Baada ya Mbowe kugeuka na kuwa kama kina Shibuda, John Cheyo na Mrema ni upi mustakbali wa siasa za upinzani Tanzania?

Baada ya Mbowe kugeuka na kuwa kama kina Shibuda, John Cheyo na Mrema ni upi mustakbali wa siasa za upinzani Tanzania?

70% ya watanzania hawajui kiingereza lakini utakuta na wao wapo kwenye mjadala wa kusema MAGUFULI hajui Kingereza.
Na yeye magufuli alikuwa ni mmoja kwenye hiyo 70% ya wasiojua kiingereza. Lazima tusene kwa vile alidai ana PhD. Unapataje PhD na English unaongea kama vile bata antembea huku anakunya. Eti "The people was daying in ze rake"
 
Sasa si ulete wazo mbadala ?!. Unabeza huku huna lolote la tofauti !!.

Kama ulimsikiliza Samia vizuri. Alisema "kuna nchi huko zimepigana vita vya silaha misituni , bado suluhu haikupatikana. Suluhu ilikuja kupatikana ktk mazungumzo mezani"

Sasa wewe kama hutaki mazungumzo lete njia mbadala. Tuione hasa kwa nature ya waTz
Mkuu utapoteza muda wako, huyo jamaa hajui tumetoka wapi tupo wapi na tunakwenda katika nyanja za kisasa na kimaendeleo ya kiuchumi.
 
Mkuu wewe ndio hukujua walichokuwa wanafanya kwa sababu furaha yako kubwa sana. Wenzio walikuwa wamezama katika MAOMBI mazito ambayo yamekufichua wewe kutoka huko kwenye mema ya Nchi, ni kama vile kiroboto kwenye ngozi ya ng"ombe,
Maombi tena! Yale yale ya kuondoa corona na maombi.
Mambo ya imani ni ngumu sana kujadili hapa maana ni masuala ya kiimani.
 
Kutofautiana mawazo kila sehemu kupo ila kwa hili linalofanyika sasa,kwa mwana CDM anayelipinga atakuwa hajitambui,kweli kwa mateso yaliyokuwepo kwa wapinzani kwa serikali ya awamu ya 5,huu mwanga unaoonekana uukatae??Kwa wafuasi wa jiwe na ccm wengi hawapendi hilli kwani wanajua endapo tu pakiwa na uwanja sawa wa kufanya siasa hadi kwenye uchaguzi nini kinaweza tokea!!Najua bado kuna safari ndefu sana hasa kwa Mama!!labda ajizime data liwalo liwe mimi nataka katiba pendekezwa ile ya warioba ndio ije vile vile na iongozwe vitu na sio kupunguza,2030 amalize muda wake akapumzike,awe ameacha alama!!yenye kutukuka.
Mkuu yaani Mama kama atatuletea ile Katiba ya mapendekezo ya Mzee Warioba, mimi na ukoo wangu wote wenye jumla ya watu zaidi ya 100 tutampa kura zetu.
 
Kwa hali inavyoendelea nchini ni dhahiri hakuna tena upinzani. Bali kuna uungwaji mkono juhudi wa Wapinzani kwa CCM kila mmoja kwa staili yake. ACT Wazalendo wanakula pamoja na CCM kule Zanzibar na CHADEMA nao wanatafuta robo mkate wao huku Tanganyika.

Kabla CHadema hawajaanza kupetiwapetiwa, Kutomaswatomaswa na kulambishwa asali na CCM hii ya leo ya Kinana na Samia, walikuwa wakitokwa povu sana kuhusu ACT Wazalendo kuingia katika serikali ya umoja wa Kitaifa huko Zanzibar. ACT walikuwa wakijitetea kuwa eti ni takwa la kikatiba kuingia humo huku CHADEMA wakiwaita ACT Wasaliti kwa hoja ya kuwa wamewasaliti Wazanzibar kwa kushiriki kula matunda ya uchaguzi haramu.

Leo tunaona CHADEMA nao wamekinga mkono kula ruzuku ambayo hapo mwanzo walisema ni haramu kwa kuwa imetokana na uchaguzi haramu. Kiufupi wamelamba matapishi yao!.

