Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaona tu mifuko ya CCM imetuna kama mbuzi aliyekula kisamvu.Kwa jinsi hii shughuli ya msiba inavyoendeshwa inaonyesha wazi kuna mabilioni ya fedha yanapotea kwa kutumia mgongo wa kumzika kiheshima Rais Magufuli...
Mkuu we jikalie kimya tu, hii ndio Nchi masikini pekee ambayo inatumia mabilioni ya hela kumzururisha Mtu (Rais) alietangulia mbele ya haki wakiamini hakustahili kufa kipindi hiki,Kwa jinsi hii shughuli ya msiba inavyoendeshwa inaonyesha wazi kuna mabilioni ya fedha yanapotea kwa kutumia mgongo wa kumzika kiheshima Rais Magufuli.
Kuna wengine bila shaka wanatumia fursa hii kupiga pesa, pesa ambazo kwa namna moja au nyingine zingesaidia mambo mengi mno MF madawa hospitalini, upanuzi wa barabara, mikopo kwa wanafunzi, mishahara nk.
Mh rais Magufuli enzi za uhai wake miongoni mwa vitu ambavyo alikuwa havipendi ni matumizi yasiyo ya lazima ya pesa ndio maana alikuwa mstari wa mbele kwenye kubana matumizi.
Hivyo basi si mbaya tukajua ni kiasi gani cha pesa kilichotumika kwenye mazishi yake.
Pia tukijua ni kiasi gani cha pesa kilichotumika kwenye kugharamia hiyo peace maker kwa siku kwa kipindi chote alichokuwa madarakani kama rais.
Hahahahahaa u made my day best...eti nguo🤣Yaani inatakiwa mtoke kwenye hayo maisha msiba wowote ukiwa unaendelea ninyi mnafikiria hela na nguo alizoacha marehemu...
Picha ya siku.
Hapa ndipo akili za mwafrika zina tatizo!!yaani mwananchi kutaka kuulizia matumizi ya kodi yake ni kosa??pesa iliyotumika kwenye shughuri yote ya mazishi ni kodi yetu, na lazima (kama serikali ni ya uwazi gharama ijulikane)kwani haya mambo ya kufanya mambo kwa siri ndio huleta shida, mbona mambo haya kwa wazungu huwa yanakuwa wazi tu??sio kwa nia mbaya lakini inasaidia kuwa wahusika wanajua kabisa kuwa baada ya shughuri matumizi ya pesa hizo yataulizwa.Yaani inatakiwa mtoke kwenye hayo maisha msiba wowote ukiwa unaendelea ninyi mnafikiria hela na nguo alizoacha marehemu...
Miaka mitano tu umekopa kwa hao mabeberu trilioni 35!!!!daaa hatari sana!!suala la kujitegemea tungeweza kufika lakini sio kwa mala moja hivyo!!!kama tulivyokuwa tukiaminishwa, kuwa kila mradi tunaojenga ni kwa pesa yetu, sasa hayo matrilioni vipi tena?!!kuendesha serikali kwa kificho ficho, yaani ilifikia hata serikali kukopa ni kwa siri!!haitaki wananchi kujua?!!Yani hata zingetumika zote mtu huyu alistahili Kumbuka pesa unazoziongelea yeye ndie alokuwa mstari wa mbele kuwakaba mabeberu hadi hizo fedha ndio tukajua kumbe hatukuwa maskini.Mwanga wa milele Bwana amuangazie
Sasa hapa atakujibu nani?Hapa ndipo akili za mwafrika zina tatizo!!yaani mwananchi kutaka kuulizia matumizi ya kodi yake ni kosa??pesa iliyotumika kwenye shughuri yote ya mazishi ni kodi yetu, na lazima (kama serikali ni ya uwazi gharama ijulikane)kwani haya mambo ya kufanya mambo kwa siri ndio huleta shida, mbona mambo haya kwa wazungu huwa yanakuwa wazi tu??sio kwa nia mbaya lakini inasaidia kuwa wahusika wanajua kabisa kuwa baada ya shughuri matumizi ya pesa hizo yataulizwa.
Sorry!!hivi unaelewa maana ya forum?tuanzie kwanza hapo!!Sasa hapa atakujibu nani?
Kwanini usiende kuuliza kwenye mamlaka husika maana hata sisi hatujui
Kuuuliza uliza kama hivi ni dalili za umaskini
Haina haja ya kuzuga na hilo swali kila mtu anajua ..Sorry!!hivi unaelewa maana ya forum?tuanzie kwanza hapo!!
Hebu kuweni mnasoma na kuelewa kabla ya kudandia hoja!!inshu hapa sio kuwa pesa haijatumika, pesa imetumika na ni nyingi, lakini kama wananchi wanatakiwa kuambiwa ni kiasi gani, kwa ni pesa zao!!(serikali zenye uwazi lakini)Wewe ukipata mdiba kwako pesa hazitumiki?
Uambiwe wew kama nani.kapukuKwa jinsi hii shughuli ya msiba inavyoendeshwa inaonyesha wazi kuna mabilioni ya fedha yanapotea kwa kutumia mgongo wa kumzika kiheshima Rais Magufuli.
Kuna wengine bila shaka wanatumia fursa hii kupiga pesa, pesa ambazo kwa namna moja au nyingine zingesaidia mambo mengi mno MF madawa hospitalini, upanuzi wa barabara, mikopo kwa wanafunzi, mishahara nk.
Mh rais Magufuli enzi za uhai wake miongoni mwa vitu ambavyo alikuwa havipendi ni matumizi yasiyo ya lazima ya pesa ndio maana alikuwa mstari wa mbele kwenye kubana matumizi.
Hivyo basi si mbaya tukajua ni kiasi gani cha pesa kilichotumika kwenye mazishi yake.