Baada ya Mdahalo: Nani anazuia upatikanaji wa Katiba Mpya?

Baada ya Mdahalo: Nani anazuia upatikanaji wa Katiba Mpya?

Mkuu ingekuwa na tija kama Mods wangeiweka kama dodoso ili ipigiwe kura... Crystal clear kuwa CCM ndo wanahujumu mchakato wa Katiba mpya na kuwa hawana nia wala dhamira ya kweli ya kuwapatia wananchi katiba mpya itakayojibu hoja nyingi zikiwemo za uvunaji wa Rasilimali za nchi ...
Kwa mujibu wa hitimisho la ITV ni kwamba UKAWA ndo wanavuruga mchakato na wametakiwa kurejea bungeni kama wanalitakia mema taifa hili
 
Kwani hao masheikh na mapadre ni kinani wasijadiliwe? hao hao waliwahi kumpaisha mgombea wa CCM eti chaguo la Mungu!!! Grrr kwani wengine walikuwa wagombea wa shetani?... Mbona hawakemei Rasilimali za Taifa kukwapuliwa hovyo? kwanini hawakemei rushwa kuongezeka huku Umasikini ukimea ktk jamii... Wote hao ni wachumia tumbo tu kama CCM ....
Lissu leo kawatukana Masheikh na Mapadre na kuwaita kuwa ni makada wa CCM.
 
Wengi wanaropoka tu kuwa CCM ndo inakwamisha mchakato wa katiba lakini hawasemi ni kwa namna gani ccm inakwamisha. Ila kwa ukawa tunajua kutokana na kitendo chao cha kutorudi bungeni

Inaonyesha kinachowafanya UKAWA wagomee kurudi bungeni hukujui au hutaki kukijuwa....
 
Leo mmeulizwa swali na hakuna aliyejibu ipasavyo. Mmeulizwa kwamba kama mnajua kuwa mpo wengi mnaotaka serikali tatu, mnaogopa nini kuendelea na mchakato wa bungeni ili ikipitishwa kinyume chenu mhamasishe wananchi wakatae rasimu hiyo? Si Lissu wala Lipumba aliyejibu kisawa sawa

Weston Songoro;
Mbona mawazo yako ni mgando!! Unaona kuwa Wasira anaweza kuwa na wazo kweli?? Anasema ati UKAWA waende kukaa wachote tu posho ambazo mwisho wake ni ubatili?? Mwambie Wasira aendelee kujilambia kodi zetu tu ila siku ya siku atazitaapika tuuuu. UKAWA hawataki wizi wa mchana. Ni ccm tu wanajua kula kibudu na kusema ati ni hallal.
 
Wewe acha uongo kila mtu ameona jinsi Wassira alivyo mwamba na ameonesha uwezo kuzidi hao UKAWA!

Kanuni inayoruhusu bunge na wajumbe wa katiba kurekebisha ,kuongeza ,kuondoa jambo lolote kwenye Rasimu unajua kipo?

Ni kweli Wasira ni mwamba lakini kwa leo hajafanya kitu chochote cha maana zaidi ya kujaribu kuiokoa CCM.wakati wenzake walikuwa wanatetea maoni ya wananchi yaliyopolwa na CCM yaheshimiwe.Kuna wakati Wasira alikuwa ana pandwa na jaziba kiasi cha kutaka kupasuka mpaka mwisho Wasira alibaki peke yake bila kubaki hata na mtu mmoja wa kumsaidia baada ya kuonekana kuwa karibu watu wote walikuwa wanawatetea wananchi.Kitu ambacho Wasira hakuweza kukitambua mapema ni kwamba hakujua kuwa huwezi kuwazuia funza kutafuna mwili wa kitu ambacho kimeshakufa hivyo akajikuta amejikita zaidi kuitetea CCM ambayo imekufa kitu ambacho kimemfanya awe kituko.
 
tundu lissu anasema tupige kura ya kutaka muungano au la? kazaliwa 1968 muungano unamhusu nini?
 
hao walioandaa rasimu ya katiba wasijifanye miungu watu taarifa zao tunazo walifyoahidiwa rasim yao ipite kwa nini wang'ang'anie yapite ya kwao ujinga mtupu

usitukane mkuu kushabikia usichokijua hebu tuambie hayo yenu ya wengi yanatokana na data za tume ipi?
 
JK, Migiro, Nepi, Mwigulu na Liccm lao wanatupeleka pabaya. Toune kama watafaidi mipesa wanayolimbikiza
 
Elimu ya shule za kata ni majanga kweli, hebu jaribu kusoma upuuzi wa huyu mhitimu wa "division"5 wa shule za kata;
we utanufaiki nini na serikali 3 wakati huwajibiki kujitafutia riki. Umemaliza shule na unangojea ajira badala ya kujiajiri na kutwa umo kwenye maandamano ya UKAWA.
We sisi tunajadili katiba wewe unaongelea ccm kwani imekufanya nini!

Halafu anasahau maneno yake mwenyewe na kuanza kuharisha;
Niko serious maana bila maandamano bos (mbowe) hatapata mshiko wa wafadhili na dili litakufa, so, maandamano lini!?
UPAWA nimerudia tena. kaangalie kamusi utaona maana yake.
Mume wenu Mbowe ndio kawaweka ndoa ya mitala sio! msililiane wivu mi japo sijaoa lakini siwahitaji mmezidi domo la udaku.
We unavurugwa huko kwenye ma 0713 yako! mi sitaki w.a.s......nge bana hunielewi!
Kwa mwendo huu watanzania tunakila sababu ya kiishtaki serikali ya mapepo wa CCM kwa kutuvurugia vijana wetu wa shule za kata!
 
Ni wazi kabisa CCM ndiyo inayokwamisha mchakato mzima, ukianzia pale mheshimiwa alipoendakutoa maoni yake mbele ya bunge la katiba na kulazimisha kwamba kama selikari tatu tusubiri yeye atoke madarakani, hii maana yake nini , yaani wabunge wa chama chake lazima wasimamie maelekezo ya mwenyekiti wao kwa gharama yoyote ile.hivyo basi aliye kwamisha ni CCM kwa kutaka kuleta kitu kipya ili kumuunga mkono mwenyekiti. pia mwenyekiti wa bunge lile muheshimiwa 6 pia hana nia ya kuwaletea watanzania katiba mpya kwani alikuwa akikalia kiti kimya na akiangalia wajumbe wakitukanana na lugha za matusi sasa leo anatafuta maridhiano gani.
 
Mkipitisha katiba ya Serikali tatu Jeshi litachukua nchi~DHAIFU Kikwete

Towa sababu................kivipi?

Selina kombani ...........hakuna haja ya katiba mpya ....ccm

Fredriki welema............hakuna haja ya katiba mpya.....ccm

Chikawe......................hakuna haja ya katiba mpya.....ccm


kwanini tusiaamini kwamba ccm ndiyo kikwazo?
 
Back
Top Bottom