Ukiachilia mbali hilo, CHADEMA walikuwa wakijulikana sana kuwatukana akina hayati Lyatonga Mrema , John Cheyo na Shibuda kuwa eti ni makada wa CCM kutokana na kuwa na siasa za mrengo wa kukubaliana na CCM katika mambo mengi. Leo tunamuona Mwenyekiti Mbowe naye akigeuka kuwa Cheyo na Shibuda aliyechangamka zaidi.

Mbowe leo kaibeba rasmi mikoba ya John Cheyo na ameanza kutumia arguments zilezile za John Cheyo kuwa anataka siasa za "maridhiano", ambazo kimsingi siasa za hivyo ni za kutomasanatomasana, kubembelezanabembelezana ilimradi tu kila mtu aachiwe sphere yake ya influence ili aweze kula kwa urefu wa kamba yake.

Tujiulize, Hizi sifa ambazo Mbowe anazitoa kwa Samia zina tofauti gani kwa mfano na Sifa za Cheyo au Shibuda walizokuwa wakizimwaga kwa Magufuli?

Hii inaonyesha kuwa pengine ukiwa mpinzani na ukaanza kuzeeka, unaanza kuwa na tabia za OLD MAN CCM SYNDROME. Yaani unaanza kuwa na tabia zile za kiCCM CCM. Unaanza kujisogeza kwa CCM, unaanza kuongea kama wanaCCM, na unaanza kubehave kama wanaCCM

Huu ni muda muafaka kwa wanaCHADEMA kumtafakari Mwenyekiti Mbowe kuona kuwa , Je ni kweli siasa hizi za kulala kitanda kimoja na CCM anazoanza kuzifanya zinatokana na utafiti wa kina na upeo wa kisiasa au zinatokana na

1. Mosi, Je ana makubaliano ya siri na CCM ikiwa kama sababu ya kuachiwa kwake Jela na kwa hivyo anafuata script aliyotengenezewa AU

2. Je ana masilahi bianfsi ikiwemo ya kibiashara au kurudishiwa mali zake alizoporwa na serikali ya CCM kipindi cha Mwendazake?

3. Au je ni uzee na uchovu(wa Kisiasa) kwa hiyo ndo ameamua kwenda na falsafa maarufu ya "Kama huwezi kuwashinda, basi ungana nao?".

Katika nchi yoyote ukiona UPINZANI unafanya ROMANCE na Chama Tawala, Jua kuwa hakuna upinzani hapo bali kuna genge la wapiga dili wa kisiasa
Jitafakari utanzania wako. Naona wewe unapenda siasa za mikwaruzano, matusi na kila aina ya vurugu kuliko siasa za kukosoana kistaarabu na kusahihishana. Kuna uwezekano wewe siyo Mtanzania mzalendo.
 
Kwa hali inavyoendelea nchini ni dhahiri hakuna tena upinzani. Bali kuna uungwaji mkono juhudi wa Wapinzani kwa CCM kila mmoja kwa staili yake. ACT Wazalendo wanakula pamoja na CCM kule Zanzibar na CHADEMA nao wanatafuta robo mkate wao huku Tanganyika.

Kabla CHadema hawajaanza kupetiwapetiwa, Kutomaswatomaswa na kulambishwa asali na CCM hii ya leo ya Kinana na Samia, walikuwa wakitokwa povu sana kuhusu ACT Wazalendo kuingia katika serikali ya umoja wa Kitaifa huko Zanzibar. ACT walikuwa wakijitetea kuwa eti ni takwa la kikatiba kuingia humo huku CHADEMA wakiwaita ACT Wasaliti kwa hoja ya kuwa wamewasaliti Wazanzibar kwa kushiriki kula matunda ya uchaguzi haramu.

Leo tunaona CHADEMA nao wamekinga mkono kula ruzuku ambayo hapo mwanzo walisema ni haramu kwa kuwa imetokana na uchaguzi haramu. Kiufupi wamelamba matapishi yao!.

Ukiachilia mbali hilo, CHADEMA walikuwa wakijulikana sana kuwatukana akina hayati Lyatonga Mrema , John Cheyo na Shibuda kuwa eti ni makada wa CCM kutokana na kuwa na siasa za mrengo wa kukubaliana na CCM katika mambo mengi. Leo tunamuona Mwenyekiti Mbowe naye akigeuka kuwa Cheyo na Shibuda aliyechangamka zaidi.

