Baada ya Mbowe kuiponda awamu ya 5, maoni ya wananchi ambao ni wapiga kura kwenye Instagram page ya JF yanashtua

Baada ya Mbowe kuiponda awamu ya 5, maoni ya wananchi ambao ni wapiga kura kwenye Instagram page ya JF yanashtua

music mimi

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2013
Posts
485
Reaction score
876
Sijui imekaaje hii kisiasa mimi sio mwanasiasa ila naamini nguvu yoyote bila legitimacy ya umma haiwezekani.

Mbowe alikuwa akimwaga sifa kwa Mama Samia uku akiiponda serikali ya Magufuli.

Maoni yake yamewakera sana wananchi na wameonesha hisia zao kupitia kurasa ya Instagram ya jamiiforums.

Nakuwekea link hapa ukajionee mwenyewe.



Kama masharti ya maridhiano ni kuiponda serikali ya awamu ya 5 basi Mbowe na Chadema wajitafakali. Ushawishi wenu utazidi kuporomoka.
Hamshindani na team Magufuli mnashindana na umma. Sijawai kuona mtu kafaulu kwa kushindana na umma.


Ni mtazamo tu.
 
Mwenyekiti atakuwa duplicate siyo yeye au kinywaji alichotumia jana watakuwa wamemchanganyia sio bure..

Mwenyekiti kufanya kazi za Sofia Mjema
 
Mpaka ulewe chakari ili kumponda inaonekana hata yeye haamini anayoyasema.

Tanzania ina matatizo kibao kama mfumuko wa bei, ajira, katiba mpya, Loliondo inauzwa, wanyama wa maliaasili wanasafirishwa, rushwa, tozo, Kodi, mazingira mabovu ya biashara. Yeye mbowe yote haya hayamhusu.

Kazi yake kwa sasa baada ya kulamba asali ni kuwa chawa rasmi wa Samia na kupambana na awamu ya tano.

Analipiwa kila kitu hadi trip za marekani.
 
Sijui imekaaje hii kisiasa mimi sio mwanasiasa ila naamini nguvu yoyote bila legitimacy ya umma haiwezekani.

Mbowe alikuwa akimwaga sifa kwa Mama Samia uku akiiponda serikali ya Magufuli.

Maoni yake yamewakera sana wananchi na wameonesha hisia zao kupitia kurasa ya Instagram ya jamiiforum.

Nakuwekea link hapa ukajionee mwenyewe.



Kama masharti ya maridhiano ni kuiponda serikali ya awamu ya 5 basi Mbowe na Chadema wajitafakali. Ushawishi wenu utazidi kuporomoka.
Hamshindani na team Magufuli mnashindana na umma. Sijawai kuona mtu kafaulu kwa kushindana na umma.


Ni mtazamo tu.

Ndugu wa "MAREHEMU" tuliza TK yajayo yanafurahisha....
 
Bhagosha walinufaika sana nan awamu Ile! Hawakuona madhila yaliyowapata wengineLazima wampondeMbowe.

Ameeleza ukweli na wala hajakosea. Nashangaa Wana cDm wanamponda!
Kuna utofauti wowote wale wa awamu ya tano KUUNGA MKONO JUHUDI na huyu chapombe?

Mwenyekiti kufanya kazi za Sofia Mjema kuongelea CCM na serikali yake.
 
Ni Hatari sana kama tutakua na wapinzani wanaofanya siasa za Kistarabu Kwa Rushwa.
Kumbe Bila Rushwa Mama angetukanwa majukwani!

Wanasiasa ni hatari sana .

Lakini pia watanzania tufahamu fika kuwa hakuna Mwanasiasa Mwenye Tamaa ya Fedha na utajiri ambaye ni mtetezi Wa Wanyonge .Never on earth!!

Atakayewatoa watanzania maskini na kuwapeleka mbele Kwa Sasa ni ama Bashiru Ally, Tundu Lisu, Polepole, John Heche ,Job Ndugai na Dr. Slaa. Hawa watu angalau Hawana Tamaa ya fedha.

