Baada ya Matola kupewa Timu kama 'Caretaker' hiki ndicho kinaenda kutokea ambacho hakikutokea Timu ilipohitaji Ushindi Muhimu

Baada ya Matola kupewa Timu kama 'Caretaker' hiki ndicho kinaenda kutokea ambacho hakikutokea Timu ilipohitaji Ushindi Muhimu

Umekumbuka kunywa Kidonge chako cha tatizo lako la 'Uwendawazimu' leo?
Tetea hoja yako acha ufala mshamba wewe!
Umeleta hoja na inakuwa challenged badala ya kuitetea unaandika utopolo wako!
Hizi ndio unaita akili?
suraj1754-___CdykL99AGtq___-.jpg
 
1. Atawaambia Wachezaji wake anaowamudu kuwa Wampambanie kwa kumpa Ushindi Mechi zote zilizobaki ili aaminiwe na asitemwe kabisa Simba SC.

2. Atawapanga zaidi Wachezaji Washkaji (Marafiki) zake hasa akina Wawa na Nyoni ambao ndiyo huwa wanampa mno Hela na kumletea (wakimpa) Mizawadi mingi kama wakisafiri nje ya nchi.

3. Kuanzia sasa Wachezaji wa Simba SC watacheza Mpira mkubwa katika Mechi zilizobakia ambao hata hamkuwahi Kuuona pale Timu ilipohitaji Ushindi Muhimu katika Mechi za Ligi Kuu ya NBC na Kombe la ASFC ili Kumshawishi Kocha Matola asiwajumuishe katika Ripoti yake ya Wachezaji wanaotakiwa Kuachwa baada ya Msimu Kumalizika

4. Kama kawaida yake Matola atawaoanga wale tu ambao ama huwa wanampa Hela (10% za Posho zao) au wale ambao watamhakikishi Kumnunulia Bia kitu ambacho anakipenda zaidi na Kuvuta Sigara.

5. Kwakuwa analindwa pia na baadhi ya Viongozi (hasa kutoka katika Bodi ya Simba SC) watamsaidia kwa kuhakikisha Wanazihnga Timu zote watakazocheza nazo ili Kuwashawishi Viongozi Wenzao kuwa anaweza na abaki Klabuni ili Simba SC ikiajiri tena Kocha mpya waendelee Kumtumia kwa Kuihujumu Timu kama alivyoihujumu kwa Msimu huu.

6. Wachezaji wa Kigeni hatokuwa akiwapanga kwakuwa Kwanza Kiingereza na Kifaransa kinampiga Chenga (hakijui) na pia Wachezaji wa Kigeni wanajiamini, wanajitambua na hawaabudu 'Uswahili' alionao na aliouzoea.

7. Atashauri sana Timu iwe 'inaroga' kwakuwa ndiyo eneo lake Kuu la Ubobezi tokea akiwa ni Mchezaji wa Simba SC na Nahodha na 'ametukuka' nalo kisawasawa ili Timu ishinde mabao mengi na ya ajabu ajabu na aweze kupata sana Sifa ili atengeneze Uchawi wa Kubakishwa hata kama Simba SC watamleta Kocha Mpya.
Kwani team ukiendaga. Nje yeye huwa haendi?
 
Duu! Pamoja na kuwa sijafurahia mafanikio kiduchu ya Simba kwa mwaka huu, lakini sikubaliani na chuki za namna hii!
Umeonyesha chuki mpaka unachanganya ststements, Hapa unasema atampanga Wawa, hapa unasema hatawapanga wachezaji wa kigeni!
Hapa unasema watanunua mechi , hapa unasema atatumia uchawi kuroga washinde mechi! Kama ni mtaalam wa ushirikina kuna kuna haja gani ya kuhonga si anatumia tu ushirikina kila kitu kinamnyokea? Sasa unataka mechi zote zilizosalia nazo wapoteze zote au ni vipi na ili iweje???
Katika michezo ni lazima tukubali kuwa kuna kushinda na kushindwa, na asiyekubali kushindwa si mshindani! Si rahisi ukawa mshindi miaka yooote, hapana! Hata majuzi si tumeona Al Ahly wamevuliwa ubingwa wa Afrika na Wydad? Iko wapi Man United iliyozoea kutwaa kombe la EPL kila msimu kama la kwao?
 
Mwisho wa msimu Matola nae aondoke Simba, au apewe timu ya watoto akaifundishe, miaka yote aliyokaa Simba imethibitika hana msaada wowote kwa timu ya wakubwa, wamekuja makocha wengi wameondoka sioni chochote alichojifunza.
Hii miaka yote 4 ambayo Simba ilikuwa inashinda mataji ya ligi na shirikisho je ni wewe ulikuwa unasaidia au ni vipi?
 