Mbowe leo kaibeba rasmi mikoba ya John Cheyo na ameanza kutumia arguments zilezile za John Cheyo kuwa anataka siasa za "maridhiano", ambazo kimsingi siasa za hivyo ni za kutomasanatomasana, kubembelezanabembelezana ilimradi tu kila mtu aachiwe sphere yake ya influence ili aweze kula kwa urefu wa kamba yake.

Tujiulize, Hizi sifa ambazo Mbowe anazitoa kwa Samia zina tofauti gani kwa mfano na Sifa za Cheyo au Shibuda walizokuwa wakizimwaga kwa Magufuli?

Hii inaonyesha kuwa pengine ukiwa mpinzani na ukaanza kuzeeka, unaanza kuwa na tabia za OLD MAN CCM SYNDROME. Yaani unaanza kuwa na tabia zile za kiCCM CCM. Unaanza kujisogeza kwa CCM, unaanza kuongea kama wanaCCM, na unaanza kubehave kama wanaCCM

Huu ni muda muafaka kwa wanaCHADEMA kumtafakari Mwenyekiti Mbowe kuona kuwa , Je ni kweli siasa hizi za kulala kitanda kimoja na CCM anazoanza kuzifanya zinatokana na utafiti wa kina na upeo wa kisiasa au zinatokana na

1. Mosi, Je ana makubaliano ya siri na CCM ikiwa kama sababu ya kuachiwa kwake Jela na kwa hivyo anafuata script aliyotengenezewa AU

2. Je ana masilahi bianfsi ikiwemo ya kibiashara au kurudishiwa mali zake alizoporwa na serikali ya CCM kipindi cha Mwendazake?

3. Au je ni uzee na uchovu(wa Kisiasa) kwa hiyo ndo ameamua kwenda na falsafa maarufu ya "Kama huwezi kuwashinda, basi ungana nao?".

Katika nchi yoyote ukiona UPINZANI unafanya ROMANCE na Chama Tawala, Jua kuwa hakuna upinzani hapo bali kuna genge la wapiga dili wa kisiasa
Jina lako hapo linaonyesha usharishari. Ushari katika siasa hapa Tanzania hauna nafasi. Anza kwa kubadilisha na hilo jina lako.
 
Kwa hali inavyoendelea nchini ni dhahiri hakuna tena upinzani. Bali kuna uungwaji mkono juhudi wa Wapinzani kwa CCM kila mmoja kwa staili yake. ACT Wazalendo wanakula pamoja na CCM kule Zanzibar na CHADEMA nao wanatafuta robo mkate wao huku Tanganyika.

Kabla CHadema hawajaanza kupetiwapetiwa, Kutomaswatomaswa na kulambishwa asali na CCM hii ya leo ya Kinana na Samia, walikuwa wakitokwa povu sana kuhusu ACT Wazalendo kuingia katika serikali ya umoja wa Kitaifa huko Zanzibar. ACT walikuwa wakijitetea kuwa eti ni takwa la kikatiba kuingia humo huku CHADEMA wakiwaita ACT Wasaliti kwa hoja ya kuwa wamewasaliti Wazanzibar kwa kushiriki kula matunda ya uchaguzi haramu.

Leo tunaona CHADEMA nao wamekinga mkono kula ruzuku ambayo hapo mwanzo walisema ni haramu kwa kuwa imetokana na uchaguzi haramu. Kiufupi wamelamba matapishi yao!.

Ukiachilia mbali hilo, CHADEMA walikuwa wakijulikana sana kuwatukana akina hayati Lyatonga Mrema , John Cheyo na Shibuda kuwa eti ni makada wa CCM kutokana na kuwa na siasa za mrengo wa kukubaliana na CCM katika mambo mengi. Leo tunamuona Mwenyekiti Mbowe naye akigeuka kuwa Cheyo na Shibuda aliyechangamka zaidi.

Mbowe leo kaibeba rasmi mikoba ya John Cheyo na ameanza kutumia arguments zilezile za John Cheyo kuwa anataka siasa za "maridhiano", ambazo kimsingi siasa za hivyo ni za kutomasanatomasana, kubembelezanabembelezana ilimradi tu kila mtu aachiwe sphere yake ya influence ili aweze kula kwa urefu wa kamba yake.

Tujiulize, Hizi sifa ambazo Mbowe anazitoa kwa Samia zina tofauti gani kwa mfano na Sifa za Cheyo au Shibuda walizokuwa wakizimwaga kwa Magufuli?