Uchaguzi unakaribia Kwa Siasa hizi za Mbowe atairudisha CCM ya wanasiasa wenye mdomo na úlimi unaodanganya Kwa lugha Nzuri na tutaendelea kuibiwa mpaka Atakaporudi Masihi Issah Bin Maryam Mwenye ufalme .

Chadema Kuna kitu hawajifunzi. Utawala ni Wa Mungu . Mungu alimpitisha Magufuli Ili watanzania waamke Kama walivyoamka . Magufuli ameacha roho ya kuhoji na kupigania Mali za umma.
Magufuli ameacha roho ya kukataa miradi Feki . Magufuli ameacha roho ya kukataa ghilba za Wazungu na Mawakala wao. Magufuli ameacha roho ya kutetea wanyonge ambao ni wengi na NDIO wanaoumizwa na umaskini,tozo kubwa,Kodi KUBWA,elimu mbovu, matumizi makubwa ya watawala, wizi, uhalifu , mauaji ya watu kutokana na maisha magumu, ushoga, utekaji Wa Watoto wasio na hatia, Imani za kishirikina , Imani potofu za kuuza mafuta ,mfumuko Wa Bei, ukosefu Wa Ajira n.k. Magufuli alibeba Maono ya Mzee Karume na Nyerere Kwa pamoja ,alikwenda Mbele ZAIDI katika kukupigania Taifa hili wakati huu ambapo Kuna pengo kubwa sana kati ya maskini na matajiri KWENYE nchi yenye utajiri mkubwa Wa asili ulioletwa na Mwenyezi Mungu.Roho aliyokuwa ameibeba Magufuli ndiyo roho ya uhuru Wa nchi hii. Hakuna MTU atakayeiua HIYO roho. HIYO ndiyo roho inayolinda uhuru,Rasilimali na utu Wa Watanzania .

Mbowe asijidanganye Kwa Siasa zake Hata pakiwa na Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi Chadema ikifanana na CCM kamwe hawawezi kushinda .
Magufuli ndiye aliyeleta Siasa za Tofauti NDANI ya CCM na ndiye aliyewaamsha wanyonge kuwakataa wapigaji .
Mbowe akiwa amelewa Kama Jana ashauriwe asipande majukwaani kwani anakiua chama . MTU mwenye Busara ya kutosha huwezi kupanda jukwaani KWENYE Ardhi ya Wasukuma ukaanza kudhalilisha na kumponda Kiongozi Mkubwa aliyewaletea Heshima kubwa NDANI na Nje ya nchi . Wasukuma wengi walionufaika na utawala Wa awamu ya Tano katika miradi ya kimkakati lakini pia kisiasa na kiuchumi . Daraja kubwa KULE Busisi ni Alama kubwa ya Shujaa Wa kisukuma JPM . Leo Mbowe alivyo Wa ajabu anashindwa kutumia busara na kujiepusha na hasira na ghadhabu za watu Wa Ukanda Wa Ziwa ambao wanamkubuka Magufuli Kwa mema Mengi kuliko mabaya machache ya kuzuia mikutano ya Hadhara na uchaguzi.

Kuna mambo Mengi sana yangekwama Kwa muda mrefu Bila Magufuli kuletwa hapa Duniani .Kuna mambo Mengi sana yamefanyika Kwa sababu ya msimamo Wa Magufuli.

Mbowe Acha Siasa za kihuni watanzania wanataka será mbadala na SIO kejeli
 
Sijui imekaaje hii kisiasa mimi sio mwanasiasa ila naamini nguvu yoyote bila legitimacy ya umma haiwezekani.

Mbowe alikuwa akimwaga sifa kwa Mama Samia uku akiiponda serikali ya Magufuli.

Maoni yake yamewakera sana wananchi na wameonesha hisia zao kupitia kurasa ya Instagram ya jamiiforum.

Nakuwekea link hapa ukajionee mwenyewe.



Kama masharti ya maridhiano ni kuiponda serikali ya awamu ya 5 basi Mbowe na Chadema wajitafakali. Ushawishi wenu utazidi kuporomoka.
Hamshindani na team Magufuli mnashindana na umma. Sijawai kuona mtu kafaulu kwa kushindana na umma.