Duu! Pamoja na kuwa sijafurahia mafanikio kiduchu ya Simba kwa mwaka huu, lakini sikubaliani na chuki za namna hii!
Umeonyesha chuki mpaka unachanganya ststements, Hapa unasema atampanga Wawa, hapa unasema hatawapanga wachezaji wa kigeni!
Hapa unasema watanunua mechi , hapa unasema atatumia uchawi kuroga washinde mechi! Kama ni mtaalam wa ushirikina kuna kuna haja gani ya kuhonga si anatumia tu ushirikina kila kitu kinamnyokea? Sasa unataka mechi zote zilizosalia nazo wapoteze zote au ni vipi na ili iweje???
Katika michezo ni lazima tukubali kuwa kuna kushinda na kushindwa, na asiyekubali kushindwa si mshindani! Si rahisi ukawa mshindi miaka yooote, hapana! Hata majuzi si tumeona Al Ahly wamevuliwa ubingwa wa Afrika na Wydad? Iko wapi Man United iliyozoea kutwaa kombe la EPL kila msimu kama la kwao?

Nakuhakikishia Unaweza Kutolewa wewe Ushabiki wa Thimba Kuliko Jamaa Kuondolewa…
Tena Unawwza Kuondolewa ukiwa hapa hapa JF…[emoji851][emoji30][emoji14]Chezea Jamaa nini,Bodi iko nae mguu kwa mguu,Na Zindikoo tiyari…
Hiyi hatoki,Ni Bora wnachama wooooote na Mashabiki waondoke ila yeye abaki na Thimba[emoji851]
 
Hamis Kigwangalah umekuja na mpya aisee! [emoji23][emoji23]
 
Mwisho wa msimu Matola nae aondoke Simba, au apewe timu ya watoto akaifundishe, miaka yote aliyokaa Simba imethibitika hana msaada wowote kwa timu ya wakubwa, wamekuja makocha wengi wameondoka sioni chochote alichojifunza.
Utaonaje alicho kufunza wakati ni msaidizi ?
Matola kama ana hujumu Simba, je ameanza msimu huu tu au misimu yote ambayo amekuwa ndani ya klabu?
Wakati Simba ana fanya vizuri alikuwa ana Matola alikuwa wapi...?
 
Eti wanamleteaga zawadi wakitoka huko nje.....maana hapo kwanza ncheke!!! kwahiyo wachezaji wakienda nje ye hua anabaki kuwafulia jezi, au...
Huyu jamaa hajui mpira yeye ana fahamu tunguli tu.
Yani ana andika upupu mtu....!!!
 
1. Atawaambia Wachezaji wake anaowamudu kuwa Wampambanie kwa kumpa Ushindi Mechi zote zilizobaki ili aaminiwe na asitemwe kabisa Simba SC.

2. Atawapanga zaidi Wachezaji Washkaji (Marafiki) zake hasa akina Wawa na Nyoni ambao ndiyo huwa wanampa mno Hela na kumletea (wakimpa) Mizawadi mingi kama wakisafiri nje ya nchi.

3. Kuanzia sasa Wachezaji wa Simba SC watacheza Mpira mkubwa katika Mechi zilizobakia ambao hata hamkuwahi Kuuona pale Timu ilipohitaji Ushindi Muhimu katika Mechi za Ligi Kuu ya NBC na Kombe la ASFC ili Kumshawishi Kocha Matola asiwajumuishe katika Ripoti yake ya Wachezaji wanaotakiwa Kuachwa baada ya Msimu Kumalizika

4. Kama kawaida yake Matola atawaoanga wale tu ambao ama huwa wanampa Hela (10% za Posho zao) au wale ambao watamhakikishi Kumnunulia Bia kitu ambacho anakipenda zaidi na Kuvuta Sigara.

5. Kwakuwa analindwa pia na baadhi ya Viongozi (hasa kutoka katika Bodi ya Simba SC) watamsaidia kwa kuhakikisha Wanazihnga Timu zote watakazocheza nazo ili Kuwashawishi Viongozi Wenzao kuwa anaweza na abaki Klabuni ili Simba SC ikiajiri tena Kocha mpya waendelee Kumtumia kwa Kuihujumu Timu kama alivyoihujumu kwa Msimu huu.

6. Wachezaji wa Kigeni hatokuwa akiwapanga kwakuwa Kwanza Kiingereza na Kifaransa kinampiga Chenga (hakijui) na pia Wachezaji wa Kigeni wanajiamini, wanajitambua na hawaabudu 'Uswahili' alionao na aliouzoea.

7. Atashauri sana Timu iwe 'inaroga' kwakuwa ndiyo eneo lake Kuu la Ubobezi tokea akiwa ni Mchezaji wa Simba SC na Nahodha na 'ametukuka' nalo kisawasawa ili Timu ishinde mabao mengi na ya ajabu ajabu na aweze kupata sana Sifa ili atengeneze Uchawi wa Kubakishwa hata kama Simba SC watamleta Kocha Mpya.
Haha haaaaaaa.....umejitahidi hasa namba 7.
 
Tunamkata Matola apewe timu awe kocha Mkuu,kambadilisha Sacko mpaka jana kafunga magoli mawili,brace.
 
Back
Top Bottom