo eneo lake Kuu la Ubobezi tokea akiwa ni Mchezaji wa Simba SC na Nahodha na 'ametukuka' nalo kisawasawa ili Timu ishinde mabao mengi na ya ajabu ajabu na aweze kupata sana Sifa ili atengeneze Uchawi wa Kubakishwa hata kama Simba SC watamleta Kocha Mpya.
Duniani wachawi mpo ila wewe umezidi sana.
Wana Simba wakuangalie kwa tahadhari kubwa sana maana unaiponda sana Simba.
 
1. Atawaambia Wachezaji wake anaowamudu kuwa Wampambanie kwa kumpa Ushindi Mechi zote zilizobaki ili aaminiwe na asitemwe kabisa Simba SC.

2. Atawapanga zaidi Wachezaji Washkaji (Marafiki) zake hasa akina Wawa na Nyoni ambao ndiyo huwa wanampa mno Hela na kumletea (wakimpa) Mizawadi mingi kama wakisafiri nje ya nchi.

3. Kuanzia sasa Wachezaji wa Simba SC watacheza Mpira mkubwa katika Mechi zilizobakia ambao hata hamkuwahi Kuuona pale Timu ilipohitaji Ushindi Muhimu katika Mechi za Ligi Kuu ya NBC na Kombe la ASFC ili Kumshawishi Kocha Matola asiwajumuishe katika Ripoti yake ya Wachezaji wanaotakiwa Kuachwa baada ya Msimu Kumalizika

4. Kama kawaida yake Matola atawaoanga wale tu ambao ama huwa wanampa Hela (10% za Posho zao) au wale ambao watamhakikishi Kumnunulia Bia kitu ambacho anakipenda zaidi na Kuvuta Sigara.

5. Kwakuwa analindwa pia na baadhi ya Viongozi (hasa kutoka katika Bodi ya Simba SC) watamsaidia kwa kuhakikisha Wanazihnga Timu zote watakazocheza nazo ili Kuwashawishi Viongozi Wenzao kuwa anaweza na abaki Klabuni ili Simba SC ikiajiri tena Kocha mpya waendelee Kumtumia kwa Kuihujumu Timu kama alivyoihujumu kwa Msimu huu.

6. Wachezaji wa Kigeni hatokuwa akiwapanga kwakuwa Kwanza Kiingereza na Kifaransa kinampiga Chenga (hakijui) na pia Wachezaji wa Kigeni wanajiamini, wanajitambua na hawaabudu 'Uswahili' alionao na aliouzoea.

7. Atashauri sana Timu iwe 'inaroga' kwakuwa ndiyo eneo lake Kuu la Ubobezi tokea akiwa ni Mchezaji wa Simba SC na Nahodha na 'ametukuka' nalo kisawasawa ili Timu ishinde mabao mengi na ya ajabu ajabu na aweze kupata sana Sifa ili atengeneze Uchawi wa Kubakishwa hata kama Simba SC watamleta Kocha Mpya.
As far as italeta ushindi sioni shida yoyote Ile
 
Mwisho wa msimu Matola nae aondoke Simba, au apewe timu ya watoto akaifundishe, miaka yote aliyokaa Simba imethibitika hana msaada wowote kwa timu ya wakubwa, wamekuja makocha wengi wameondoka sioni chochote alichojifunza.
 
1. Atawaambia Wachezaji wake anaowamudu kuwa Wampambanie kwa kumpa Ushindi Mechi zote zilizobaki ili aaminiwe na asitemwe kabisa Simba SC.

2. Atawapanga zaidi Wachezaji Washkaji (Marafiki) zake hasa akina Wawa na Nyoni ambao ndiyo huwa wanampa mno Hela na kumletea (wakimpa) Mizawadi mingi kama wakisafiri nje ya nchi.

3. Kuanzia sasa Wachezaji wa Simba SC watacheza Mpira mkubwa katika Mechi zilizobakia ambao hata hamkuwahi Kuuona pale Timu ilipohitaji Ushindi Muhimu katika Mechi za Ligi Kuu ya NBC na Kombe la ASFC ili Kumshawishi Kocha Matola asiwajumuishe katika Ripoti yake ya Wachezaji wanaotakiwa Kuachwa baada ya Msimu Kumalizika

4. Kama kawaida yake Matola atawaoanga wale tu ambao ama huwa wanampa Hela (10% za Posho zao) au wale ambao watamhakikishi Kumnunulia Bia kitu ambacho anakipenda zaidi na Kuvuta Sigara.

5. Kwakuwa analindwa pia na baadhi ya Viongozi (hasa kutoka katika Bodi ya Simba SC) watamsaidia kwa kuhakikisha Wanazihnga Timu zote watakazocheza nazo ili Kuwashawishi Viongozi Wenzao kuwa anaweza na abaki Klabuni ili Simba SC ikiajiri tena Kocha mpya waendelee Kumtumia kwa Kuihujumu Timu kama alivyoihujumu kwa Msimu huu.

6. Wachezaji wa Kigeni hatokuwa akiwapanga kwakuwa Kwanza Kiingereza na Kifaransa kinampiga Chenga (hakijui) na pia Wachezaji wa Kigeni wanajiamini, wanajitambua na hawaabudu 'Uswahili' alionao na aliouzoea.

7. Atashauri sana Timu iwe 'inaroga' kwakuwa ndiyo eneo lake Kuu la Ubobezi tokea akiwa ni Mchezaji wa Simba SC na Nahodha na 'ametukuka' nalo kisawasawa ili Timu ishinde mabao mengi na ya ajabu ajabu na aweze kupata sana Sifa ili atengeneze Uchawi wa Kubakishwa hata kama Simba SC watamleta Kocha Mpya.
Matola ana uwezo, Acha majungu popoma ww
 
Eti matola hajui English?acha uchawi dogo,m atola anajua English kuliko unavyodhani
 
Back
Top Bottom