Baada ya Mdahalo: Nani anazuia upatikanaji wa Katiba Mpya?

Baada ya Mdahalo: Nani anazuia upatikanaji wa Katiba Mpya?

Sio siri kuwa pamoja na kujitahidi sana walau kukabiliana na hoja za Prof Lipumba na mwanasheria nguli Tundu Lissu imeonekana dhahiri namna mzee Wasira alivyo pwaya kwenye kujibu na kukabiliana na hoja.

Ccm wamekuwa na utamaduni wa kukimbia midahalo. Je kwenye hili la leo wanajifunza nini?!

Kumbe nyie ndio mliokuwa mnapiga makelelw ndani ya mdahalo na kutaka kuandamana ukumbini! We kama ulitulia na kuona jeshi la mtu mmoja (mh wasira) alivyowakimbiza UPAWA.
 
Ni wahafidhina wa Ccm wanaojiuliza nani atalinda
masilahi waliyoiba?Nani atakuwa Rais? atakayeongoza serikari atawalinda? Serikali ikishakuwa na wizara chache Wasira atakuwa waziri wa wizara ipi?

Maandamano lini!
 
Ukianza kutegemea dola, polisi, nguvu, vitisho katika kuongoza nchi kwa kawaida ni kwamba uwezo wa kufikiri hupungua katika kiwango kilekile unachotumia nguvu.

Kama uwezo wa Mbowe na kigroup chake ulivyofikia ukingoni.
 
Ccm aibu tupu. Leo wameanikwa waaaaa uchi. Wakubali yaishe kwamba wananchi wameamua sio wao.

Misukule kwa kujitia uchizi bana! aliyeumbuka pale ni Lisu amefikia hatua ya kuwatukana viongozi wa kidini akidai wamekula rushwa! Tundu hana ueledi.
 
kikwazo pekee cha kupatikana katiba mpya ni chama changu CCM
bora umekiri mwenyewe ccm chama wahuni wenzako ndo kikwazo pekee kinachozuia watanzania tusipate katiba mpya hizi laana zitawamaliza
 
Misukule kwa kujitia uchizi bana! aliyeumbuka pale ni Lisu amefikia hatua ya kuwatukana viongozi wa kidini akidai wamekula rushwa! Tundu hana ueledi.
amesema ukweli wale ni makada wa ccm
 
hilo liko wazi ni ccm ambao hawataki

we utanufaiki nini na serikali 3 wakati huwajibiki kujitafutia riki. Umemaliza shule na unangojea ajira badala ya kujiajiri na kutwa umo kwenye maandamano ya UKAWA.
 
Kumbe nyie ndio mliokuwa mnapiga makelelw ndani ya mdahalo na kutaka kuandamana ukumbini! We kama ulitulia na kuona jeshi la mtu mmoja (mh wasira) alivyowakimbiza UPAWA.
jifunze kuandika upawa ndo nn au umekurupuka kutoka chooni chooni wassira wamemzomea kwa kushindwa kujibu hoja chezea ukawa wewe
 
jifunze kuandika upawa ndo nn au umekurupuka kutoka chooni chooni wassira wamemzomea kwa kushindwa kujibu hoja chezea ukawa wewe

mkuu kill huo upawa ndio unao mpakua huyu bibie Ghosryder
 
Last edited by a moderator:
Niko serious maana bila maandamano bos (mbowe) hatapata mshiko wa wafadhili na dili litakufa, so, maandamano lini!?

Bibie si nime kuambia kesho tuka andamane pale Bao tatu guest house nikuandamishe usikie raha maana Una kiu kweli!
 
Ni wahafidhina wa Ccm wanaojiuliza nani atalinda
masilahi waliyoiba?Nani atakuwa Rais? atakayeongoza serikari atawalinda? Serikali ikishakuwa na wizara chache Wasira atakuwa waziri wa wizara ipi?

Atakuwa waziri wa tumbili na ngedere!
 
jifunze kuandika upawa ndo nn au umekurupuka kutoka chooni chooni wassira wamemzomea kwa kushindwa kujibu hoja chezea ukawa wewe

UPAWA nimerudia tena. kaangalie kamusi utaona maana yake.
 
Back
Top Bottom