the guardian 17
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 395
- 570
"Tukutane kwenye Medani Kuu Live na Chief Edwin Odemba kujadiliana juu ya 'Uongozi Wetu na Hatma ya CHADEMA 2025 & Beyond'! Katika kuelekea 'Fainali' ya tarehe 21 Januari, 'Mdahalo wa Wenyeviti' ni utamaduni wa kisiasa unaopaswa kujengwa na kukuzwa kama sehemu ya ujenzi wa utamaduni wa kidemokrasia katika nchi yetu na chama chetu. Ingependeza sana kama tungekuwa wote watatu, but haya ni mambo mapya kwetu na yana hofu zake...!" - Tundu Lissu
Soma pia: MDAHALO: Freeman Mbowe amekacha, Tundu Lissu na Odero Charles Odero kushiriki
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Soma pia: MDAHALO: Freeman Mbowe amekacha, Tundu Lissu na Odero Charles Odero kushiriki
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025