Hii inaonyesha kuwa pengine ukiwa mpinzani na ukaanza kuzeeka, unaanza kuwa na tabia za OLD MAN CCM SYNDROME. Yaani unaanza kuwa na tabia zile za kiCCM CCM. Unaanza kujisogeza kwa CCM, unaanza kuongea kama wanaCCM, na unaanza kubehave kama wanaCCM

Huu ni muda muafaka kwa wanaCHADEMA kumtafakari Mwenyekiti Mbowe kuona kuwa , Je ni kweli siasa hizi za kulala kitanda kimoja na CCM anazoanza kuzifanya zinatokana na utafiti wa kina na upeo wa kisiasa au zinatokana na

1. Mosi, Je ana makubaliano ya siri na CCM ikiwa kama sababu ya kuachiwa kwake Jela na kwa hivyo anafuata script aliyotengenezewa AU

2. Je ana masilahi bianfsi ikiwemo ya kibiashara au kurudishiwa mali zake alizoporwa na serikali ya CCM kipindi cha Mwendazake?

3. Au je ni uzee na uchovu(wa Kisiasa) kwa hiyo ndo ameamua kwenda na falsafa maarufu ya "Kama huwezi kuwashinda, basi ungana nao?".

Katika nchi yoyote ukiona UPINZANI unafanya ROMANCE na Chama Tawala, Jua kuwa hakuna upinzani hapo bali kuna genge la wapiga dili wa kisiasa
Awali nilikuweka katika kundi la member wale genius lakini nimezijutia fikra zangu za awali. Sijasoma na kumaliza hoja Yako maana ni wastage of time kwani Haina mashiko na ni upotoshaji.
Mwaka 2016 Hadi 2021 nchi hii ilipita katika kipindi kigumu sana pengine kuliko huko Somalia au DRC na ndio maana hata katika zile tafiti za mataifa yasiyo na furaha duniani Tanzania ilikuwa katika nafasi za juu kabisa pamoja na kuwa nchi haikuwa na vita.
Watu wameuwawa, wameteswa,wamefilisiwa, wamefinguliwa kesi za uongo na ndugu zetu wengi wamepotea kama mbuzi anavyopotea zizini na hatujui lakufanya au kusema.
Hali hiyo ili kuirekebisha Kwa serikali isifanye hayo Ina njia mbili kuu nazo ni;
1. KUINGIA VITANI ILI KUIONDOA SERIKALI
2. KUTENGENEZA MARIDHIANO NA MUAFAKA ILI MKUBALIANE KIUTU.

Hatua hiyo ya pili ndio Mbowe na Samia waliongoza vyama vyao kuweza kukubaliana na Sasa hatua zinachukuliwa Kwa mafanikio makubwa.

Hivi mnaopinga ujasiri huu wa vyama hivi mnataka kutuambia mnapenda hiyo njia nyingine yaani VITA? hivi mnavijua vita au mnavisikia? Mmewahi kutembelea nchi ambazo ziko VITANI mkaona maisha ya kina mama na watoto wanavyo ishi. VITANI sio jambo la ajabu familia Yako kuvamiwa na mkeo na mabinti zako kubakwa Kwa zamu ukishuhudia jee mwapenda hayo? Kupoteana na ndugu zako sio story huko jee na Hilo?
Hapa kwetu hata kuandamana bei ya vyakula ikipanda hatuwezi twaweza kumuondoa nduli kama Magu?
Tuipiganie Katiba mpya iliyo Bora na Tume huru ya uchaguzi ili ifike tunaishi na kufanya mambo kama Ghana au nchi za ulaya yaani Leo chama hiki kinapata madaraka kihalali kesho kikiharibu kinapigwa chino kinaingia kingine bila ngumi wala panga.
Mandela na De Klerk walipewa tuzo ya NOBEL Kwa haya wanayofanya Samia na Mbowe, nasi Kuna siku tutawapa tuzo ya kuu kuliko zote wakifanikisha.
 
