Pre GE2025 Baada ya Mbowe kutetea uenyekiti wake, masikini Tundu Lissu, kwishney! Je, atabaki ama atatimka? Lissu Cool down, usiitishe Press kumjibu Mbowe!

Pre GE2025 Baada ya Mbowe kutetea uenyekiti wake, masikini Tundu Lissu, kwishney! Je, atabaki ama atatimka? Lissu Cool down, usiitishe Press kumjibu Mbowe!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Usimtishe Lisu wache tufike kwenye box hakuna kujitoa
Sio namtisha Lissu, baada ya Mbowe kutangaza anagombea, kwa jinsi hawa jamaa walivyo manyumbu, unadhani kuna uchaguzi tena?. Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema ndio umemalizika leo!, kinachofuata ni kukamilisha tuu taratibu ili kuonyeshea tuu, kuwa Chadema wanafanyaga uchaguzi wa Mwenyekiti!.
P
 
Wanabodi
Kumekucha, Chadema Kazi Imeanza!.

Baada ya Mwenyekiti Mbowe kuamua kutetea Uenyekiti wake Chadema, kiukweli hatma ya Tundu Lissu ndani ya Chadema ndio imefika at the end of the road, Tundu Lissu ndio kwishney ndani ya Chadema!. Je ataendelea kugombea hadi atoswe kwa kupata kura moja, ama atajitoa?, na akiamua kujitoa kutoendelea kugombea, jee atabaki Chadema, ama atabwaga manyanga na kujitimkia zake Ubeligiji ama atatimka Chadema na kujiunga na chama kingine kitakachompa tiketi ya kugombea urais?.

Mimi Tundu Lissu ni mdogo wangu wa shule ya sekondari pale Ilboru, kwa vile namjua sana ni mtu machachari na papara, hivyo nimejitolea kwanza kumshauri to cool down!, asifanye uamuzi wowote wa papara, utakao iumiza Chadema.

Soma Pia: Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwa box

Kitu cha pili ni kumuomba, Please please please, usiitishe press conference yoyote kumjibu Mbowe, huo utakuwa ni utovu wa nidhamu, Lissu ni umevuliwa nguo na kuachwa mtupu kabisa!, kumbe hakuna rushwa yoyote Chadema!, hakuna hongo yoyote ya Abdul na Mama yake!, kumbe hata nusu mkate ni uzushi wako tuu?!

Mtu mzima unapo vuliwa nguo hadharani mchana kweupe na kuachwa mtupu kabisa kwenye kadamnasi ya watu, dawa sio kujitetea bali ni kuchutama!.

Tundu Lissu chutama!.

Kaka yako mkubwa
Paskali.
Katika uchaguzi kuna kushida na kushindwa. Lissu akishinda atafurahi, akishindwa atakubali na asubiri wakati mwingine. Hiyo ndiyo demokrasia.
 
Sio namtisha Lissu, baada ya Mbowe kutangaza anagombea, kwa jinsi hawa jamaa walivyo manyumbu, unadhani kuna uchaguzi tena?. Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema ndio umemalizika leo!, kinachofuata ni kukamilisha tuu taratibu ili kuonyeshea tuu, kuwa Chadema wanafanyaga uchaguzi wa Mwenyekiti!.
P
Naomba kuliza chadema ni chama cha siasa au saccoss ya ayatollah mboww?
 
Naomba uniamini, mimi situmwi na mtu!, najituma mwenyewe.
P
Mayalla ,nakuita mala ya pili ,mkuu Mayala ,kwa level yako sio wa kutoa maoni mepesi namna hii , nimekushangaa sana mkuu, kwamba hujui maana ya uchaguzi ni kushindana katika sanduku la kura mkuu, Lissu kavuliwa nguo wapi ,na shida nini mpaka mda huu mpaka uyaseme haya,

Kwenye uchaguzi bila figisu, wazi na wa haki Mbowe anapigwa saa mbili hasubui mapema
 
Alipata kura 1 tu huyu, 3 hakufika kabisa....
Shukrani , mkuu kwa kunipa up to date nzuri , kama ndivyo mbona sie hatukunyanyua mdomo sema amevuliwa nguo? kumbe uchaguzi anaujua kwamba kuna kushinda na kushindwa , sasa aya ya kukandia upande wa pili anayatoa wapi? Uyu ndugu yangu tena mwanasheria kabisa .

Note
Mwanasheria msomi ndugu Mayala , tunataka sasa ,kura zipigwe mbele ya wajumbe ,na hesabu ya kura ifanyike mbele ya wajumbe moja baada ya moja.

Pili kwenye ukumbi wa kupigia kura hatutaki asie husika ingia ndani ,ni wanahabari, wasimamizi wa uchaguzi , na wageni waalikwa meza kuu tu , hata hao waalikwa movement zao zitakuwa monitored , acha sanduku la kura litoe maamuzi, mtashangaa
 
Pamoja na kuambiwa kwamba kumwelewa Paschal Mahala ni lazima utumie akili, ila jamaa nimemfuatilia na kugundua jamaa (P) ni mweupe kichwani kama wengine au kama siyo basi ni Chawa anayetumika na upande uleee.