Ni mtazamo tu.

Binafsi sikuelewa muda mwingi katumia kuiponda awamu ya tano, na kusifia awamu ya sita.. sasa yeye kam a mpinzan anahoja Gani zaidi Kwa ajili ya uchaguz ujao??ni vizur wakajiunga na ccm tu.. magu magu magu. Leta sera Zako umepewa uwanja Bado unalamu tu awamu iliyopita as if hii awamu ni ya chama kingine. Jipangeni na Kwa mwendo huu. Mama Samia nchi Yako hii hadi 2030.? Hkna upinzani hapa
 
Mtego wa panya wajiondelee wenyewe credibility.

CCM imeshaelewa kuna Tanzania ya mafisadi ndio iliyokuwa na vita na Magufuli.

Halafu kuna watanzania wanaoishi na changamoto watu ambao wanaongaika kutafuta maisha kihalali kwao miundombinu ya maeneo yao (ili wapate access muhimu), haki, mtu wa kumuamini anaeweza wasaidia na kuwatetea kwa kiasi fulani.

Sasa Magufuli alikuwa trusted na hawa watu.

Kwenda kumtukana Magufuli huko ata kama ulipigwa risasi 200 ukapona wengi watakuona mwehu tu, kwa jinsi walivyomuelewa wao.

Hakuna sehemu utamtukana Magufuli leo ukaeleweka hasa mambo yalivyoenda mrama ghafla.

Magufuli angekuwa yupo hai na madarakani ungeweza mtukana baadhi ya watu wakakuelewa. Lakini sasa hivi na kwa hali ya maisha labda uje kujifurahisha JF utakutana na wazimu wengine wa ku-support, kwa mtaani utaonekana mwehu tu.

Bi Tozo kawarushia kitanzi tu upinzani, mziki wa Magufuli keshauelewa haukuwa wa kitoto jasho linamtoka kuendeleza miradi aliyoikuta tu. Tanzania sio Twitter republic wala JF ambapo wahuni wanajitekenya na kucheka wenyewe.
 
Sijui imekaaje hii kisiasa mimi sio mwanasiasa ila naamini nguvu yoyote bila legitimacy ya umma haiwezekani.

Mbowe alikuwa akimwaga sifa kwa Mama Samia uku akiiponda serikali ya Magufuli.

Maoni yake yamewakera sana wananchi na wameonesha hisia zao kupitia kurasa ya Instagram ya jamiiforum.

Nakuwekea link hapa ukajionee mwenyewe.



Kama masharti ya maridhiano ni kuiponda serikali ya awamu ya 5 basi Mbowe na Chadema wajitafakali. Ushawishi wenu utazidi kuporomoka.
Hamshindani na team Magufuli mnashindana na umma. Sijawai kuona mtu kafaulu kwa kushindana na umma.


Ni mtazamo tu.
Hakuna watu wenye akili instagram,

watu walohudhuria mkutano mwanza ni kielelezo kuwa mbowe ni mwamba na Magufuli alikuwa wa hovyo, watu hawakumshobokea zaid ya chawa wake
 
Sijui imekaaje hii kisiasa mimi sio mwanasiasa ila naamini nguvu yoyote bila legitimacy ya umma haiwezekani.

Mbowe alikuwa akimwaga sifa kwa Mama Samia uku akiiponda serikali ya Magufuli.

Maoni yake yamewakera sana wananchi na wameonesha hisia zao kupitia kurasa ya Instagram ya jamiiforum.

Nakuwekea link hapa ukajionee mwenyewe.



Kama masharti ya maridhiano ni kuiponda serikali ya awamu ya 5 basi Mbowe na Chadema wajitafakali. Ushawishi wenu utazidi kuporomoka.
Hamshindani na team Magufuli mnashindana na umma. Sijawai kuona mtu kafaulu kwa kushindana na umma.


Ni mtazamo tu.

Ndio maana ya demokrasia ule uhuru wa kuwakilisha maoni yako kisha unawaachia waliokusikiliza wakupime kama unafaa kwa matumizi au hapana.
 
Back
Top Bottom