Maombi tena! Yale yale ya kuondoa corona na maombi.
Mambo ya imani ni ngumu sana kujadili hapa maana ni masuala ya kiimani.
Maombi ni muhimili mwingine katika maisha ya mwanadamu. Leo wewe ukiteuliwa (kwa elimu yako ya Siasa za TZ)DC utaapishwa na wewe utaomba (....... Ewe Mwenyezi Mungu nisaidie) hayo mayo ni maombi Mkuu
 
Mimi sio mpenzi wa vyama vyenu, mtazamo wangu Mara nyingi umejikita kwenye maslahi ya wananchi na washangaa nyinyi mnaojitoa ufahamu kisa una mapenzi na chama fulani so hata kikosea hakipaswi kusema kutokana na hizo fikra mnajikuta mpo chama kimoja tofauti ya mitazamo yenu mmoja anamuona mwenzio ni msaliti hama ni mshabiki wa chama kingine.Kama aina hii ya siasa ngumu vyama vyenu kuendelea
Wewe huu muda unaopoteza huku si ukalime?
 
Wapinzani sisi hatuelewi huo msimamo wa viongozi wa CDM kwa muongozo wa Mbowe. Wao viongozi waendelee na siasa za kujikomba, lakini sisi hatuna muda huo. Kama Mbowe aliweza kumpokea Lowassa na watu wakamvumilia, basi safari hii atajua hana ushawishi huo aliodhani anao. Ni muda mrefu Mbowe alishaonyesha kupoteza mwelekeo.
Tangu nianze kufuatilia michango yako humu, sijawahi kuona ukimbeza Mbowe wala Chadema.

Hatua hii ya usiri uliopo katika maridhiano unakunyima amani mkuu?
 
Awali nilikuweka katika kundi la member wale genius lakini nimezijutia fikra zangu za awali. Sijasoma na kumaliza hoja Yako maana ni wastage of time kwani Haina mashiko na ni upotoshaji.
Mwaka 2016 Hadi 2021 nchi hii ilipita katika kipindi kigumu sana pengine kuliko huko Somalia au DRC na ndio maana hata katika zile tafiti za mataifa yasiyo na furaha duniani Tanzania ilikuwa katika nafasi za juu kabisa pamoja na kuwa nchi haikuwa na vita.
Watu wameuwawa, wameteswa,wamefilisiwa, wamefinguliwa kesi za uongo na ndugu zetu wengi wamepotea kama mbuzi anavyopotea zizini na hatujui lakufanya au kusema.
Hali hiyo ili kuirekebisha Kwa serikali isifanye hayo Ina njia mbili kuu nazo ni;
1. KUINGIA VITANI ILI KUIONDOA SERIKALI
2. KUTENGENEZA MARIDHIANO NA MUAFAKA ILI MKUBALIANE KIUTU.

Hatua hiyo ya pili ndio Mbowe na Samia waliongoza vyama vyao kuweza kukubaliana na Sasa hatua zinachukuliwa Kwa mafanikio makubwa.

Hivi mnaopinga ujasiri huu wa vyama hivi mnataka kutuambia mnapenda hiyo njia nyingine yaani VITA? hivi mnavijua vita au mnavisikia? Mmewahi kutembelea nchi ambazo ziko VITANI mkaona maisha ya kina mama na watoto wanavyo ishi. VITANI sio jambo la ajabu familia Yako kuvamiwa na mkeo na mabinti zako kubakwa Kwa zamu ukishuhudia jee mwapenda hayo? Kupoteana na ndugu zako sio story huko jee na Hilo?
Hapa kwetu hata kuandamana bei ya vyakula ikipanda hatuwezi twaweza kumuondoa nduli kama Magu?
Tuipiganie Katiba mpya iliyo Bora na Tume huru ya uchaguzi ili ifike tunaishi na kufanya mambo kama Ghana au nchi za ulaya yaani Leo chama hiki kinapata madaraka kihalali kesho kikiharibu kinapigwa chino kinaingia kingine bila ngumi wala panga.
Mandela na De Klerk walipewa tuzo ya NOBEL Kwa haya wanayofanya Samia na Mbowe, nasi Kuna siku tutawapa tuzo ya kuu kuliko zote wakifanikisha.
Kama unaleta mambo ya kipenda roho hula nyama mbichi, huwezi kuona siasa za "kuunga mkono juhudi" zinazoendeshwa kwa ujanja mkubwa tofauti na ilivyokuwa kipindi cha mwendazake.
 
Kwa hali inavyoendelea nchini ni dhahiri hakuna tena upinzani. Bali kuna uungwaji mkono juhudi wa Wapinzani kwa CCM kila mmoja kwa staili yake. ACT Wazalendo wanakula pamoja na CCM kule Zanzibar na CHADEMA nao wanatafuta robo mkate wao huku Tanganyika.

