Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,630
- 1,945
hao walioandaa rasimu ya katiba wasijifanye miungu watu taarifa zao tunazo walifyoahidiwa rasim yao ipite kwa nini wang'ang'anie yapite ya kwao ujinga mtupu
Hujitambui, bahati yako mbaya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hao walioandaa rasimu ya katiba wasijifanye miungu watu taarifa zao tunazo walifyoahidiwa rasim yao ipite kwa nini wang'ang'anie yapite ya kwao ujinga mtupu
kwa mtazamo wako ulikua unapendekeza yapite ya nani?hao walioandaa rasimu ya katiba wasijifanye miungu watu taarifa zao tunazo walifyoahidiwa rasim yao ipite kwa nini wang'ang'anie yapite ya kwao ujinga mtupu
Kwa kuwa serikali ilifunga tovuti ya tume ya Warioba ambako tungeweza kupata ufafanuzi wa jinsi walivyofikia uamzi wa muundo wa serikali tatu,nashauri mwandaaji maaufu wa midahalo ya aina hii bibi Rosemary Mwakitwange,aandae mdahalo mwingine ambao wazungumzaji wakuu wawe wajumbe wa iliyokuwa tume ya Warioba ili watufafanulie masuala mbalimbali kuhusu rasimu ya pili ya katiba nasi tuwaulize maswali.Wanasiasa tumewasikia sana.
Katika mdahalo wa leo ITV,yule bwana mdogo Polepole amelalamika sana kupewa muda mfupi usioweza kutosha kufafanua mambo.
Sio siri kuwa pamoja na kujitahidi sana walau kukabiliana na hoja za Prof Lipumba na mwanasheria nguli Tundu Lissu imeonekana dhahiri namna mzee Wasira alivyo pwaya kwenye kujibu na kukabiliana na hoja.
Ccm wamekuwa na utamaduni wa kukimbia midahalo. Je kwenye hili la leo wanajifunza nini?!
Kwa kuwa serikali ilifunga tovuti ya tume ya Warioba ambako tungeweza kupata ufafanuzi wa jinsi walivyofikia uamuzi wa muundo wa serikali tatu,nashauri mwandaaji maarufu wa midahalo ya aina hii bibi Rosemary Mwakitwange,aandae mdahalo mwingine ambao wazungumzaji wakuu wawe wajumbe wa iliyokuwa tume ya Warioba ili watufafanulie masuala mbalimbali kuhusu rasimu ya pili ya katiba nasi tuwaulize maswali.Wanasiasa tumewasikia sana.
Katika mdahalo wa leo ITV,yule bwana mdogo Polepole amelalamika sana kupewa muda mfupi usioweza kutosha kufafanua mambo.
ukawa wameshindwa hoja kwenye mdahalo wao ndio kikwazo kikubwa