Alipodhurumiwa Ali Kibao na wale wasiojulikana ndo nilikuja kuiona rangi halisi ya Paskali. Hakuonyesha kuumia na kwa uandishi wake huo tunaoambiwa ni wa 'akili kubwa' alionekana yuko upande wa dhulumati.
 
Wanabodi
Kumekucha, Chadema Kazi Imeanza!.

Baada ya Mwenyekiti Mbowe kuamua kutetea Uenyekiti wake Chadema, kiukweli hatma ya Tundu Lissu ndani ya Chadema ndio imefika at the end of the road, Tundu Lissu ndio kwishney ndani ya Chadema!. Je ataendelea kugombea hadi atoswe kwa kupata kura moja, ama atajitoa?, na akiamua kujitoa kutoendelea kugombea, jee atabaki Chadema, ama atabwaga manyanga na kujitimkia zake Ubeligiji ama atatimka Chadema na kujiunga na chama kingine kitakachompa tiketi ya kugombea urais?.

Mimi Tundu Lissu ni mdogo wangu wa shule ya sekondari pale Ilboru, kwa vile namjua sana ni mtu machachari na papara, hivyo nimejitolea kwanza kumshauri to cool down!, asifanye uamuzi wowote wa papara, utakao iumiza Chadema.

Soma Pia: Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwa box

Kitu cha pili ni kumuomba, Please please please, usiitishe press conference yoyote kumjibu Mbowe, huo utakuwa ni utovu wa nidhamu, Lissu ni umevuliwa nguo na kuachwa mtupu kabisa!, kumbe hakuna rushwa yoyote Chadema!, hakuna hongo yoyote ya Abdul na Mama yake!, kumbe hata nusu mkate ni uzushi wako tuu?!

Mtu mzima unapo vuliwa nguo hadharani mchana kweupe na kuachwa mtupu kabisa kwenye kadamnasi ya watu, dawa sio kujitetea bali ni kuchutama!.

Tundu Lissu chutama!.

Kaka yako mkubwa
Paskali.
Haya mambo, Kwa upande wangu, ni magumu sana. Tatizo la rushwa ndani ya chama ni vigumu kulitatua through media. Labda inawezekana, sijui! Mbowe alitaja kitu kinachoitwa 'teamwork'. Katika context alivyoiweka (kama ni kweli) kupata ufumbuzi wa pamoja ni vigumu. Kwa upande mwingine, ni rahisi sana sisi watu wa nje kuwa na upande na kukataa kuona au kusikiliza upande mwingine unasema nini. Mfano, kuna watu walitaka sana Mbowe asigombee, amwachie Tundu Lissu. Leo amechukua fomu ya kugombea, na baadhi wameudhika sana, na bado wanarusha maneno. Sijui itasaidia nini katika mazingira haya. Wakati huo huo Katiba yao inamruhusu agombee. Sasa tufanyeje? Binafsi naona (kama walichokuwa wakituaminisha ni kweli kwamba hawana mgogoro kati yao, na kutofautiana mitazamo ni jambo la kawaida), then itabidi wawe pamoja baada ya kupatikana mshindi 'to make the best out of the situation'. Hii njia nzuri ya kutokea katika tatizo lolote la kutegemea au lisilotegemewa - 'to make the best out of the situation'. Vinginevyo wataendelea (hasa wafuasi wao) kurushiana maneno, na sidhani kama kwa namna hiyo watakuwa wakijenga chama chao.
 
Wanabodi
Kumekucha, Chadema Kazi Imeanza!.

Baada ya Mwenyekiti Mbowe kuamua kutetea Uenyekiti wake Chadema, kiukweli hatma ya Tundu Lissu ndani ya Chadema ndio imefika at the end of the road, Tundu Lissu ndio kwishney ndani ya Chadema!. Je ataendelea kugombea hadi atoswe kwa kupata kura moja, ama atajitoa?, na akiamua kujitoa kutoendelea kugombea, jee atabaki Chadema, ama atabwaga manyanga na kujitimkia zake Ubeligiji ama atatimka Chadema na kujiunga na chama kingine kitakachompa tiketi ya kugombea urais?.

Mimi Tundu Lissu ni mdogo wangu wa shule ya sekondari pale Ilboru, kwa vile namjua sana ni mtu machachari na papara, hivyo nimejitolea kwanza kumshauri to cool down!, asifanye uamuzi wowote wa papara, utakao iumiza Chadema.

Soma Pia: Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwa box

Kitu cha pili ni kumuomba, Please please please, usiitishe press conference yoyote kumjibu Mbowe, huo utakuwa ni utovu wa nidhamu, Lissu ni umevuliwa nguo na kuachwa mtupu kabisa!, kumbe hakuna rushwa yoyote Chadema!, hakuna hongo yoyote ya Abdul na Mama yake!, kumbe hata nusu mkate ni uzushi wako tuu?!

Mtu mzima unapo vuliwa nguo hadharani mchana kweupe na kuachwa mtupu kabisa kwenye kadamnasi ya watu, dawa sio kujitetea bali ni kuchutama!.

Tundu Lissu chutama!.

Kaka yako mkubwa
Paskali.
Mkuu ulitegemea Mbowe aseme tofauti na alvyosema? Upi ushahidi wa ukweli alichosema mpaka usema Lissu asijitete tena achutame?!
 
Back
Top Bottom