Kabla CHadema hawajaanza kupetiwapetiwa, Kutomaswatomaswa na kulambishwa asali na CCM hii ya leo ya Kinana na Samia, walikuwa wakitokwa povu sana kuhusu ACT Wazalendo kuingia katika serikali ya umoja wa Kitaifa huko Zanzibar. ACT walikuwa wakijitetea kuwa eti ni takwa la kikatiba kuingia humo huku CHADEMA wakiwaita ACT Wasaliti kwa hoja ya kuwa wamewasaliti Wazanzibar kwa kushiriki kula matunda ya uchaguzi haramu.

Leo tunaona CHADEMA nao wamekinga mkono kula ruzuku ambayo hapo mwanzo walisema ni haramu kwa kuwa imetokana na uchaguzi haramu. Kiufupi wamelamba matapishi yao!.

Ukiachilia mbali hilo, CHADEMA walikuwa wakijulikana sana kuwatukana akina hayati Lyatonga Mrema , John Cheyo na Shibuda kuwa eti ni makada wa CCM kutokana na kuwa na siasa za mrengo wa kukubaliana na CCM katika mambo mengi. Leo tunamuona Mwenyekiti Mbowe naye akigeuka kuwa Cheyo na Shibuda aliyechangamka zaidi.

Mbowe leo kaibeba rasmi mikoba ya John Cheyo na ameanza kutumia arguments zilezile za John Cheyo kuwa anataka siasa za "maridhiano", ambazo kimsingi siasa za hivyo ni za kutomasanatomasana, kubembelezanabembelezana ilimradi tu kila mtu aachiwe sphere yake ya influence ili aweze kula kwa urefu wa kamba yake.

Tujiulize, Hizi sifa ambazo Mbowe anazitoa kwa Samia zina tofauti gani kwa mfano na Sifa za Cheyo au Shibuda walizokuwa wakizimwaga kwa Magufuli?

Hii inaonyesha kuwa pengine ukiwa mpinzani na ukaanza kuzeeka, unaanza kuwa na tabia za OLD MAN CCM SYNDROME. Yaani unaanza kuwa na tabia zile za kiCCM CCM. Unaanza kujisogeza kwa CCM, unaanza kuongea kama wanaCCM, na unaanza kubehave kama wanaCCM

Huu ni muda muafaka kwa wanaCHADEMA kumtafakari Mwenyekiti Mbowe kuona kuwa , Je ni kweli siasa hizi za kulala kitanda kimoja na CCM anazoanza kuzifanya zinatokana na utafiti wa kina na upeo wa kisiasa au zinatokana na

1. Mosi, Je ana makubaliano ya siri na CCM ikiwa kama sababu ya kuachiwa kwake Jela na kwa hivyo anafuata script aliyotengenezewa AU

2. Je ana masilahi bianfsi ikiwemo ya kibiashara au kurudishiwa mali zake alizoporwa na serikali ya CCM kipindi cha Mwendazake?

3. Au je ni uzee na uchovu(wa Kisiasa) kwa hiyo ndo ameamua kwenda na falsafa maarufu ya "Kama huwezi kuwashinda, basi ungana nao?".

Katika nchi yoyote ukiona UPINZANI unafanya ROMANCE na Chama Tawala, Jua kuwa hakuna upinzani hapo bali kuna genge la wapiga dili wa kisiasa
Ni bora wapige Dili tu kwa sababu Watanzania ukiwaambia tokeni mabarabarani tudai haki zetu hutomuona hata mtu mmoja barabarani !! Mange Kimambi analijua hilo !!
 
Kama unaleta mambo ya kipenda roho hula nyama mbichi, huwezi kuona siasa za "kuunga mkono juhudi" zinazoendeshwa kwa ujanja mkubwa tofauti na ilivyokuwa kipindi cha mwendazake.
OK Sasa njia Gani Bora, tuingie VITANI tuwatoe CCM?
 
Tangu nianze kufuatilia michango yako humu, sijawahi kuona ukimbeza Mbowe wala Chadema.

Hatua hii ya usiri uliopo katika maridhiano unakunyima amani mkuu?

Sina haja ya kumbeza maana natambua mchango wake kwa CDM, ila kwa sasa hastahili kuendelea kuwa mwenyekiti wa CDM. CDM naikubali niibeze ili ,nikufurahishe ww?
 
Back
Top Bottom