robert sendabishaka
JF-Expert Member
- Dec 11, 2015
- 3,111
- 3,294
mkuu Pascal Mayalla natangaza maslah kuwa mimi ni mfuatiliaji mzur wa maandiko yako na ninabarikiwa sana kwa uchambuzi wako na hakika kwa habari za uchambuzi wa kisiasa nimekuweka nafasi ya juu zaidi huku JF tangu enzi za kutuwekea bandiko lililokuwa linabashiri uwezekano wa mgombea na mshindi wa uraisi namba 10 na hakika ikawa. si hilo tu na mengine mengi yanatoa mwongozo na hatimae inakuwa sawa. na hilo; kutoka kwako na wachambuzi wengi wengi lukuki wa humu jf yanaifanya jf kuwa mhimili muhimu sana kwangu kuuamini kuliko chanzo chochote.
ikumbukwe tetesi za nani ataibuka mshindi katika chama hiki zilianza humu na pia ikaandaliwa kura ya maoni ya awali kabisa. watu wakakejeli ni ushabiki wa mtandaoni. mimi niliamini matokeo ya humu ndiyo yameshamaliza uchaguzi mengine ni kuweka mhuri tu.
tatizo kidogo la 'Nsumba Ntale' Pascal ni; kuna nyakati unajisahau unajikweza kudhani fikra zako ndizo ziko juu ya wengine na unajiweka kwenye nafasi ya kutodhaniwa una nafasi ya kufanya makosa kama ilivyo sifa ya binadamu. hili pia kwangu sio tatizo maana u mwepesi wa kujikosoa na kukiri hadharani kuwa ulikengeuka ktk jambo fulani na hauachi kutoa pongezi kwa mhusika aliyethibitisha bila chembe ya shaka kuwa amekukosoa kwa haki (to prove wrong) na hili limenifanya nikukubali na kukupenda zaidi.
nakukumbusha tena nje na mada ya uchaguzi, rudi nyuma enzi za utabiri wa marehemu sheikh Yahya Hussein (wewe ukikuwepo physically siku anatamka juu ya uwezekano wa kutawala jinsi ya 'ke') fuatilia tena records hasa waandishi mlipoanza kubisha na kutia shaka kabla na baada ya utawala wa mwanamke. kuna jambo lilisemwa.
ikumbukwe tetesi za nani ataibuka mshindi katika chama hiki zilianza humu na pia ikaandaliwa kura ya maoni ya awali kabisa. watu wakakejeli ni ushabiki wa mtandaoni. mimi niliamini matokeo ya humu ndiyo yameshamaliza uchaguzi mengine ni kuweka mhuri tu.
tatizo kidogo la 'Nsumba Ntale' Pascal ni; kuna nyakati unajisahau unajikweza kudhani fikra zako ndizo ziko juu ya wengine na unajiweka kwenye nafasi ya kutodhaniwa una nafasi ya kufanya makosa kama ilivyo sifa ya binadamu. hili pia kwangu sio tatizo maana u mwepesi wa kujikosoa na kukiri hadharani kuwa ulikengeuka ktk jambo fulani na hauachi kutoa pongezi kwa mhusika aliyethibitisha bila chembe ya shaka kuwa amekukosoa kwa haki (to prove wrong) na hili limenifanya nikukubali na kukupenda zaidi.
nakukumbusha tena nje na mada ya uchaguzi, rudi nyuma enzi za utabiri wa marehemu sheikh Yahya Hussein (wewe ukikuwepo physically siku anatamka juu ya uwezekano wa kutawala jinsi ya 'ke') fuatilia tena records hasa waandishi mlipoanza kubisha na kutia shaka kabla na baada ya utawala wa mwanamke. kuna jambo lilisemwa.