Mbowe ni mwizi kama wezi wengine kaiba pesa zote za chama kisha kuzitakatisha kupitia madeni Hewa kupiga cha juu kwenye kukodi chopa ya angani , Mbowe ana hofu Lisu akiwa mwenyekiti atamfunga jela kwa ufisadi pesa za chama , na Rushwa ya ngono anayowafanyia viti maalum, sasa kaunda kamati ya Roho mbaya ikiongozwa na Mdee, Boniface, sugu, wenje na Wilium mungai kwa ajili ya kufanya uchakachuaji kuiba kura kupora ushindi wa Lisu, wanakula pesa zote za mbowe alizoiba chadema kwa pamoja wakiamini watamdhoofisha Lisu