Baada ya Mdahalo: Nani anazuia upatikanaji wa Katiba Mpya?

Baada ya Mdahalo: Nani anazuia upatikanaji wa Katiba Mpya?

Nitumie jukwa hili kueleza kwa hakika namna ninavyomkubali kijana mzalendo POLEPOLE, kwenye mijadala mingi ambayo nimekuwa nikifuatilia nimeona namna anavyojenga hoja, hakika ana uwezo mkubwa wa kufafanua mambo anaeleza mambo kwa kina na hivyo amegeuka kuwa darasa kwa watanzania wengi walioukuwa hawaelewi mchakato mzima wa katiba mpya.
Anatumia kipawa chake na elimu yake ipasavyo kwa watanzania, hawa ndio vijana tunaowahitaji tanzania ya leo. Hatutaki vijana wabinafsi, waoga, na wasio simamia haki na ukweli kwa nchi yao.
kijana POLEPOLE usife moyo endelea mpaka katiba ipatikane yenye maslahi mapana kwa watanzania wote. MUNGU AKUBARIKI.
Nafikiri umesema sawa wajumbe wa tume ndiyo wakusikilizwa kwa sasa kwani hawajapewa nafasi tangu raisi alipotoa maelekezo pale bungeni
 
Sio siri kuwa pamoja na kujitahidi sana walau kukabiliana na hoja za Prof Lipumba na mwanasheria nguli Tundu Lissu imeonekana dhahiri namna mzee Wasira alivyo pwaya kwenye kujibu na kukabiliana na hoja.

Ccm wamekuwa na utamaduni wa kukimbia midahalo. Je kwenye hili la leo wanajifunza nini?!
Labda uwadanganye watu ambao hawakuangalia live mdahalo ule. Pamoja na combination ya mwanasheria na mchumi, ukawa wameshindwa kabisa kutetea hoja za kwa nini wao wanaona ni bora kususia mchakato wa katiba kuliko kurudi bungeni
 
Bibie si nime kuambia kesho tuka andamane pale Bao tatu guest house nikuandamishe usikie raha maana Una kiu kweli!

We unavurugwa huko kwenye ma 0713 yako! mi sitaki w.a.s......nge bana hunielewi!
 
Jibu ni kwamba! Mafaidhina wa ccm ndio wanaozuia mchakato.wasira hakua na hoja zenye mashiko,zaidi ya hasira.

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums

Mimi huwa ninafurahi sana ninapo gundua kuwa wananchi sasa wamemjua mchawi, mnafiki na mzandiki ni nani. Hii imeonyesha dhahiri baada ya Wasira kuzomewa yeye alidhani anaongea mbele ya majuha kumbe watu sasa wanajua A-z kuwa haki yao imeporwa rasimu iliyo tokana na maoniya wananchi imetupwa imewekwa ya Chukua Chako Mapema
 
Nafikiri umesema sawa wajumbe wa tume ndiyo wakusikilizwa kwa sasa kwani hawajapewa nafasi tangu raisi alipotoa maelekezo pale bungeni
Tume ilishamaliza kazi ake ila ni vema kuwasikiliza wajumbe wazalendo kama Humphrey Polepole na si kama Rashidi Ally ambaye amejionesha kuwa yeye alikuwa kwenye tume kwa malengo maalum
 
labda uwadanganye watu ambao hawakuangalia live mdahalo ule. Pamoja na combination ya mwanasheria na mchumi, ukawa wameshindwa kabisa kutetea hoja za kwa nini wao wanaona ni bora kususia mchakato wa katiba kuliko kurudi bungeni
nafikiri akili zako zomeganda kiasi cha kutokutambua kilicjo jiri ukumbini
 
Mimi huwa ninafurahi sana ninapo gundua kuwa wananchi sasa wamemjua mchawi, mnafiki na mzandiki ni nani. Hii imeonyesha dhahiri baada ya Wasira kuzomewa yeye alidhani anaongea mbele ya majuha kumbe watu sasa wanajua A-z kuwa haki yao imeporwa rasimu iliyo tokana na maoniya wananchi imetupwa imewekwa ya Chukua Chako Mapema
Leo mmeulizwa swali na hakuna aliyejibu ipasavyo. Mmeulizwa kwamba kama mnajua kuwa mpo wengi mnaotaka serikali tatu, mnaogopa nini kuendelea na mchakato wa bungeni ili ikipitishwa kinyume chenu mhamasishe wananchi wakatae rasimu hiyo? Si Lissu wala Lipumba aliyejibu kisawa sawa
 
Sisi mananchi wenyewe ndo 2nakwamisha katiba mpya coz 2kiamua 2taweza hata CCM Ije na mbnu 1000.bt kwa vile wananchi wengi asilimia 80% ufahamu w2 ni mdogo sana juu ya haya mambo ndo maana 2nasubiri wa2 fulani waamue juu ya upatikanaji wa katiba
 
Jibu ni rahisiii ka 2 + 2= 3, Maccm kwishney!!!! Hata wangejitahidi vipi, wasidhani kuwa wao kuwa wengi katika hilo BMK hawawezi kuchakachua maoni ya wananchi.
Wanataka kuhalalisha ulaji wa kodi zetu huku watoe katiba ya ccm. Pole zenu mtazitapika hizo hela. Ushauri; Mmeshakula za kutosha, sasa fungeni hilo bunge mwende kenyuuuuuuu. Mkizidi kula kodi zetu HAKIKA mtazitaapika tuuu one day.
 
Sisi wananchi wenyewe ndo 2nakwamisha kupatikana kwa katiba mpya coz 2kiamua 2taweza hata CCM Ije na mbnu 1000.bt kwa vile wananchi wengi asilimia 80% ufahamu w2 ni mdogo sana juu ya haya mambo ndo maana 2nasubiri wa2 fulani waamue juu ya upatikanaji wa katiba
 
Jibu ni rahisiii ka 2 + 2= 3, Maccm kwishney!!!! Hata wangejitahidi vipi, wasidhani kuwa wao kuwa wengi katika hilo BMK hawawezi kuchakachua maoni ya wananchi.
Wanataka kuhalalisha ulaji wa kodi zetu huku watoe katiba ya ccm. Pole zenu mtazitapika hizo hela. Ushauri; Mmeshakula za kutosha, sasa fungeni hilo bunge mwende kenyuuuuuuu. Mkizidi kula kodi zetu HAKIKA mtazitaapika tuuu one day.
Hakika mawazo haya huwa yanatolewa na wachaga tu. poleni sana. CCM ni nambari one. Wengine mnaiga tu na mtaisoma namba
 
Leo ndo nimeamin'h UKAMA ni kama debe tupu.
Kelele nyingi kumbe ndani hamna kitu....
Na ule usemi wa akili ndogo kuongozwa na akili kubwa umejidhihilisha leo baada ya mwenyekiti wa chadema kukimbia hoja za kisomi kwa kumpeleka Lissu wakati majiran na washirika wao wa KINAFIKI Cuf wakimpeleka prof.lipumba japo kabwabwaja pumba kama jina lake.

Kusema kweli me sio mwanachama wala mshabiki wa CCM ila ki hoja WASIRA (jeshi la mtu mmoja) kawakimbiza japo watu mnajitoa ufaham kwa ushabiki wenu wa kikekike...

Hoja za CCM zina mashiko kuliko hao wahuni wanaotafta kick kwa kuwasingizia wananchi.
 
Chama kilichozoea kupindua mawazo ya wananchi na kujiona wao ni bora na wenye akili zaidi ya wengine......
 
Back
Top Bottom