Pre GE2025 Baada ya Mbowe kutetea uenyekiti wake, masikini Tundu Lissu, kwishney! Je, atabaki ama atatimka? Lissu Cool down, usiitishe Press kumjibu Mbowe!

Pre GE2025 Baada ya Mbowe kutetea uenyekiti wake, masikini Tundu Lissu, kwishney! Je, atabaki ama atatimka? Lissu Cool down, usiitishe Press kumjibu Mbowe!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
mkuu Pascal Mayalla natangaza maslah kuwa mimi ni mfuatiliaji mzur wa maandiko yako na ninabarikiwa sana kwa uchambuzi wako na hakika kwa habari za uchambuzi wa kisiasa nimekuweka nafasi ya juu zaidi huku JF tangu enzi za kutuwekea bandiko lililokuwa linabashiri uwezekano wa mgombea na mshindi wa uraisi namba 10 na hakika ikawa. si hilo tu na mengine mengi yanatoa mwongozo na hatimae inakuwa sawa. na hilo; kutoka kwako na wachambuzi wengi wengi lukuki wa humu jf yanaifanya jf kuwa mhimili muhimu sana kwangu kuuamini kuliko chanzo chochote.

ikumbukwe tetesi za nani ataibuka mshindi katika chama hiki zilianza humu na pia ikaandaliwa kura ya maoni ya awali kabisa. watu wakakejeli ni ushabiki wa mtandaoni. mimi niliamini matokeo ya humu ndiyo yameshamaliza uchaguzi mengine ni kuweka mhuri tu.

tatizo kidogo la 'Nsumba Ntale' Pascal ni; kuna nyakati unajisahau unajikweza kudhani fikra zako ndizo ziko juu ya wengine na unajiweka kwenye nafasi ya kutodhaniwa una nafasi ya kufanya makosa kama ilivyo sifa ya binadamu. hili pia kwangu sio tatizo maana u mwepesi wa kujikosoa na kukiri hadharani kuwa ulikengeuka ktk jambo fulani na hauachi kutoa pongezi kwa mhusika aliyethibitisha bila chembe ya shaka kuwa amekukosoa kwa haki (to prove wrong) na hili limenifanya nikukubali na kukupenda zaidi.

nakukumbusha tena nje na mada ya uchaguzi, rudi nyuma enzi za utabiri wa marehemu sheikh Yahya Hussein (wewe ukikuwepo physically siku anatamka juu ya uwezekano wa kutawala jinsi ya 'ke') fuatilia tena records hasa waandishi mlipoanza kubisha na kutia shaka kabla na baada ya utawala wa mwanamke. kuna jambo lilisemwa.
 
o
mkuu Pascal Mayalla natangaza maslah kuwa mimi ni mfuatiliaji mzur wa maandiko yako na ninabarikiwa sana kwa uchambuzi wako na hakika kwa habari za uchambuzi wa kisiasa nimekuweka nafasi ya juu zaidi huku JF tangu enzi za kutuwekea bandiko lililokuwa linabashiri uwezekano wa mgombea na mshindi wa uraisi namba 10 na hakika ikawa. si hilo tu na mengine mengi yanatoa mwongozo na hatimae inakuwa sawa. na hilo; kutoka kwako na wachambuzi wengi wengi lukuki wa humu jf yanaifanya jf kuwa mhimili muhimu sana kwangu kuuamini kuliko chanzo chochote.

ikumbukwe tetesi za nani ataibuka mshindi katika chama hiki zilianza humu na pia ikaandaliwa kura ya maoni ya awali kabisa. watu wakakejeli ni ushabiki wa mtandaoni. mimi niliamini matokeo ya humu ndiyo yameshamaliza uchaguzi mengine ni kuweka mhuri tu.

tatizo kidogo la 'Nsumba Ntale' Pascal ni; kuna nyakati unajisahau unajikweza kudhani fikra zako ndizo ziko juu ya wengine na unajiweka kwenye nafasi ya kutodhaniwa una nafasi ya kufanya makosa kama ilivyo sifa ya binadamu. hili pia kwangu sio tatizo maana u mwepesi wa kujikosoa na kukiri hadharani kuwa ulikengeuka ktk jambo fulani na hauachi kutoa pongezi kwa mhusika aliyethibitisha bila chembe ya shaka kuwa amekukosoa kwa haki (to prove wrong) na hili limenifanya nikukubali na kukupenda zaidi.

