Baada ya Mdahalo: Nani anazuia upatikanaji wa Katiba Mpya?


Ushabiki at work!
 
Wassira jembe kamfanya Tundu Lissu ajishike kiuno aishiwe maneno akabaki kutoa fasihi andishi na simulizi za Abunuas.
 

Tundu Lissu- Chadema, Prof Lipumba-CUF, ulijuaje kuwa hao vijana ni CHADEMA, na siyo CUF? Ushabiki jambo baya sana!
 

Waliozidiwa ni UPAWA mpaka washabiki wao walitaka kuandamana ndani ya ukumbi kwa kupiga makelele na kuzomea ovyo kama vile wanywa gongo.
 
Aliehitimisha ni nani baada ya mjadala? mimi niliangalia mpaka mwisho... conclusion ilikuwa wazi kuwa CCM wanahujumu mchakato wa katiba ...
Kwa mujibu wa hitimisho la ITV ni kwamba UKAWA ndo wanavuruga mchakato na wametakiwa kurejea bungeni kama wanalitakia mema taifa hili
 
Bahati mbaya siku waona hao Upawa... Ila kama Rais alikuwa anaangalia definite atakubaliana na prof Lipumba kuwa hakuwatendea wananchi vema pale alipoenda kulihutubia BMK... Conclusion ya Lisu itamsaidia sana Mhe Rais ili katiba mpya ipatikane bila Umwagaji wa Damu! Ni wazi kuwa msimo wa watu kama akina Wassira na Wajanja wachache wenye kutaka kuendelea kufanya UFISADI bila kuwajibishwa kama ilivyo ada...
Waliozidiwa ni UPAWA mpaka washabiki wao walitaka kuandamana ndani ya ukumbi kwa kupiga makelele na kuzomea ovyo kama vile wanywa gongo.
 
we utanufaiki nini na serikali 3 wakati huwajibiki kujitafutia riki. Umemaliza shule na unangojea ajira badala ya kujiajiri na kutwa umo kwenye maandamano ya UKAWA.

swala sio serekali 3 wananchi wanataka nini sio ccm inataka nini
 
WASIRA AMEIFEDHEHESHA SANA CCM LEO , Ni afadhali angekimbia tu kama walivyopanga awali .
 
aliezomewa ni wasira , hakuna haja ya kung'ata ulimi .

Kelele artificial zilizokuwa zimelipiwa, hoja ikitolewa ikiwa imewabana ukawa wanazomea, pumba za Lissu zinashangiliwa.
Pyuuuu!! Ukawa mmeaibishwa.
Wassira sio saizi yenu hata mkiwa wote.
 
Kutangulia si hoja mkuu. Wangapi wanatangulia na mwisho wa siku wanabaki nyuma? Cha muhimu ni fursa. Usishangae baadae wamachinga ndio wakawa wapo juu zaidi kuliko wachagga
Mkuu ,maendeleo ni kitendo cha taratibu ,wamachinga ambao hadi leo wanalazimishwa kwenda shule unategemea ni lini wataendelea? wakati wanajitahidi kumaliza elimu ya msingi kwa taaabu ,wengine wanafikiria ni nchi gani duniani inatoa elimu bora
 
Tena huyo sio mzima kabisa, yeye kazaliwa lini? Au hajui alichoandika? Kweli za kuambiwa changanya na za kwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…