Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Mazishi hata hayajafanyika mpo busy na kuuliza matumizi ya Kodi mmeweka sana mbele hela kuliko utu kodi zipo tuu toka enzi za Mitume wao ndio wanaotumia unadhani ukiletewa taarifa tofauti na matumizi utapata wapi sehemu ya kuhoji au mnaandika tuu bila hata kuumiza kichwa.Hapa ndipo akili za mwafrika zina tatizo!!yaani mwananchi kutaka kuulizia matumizi ya kodi yake ni kosa? Pesa iliyotumika kwenye shughuri yote ya mazishi ni kodi yetu, na lazima (kama serikali ni ya uwazi gharama ijulikane)kwani haya mambo ya kufanya mambo kwa siri ndio huleta shida, mbona mambo haya kwa wazungu huwa yanakuwa wazi tu??sio kwa nia mbaya lakini inasaidia kuwa wahusika wanajua kabisa kuwa baada ya shughuri matumizi ya pesa hizo yataulizwa.