nakukumbusha tena nje na mada ya uchaguzi, rudi nyuma enzi za utabiri wa marehemu sheikh Yahya Hussein (wewe ukikuwepo physically siku anatamka juu ya uwezekano wa kutawala jinsi ya 'ke') fuatilia tena records hasa waandishi mlipoanza kubisha na kutia shaka kabla na baada ya utawala wa mwanamke. kuna jambo lilisemwa.
Asante sana kwa yote, naomba links ya utabiri huo wa Sheikh Yahya.
P
 
mkuu Pascal Mayalla natangaza maslah kuwa mimi ni mfuatiliaji mzur wa maandiko yako na ninabarikiwa sana kwa uchambuzi wako

nakukumbusha tena nje na mada ya uchaguzi, rudi nyuma enzi za utabiri wa marehemu sheikh Yahya Hussein (wewe ukikuwepo physically siku anatamka juu ya uwezekano wa kutawala jinsi ya 'ke') fuatilia tena records hasa waandishi mlipoanza kubisha na kutia shaka kabla na baada ya utawala wa mwanamke. kuna jambo lilisemwa.
Hili lilikanushwa na jamii check.
P
 
Wanabodi,

Kumekucha, Chadema Kazi Imeanza!

Baada ya Mwenyekiti Mbowe kuamua kutetea Uenyekiti wake Chadema, kiukweli hatma ya Tundu Lissu ndani ya Chadema ndio imefika at the end of the road, Tundu Lissu ndio kwishney ndani ya Chadema! Je, ataendelea kugombea hadi atoswe kwa kupata kura moja, ama atajitoa?, na akiamua kujitoa kutoendelea kugombea, jee atabaki Chadema, ama atabwaga manyanga na kujitimkia zake Ubeligiji ama atatimka Chadema na kujiunga na chama kingine kitakachompa tiketi ya kugombea urais?.

Mimi Tundu Lissu ni mdogo wangu wa shule ya sekondari pale Ilboru, kwa vile namjua sana ni mtu machachari na papara, hivyo nimejitolea kwanza kumshauri to cool down!, asifanye uamuzi wowote wa papara, utakao iumiza Chadema.

Soma Pia: Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwa box

Kitu cha pili ni kumuomba, Please please please, usiitishe press conference yoyote kumjibu Mbowe, huo utakuwa ni utovu wa nidhamu, Lissu ni umevuliwa nguo na kuachwa mtupu kabisa!, kumbe hakuna rushwa yoyote Chadema!, hakuna hongo yoyote ya Abdul na Mama yake!, kumbe hata nusu mkate ni uzushi wako tuu?!

Mtu mzima unapo vuliwa nguo hadharani mchana kweupe na kuachwa mtupu kabisa kwenye kadamnasi ya watu, dawa sio kujitetea bali ni kuchutama!.

Tundu Lissu chutama!.

Kaka yako mkubwa
Paskali.
Unajisikiaje sasa?
 
Kwa upande wangu mimi ni no comment kwani kiwango cha unafiki nchini kinatisha! Natumaini tu kwamba matokeo ya huu uchaguzi, yatawafungua macho vipofu wa kisiasa wasiojua kuwa hawajui waliotamalaki nchini.
 
Wanabodi,

Kumekucha, Chadema Kazi Imeanza!

Baada ya Mwenyekiti Mbowe kuamua kutetea Uenyekiti wake Chadema, kiukweli hatma ya Tundu Lissu ndani ya Chadema ndio imefika at the end of the road, Tundu Lissu ndio kwishney ndani ya Chadema! Je, ataendelea kugombea hadi atoswe kwa kupata kura moja, ama atajitoa?, na akiamua kujitoa kutoendelea kugombea, jee atabaki Chadema, ama atabwaga manyanga na kujitimkia zake Ubeligiji ama atatimka Chadema na kujiunga na chama kingine kitakachompa tiketi ya kugombea urais?.

Mimi Tundu Lissu ni mdogo wangu wa shule ya sekondari pale Ilboru, kwa vile namjua sana ni mtu machachari na papara, hivyo nimejitolea kwanza kumshauri to cool down!, asifanye uamuzi wowote wa papara, utakao iumiza Chadema.

Soma Pia: Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwa box

Kitu cha pili ni kumuomba, Please please please, usiitishe press conference yoyote kumjibu Mbowe, huo utakuwa ni utovu wa nidhamu, Lissu ni umevuliwa nguo na kuachwa mtupu kabisa!, kumbe hakuna rushwa yoyote Chadema!, hakuna hongo yoyote ya Abdul na Mama yake!, kumbe hata nusu mkate ni uzushi wako tuu?!

Mtu mzima unapo vuliwa nguo hadharani mchana kweupe na kuachwa mtupu kabisa kwenye kadamnasi ya watu, dawa sio kujitetea bali ni kuchutama!.

Tundu Lissu chutama!.

Kaka yako mkubwa
Paskali.
Mkuu Pascal Mayalla naomba kusikia maoni yako baada matokeo haya,
 
Wanabodi,

Kumekucha, Chadema Kazi Imeanza!

Baada ya Mwenyekiti Mbowe kuamua kutetea Uenyekiti wake Chadema, kiukweli hatma ya Tundu Lissu ndani ya Chadema ndio imefika at the end of the road, Tundu Lissu ndio kwishney ndani ya Chadema! Je, ataendelea kugombea hadi atoswe kwa kupata kura moja, ama atajitoa?, na akiamua kujitoa kutoendelea kugombea, jee atabaki Chadema, ama atabwaga manyanga na kujitimkia zake Ubeligiji ama atatimka Chadema na kujiunga na chama kingine kitakachompa tiketi ya kugombea urais?.

Mimi Tundu Lissu ni mdogo wangu wa shule ya sekondari pale Ilboru, kwa vile namjua sana ni mtu machachari na papara, hivyo nimejitolea kwanza kumshauri to cool down!, asifanye uamuzi wowote wa papara, utakao iumiza Chadema.

Soma Pia: Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwa box

Kitu cha pili ni kumuomba, Please please please, usiitishe press conference yoyote kumjibu Mbowe, huo utakuwa ni utovu wa nidhamu, Lissu ni umevuliwa nguo na kuachwa mtupu kabisa!, kumbe hakuna rushwa yoyote Chadema!, hakuna hongo yoyote ya Abdul na Mama yake!, kumbe hata nusu mkate ni uzushi wako tuu?!

Mtu mzima unapo vuliwa nguo hadharani mchana kweupe na kuachwa mtupu kabisa kwenye kadamnasi ya watu, dawa sio kujitetea bali ni kuchutama!.

Tundu Lissu chutama!.

Kaka yako mkubwa
Paskali.
CCM mtajinyea mwaka huu
Chuma ndio hicho kimeshika hatamu

Tundu Lissu atawaua Kwa presha
Na bado
Ndio kwanza ametangazwa..
 
Nakiri hapa I was wrong!, nili mu under estimates TAL!.
Sasa nimekubali!
One down, two to go!.
October 2025 ule mbuyu unakwenda chini!.
Usikute Lissu ni mpango wa Mungu kwa Tanzania post '25.
Mwacheni Mungu aitwe Mungu!.
Hongera Sana Tundu Lissu!.
P
Nimekuwa nikichungulia nyuzi uziandikazi nikitaraji labda kuna kitu utaandika kuhusiana na hili lakini wapi. Sasa najua wewe ni kati ya mliobadilishiwa password msione mpango unaoendelea baada ya mwelekeo kubadilishwa, mmeachwa muendelee na ule mpango wa mazoea.
Kama imewezekana kwa gaidi kutoka jela na moja kwa moja akaelekea Ikulu, basi zama za upinzani hawana uwezo wa kuongoza ni ama zimepita au ilikuwa ni story tu.
Angalia vizuri, kuna mahala wenzako wameku sideline, na hii si habari njema, haujachelewa.
Ila kuanzia sasa, uwe makini sana na sauti yoyote ile "from within".
 
Wanabodi,

Kumekucha, Chadema Kazi Imeanza!

Baada ya Mwenyekiti Mbowe kuamua kutetea Uenyekiti wake Chadema, kiukweli hatma ya Tundu Lissu ndani ya Chadema ndio imefika at the end of the road, Tundu Lissu ndio kwishney ndani ya Chadema! Je, ataendelea kugombea hadi atoswe kwa kupata kura moja, ama atajitoa?, na akiamua kujitoa kutoendelea kugombea, jee atabaki Chadema, ama atabwaga manyanga na kujitimkia zake Ubeligiji ama atatimka Chadema na kujiunga na chama kingine kitakachompa tiketi ya kugombea urais?.

Mimi Tundu Lissu ni mdogo wangu wa shule ya sekondari pale Ilboru, kwa vile namjua sana ni mtu machachari na papara, hivyo nimejitolea kwanza kumshauri to cool down!, asifanye uamuzi wowote wa papara, utakao iumiza Chadema.

Soma Pia: Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwa box

Kitu cha pili ni kumuomba, Please please please, usiitishe press conference yoyote kumjibu Mbowe, huo utakuwa ni utovu wa nidhamu, Lissu ni umevuliwa nguo na kuachwa mtupu kabisa!, kumbe hakuna rushwa yoyote Chadema!, hakuna hongo yoyote ya Abdul na Mama yake!, kumbe hata nusu mkate ni uzushi wako tuu?!

Mtu mzima unapo vuliwa nguo hadharani mchana kweupe na kuachwa mtupu kabisa kwenye kadamnasi ya watu, dawa sio kujitetea bali ni kuchutama!.

Tundu Lissu chutama!.

Kaka yako mkubwa
Paskali.
Brother tunaenda kwenye siasa za ushindani ccm tunaenda kupoteza wabunge %kubwa sana... hii safi
 
Nakiri hapa I was wrong!, nili mu under estimates TAL!.
Sasa nimekubali!
One down, two to go!.
October 2025 ule mbuyu unakwenda chini!.
Usikute Lissu ni mpango wa Mungu kwa Tanzania post '25.
Mwacheni Mungu aitwe Mungu!.
Hongera Sana Tundu Lissu!.
Inawapa tabu sana CCM,
na mbaya zaidi hili jambo limetokea CCM ikiwa na 100% kuwa Mbowe atashinda na hivyo business itakuwa as usual kwenye 2025 General Election, Kwa kweli jambo hili linawapasua kichwa kwamba how they could change the game na washawatangaza wagombea wa genreal Election 2025!
 
Wanabodi,

Kumekucha, Chadema Kazi Imeanza!

Baada ya Mwenyekiti Mbowe kuamua kutetea Uenyekiti wake Chadema, kiukweli hatma ya Tundu Lissu ndani ya Chadema ndio imefika at the end of the road, Tundu Lissu ndio kwishney ndani ya Chadema! Je, ataendelea kugombea hadi atoswe kwa kupata kura moja, ama atajitoa?, na akiamua kujitoa kutoendelea kugombea, jee atabaki Chadema, ama atabwaga manyanga na kujitimkia zake Ubeligiji ama atatimka Chadema na kujiunga na chama kingine kitakachompa tiketi ya kugombea urais?.

Mimi Tundu Lissu ni mdogo wangu wa shule ya sekondari pale Ilboru, kwa vile namjua sana ni mtu machachari na papara, hivyo nimejitolea kwanza kumshauri to cool down!, asifanye uamuzi wowote wa papara, utakao iumiza Chadema.

Soma Pia: Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwa box

Kitu cha pili ni kumuomba, Please please please, usiitishe press conference yoyote kumjibu Mbowe, huo utakuwa ni utovu wa nidhamu, Lissu ni umevuliwa nguo na kuachwa mtupu kabisa!, kumbe hakuna rushwa yoyote Chadema!, hakuna hongo yoyote ya Abdul na Mama yake!, kumbe hata nusu mkate ni uzushi wako tuu?!

Mtu mzima unapo vuliwa nguo hadharani mchana kweupe na kuachwa mtupu kabisa kwenye kadamnasi ya watu, dawa sio kujitetea bali ni kuchutama!.

Tundu Lissu chutama!.

Kaka yako mkubwa
Paskali.
Nadhani sasa utaamini kuwa umezeeka, ule utabiri wako kuhusu ni yeye, aliyechaguliwa sijui na yeye hakuna kitu, na huu wa Lisu nao hakuna kitu.
 
Wanabodi,

Kumekucha, Chadema Kazi Imeanza!

Baada ya Mwenyekiti Mbowe kuamua kutetea Uenyekiti wake Chadema, kiukweli hatma ya Tundu Lissu ndani ya Chadema ndio imefika at the end of the road, Tundu Lissu ndio kwishney ndani ya Chadema! Je, ataendelea kugombea hadi atoswe kwa kupata kura moja, ama atajitoa?, na akiamua kujitoa kutoendelea kugombea, jee atabaki Chadema, ama atabwaga manyanga na kujitimkia zake Ubeligiji ama atatimka Chadema na kujiunga na chama kingine kitakachompa tiketi ya kugombea urais?.

Mimi Tundu Lissu ni mdogo wangu wa shule ya sekondari pale Ilboru, kwa vile namjua sana ni mtu machachari na papara, hivyo nimejitolea kwanza kumshauri to cool down!, asifanye uamuzi wowote wa papara, utakao iumiza Chadema.

Soma Pia: Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwa box

Kitu cha pili ni kumuomba, Please please please, usiitishe press conference yoyote kumjibu Mbowe, huo utakuwa ni utovu wa nidhamu, Lissu ni umevuliwa nguo na kuachwa mtupu kabisa!, kumbe hakuna rushwa yoyote Chadema!, hakuna hongo yoyote ya Abdul na Mama yake!, kumbe hata nusu mkate ni uzushi wako tuu?!

Mtu mzima unapo vuliwa nguo hadharani mchana kweupe na kuachwa mtupu kabisa kwenye kadamnasi ya watu, dawa sio kujitetea bali ni kuchutama!.

Tundu Lissu chutama!.

Kaka yako mkubwa
Paskali.
Mzeee mzima husomi hata alama za nyakati huna hata hekima bure kabisa Chawa ww
 
Back
Top Bottom