Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
10yrs hapana jamani. Huko ni kupotezeana muda kwa kijingaHaahahaha ila mipango yake tayari imeshavurugika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
10yrs hapana jamani. Huko ni kupotezeana muda kwa kijingaHaahahaha ila mipango yake tayari imeshavurugika
Wanawake muwe makini mtu mnae kuwa katika mahusiano maana ndiyo waathirika wakubwa punde mahusiano yanapokwenda hovyo huku hata ndoa huna na siajabu ulikua umebweteka hata chanzo cha kuingizia pesa hamna unaishia kuhangaika....uzuri kule nchi za watu sheria inafuatiliiwa vizuri na inawatetea sana wanawake10yrs hapana jamani. Huko ni kupotezeana muda kwa kijinga
Naam chief ... lakini mahusiano yake na didy yalichangia mnoo kutunyima burudani sisi walaji wakeTime heals mzee baba,cassie ni mmoja wa wasanii ninae wapenda sana
So lebo ya bad boys cassie hatarecord tena ?bad boys entertainment ambayo ipo chini ya diddy ni balaa kwa mikitoNaam chief ... lakini mahusiano yake na didy yalichangia mnoo kutunyima burudani sisi walaji wake
Sema 32 bado atapata bby mwingine tu
Kwa nani...???!!!!
Huyu manzi alimzingua sana Ryan Leslie aisee na akaenda kwa Diddy. Sasa naona naye keshazeeka na Diddy anatafuta kabinti kadogo....Cassie daahh alini bambaga sana na goma lake la LONG WAY TO GO.... duh !!, wameachana ..!! kweli muda ni HAKIMU
Basi kaanza mapema Na yeyeHuyu manzi alimzingua sana Ryan Leslie aisee na akaenda kwa Diddy. Sasa naona naye keshazeeka na Diddy anatafuta kabinti kadogo....
Aisee kumbe alimzingua ryan. . kweli karma sio kitu cha mchezoHuyu manzi alimzingua sana Ryan Leslie aisee na akaenda kwa Diddy. Sasa naona naye keshazeeka na Diddy anatafuta kabinti kadogo....
Ukiwa na mkwanja huwezi zeeka kifala cuz maradhi,stress za kukosa fedha,kudaiwa na ukosefu wa diet ni vitu ambavyo utakuwa unavisikia tu kwa wanadamu wengine...muangalie Koffi Olomide,Werrason,Jb Mpiana,Snoop Doggy,Dr.Dre,Nelly,T.I na wengine kibao wa mambele huwa hawazeeki hovyoAnachonikwazaga huyu kaka ni kutokuzeeka.sijui anakula maharage ya wapi,nmezaliwa nimemkuta nakua hadi nazeeka Mzee baba yuko vilevile mnyamwezi wa watu. Pole yao
AiseeView attachment 902162
Alafu uambiwe kuwa kuna siku mtaachana
Dah
Acha tu Wema nae aolewe na Future Husband wake
Huyu manzi alitolewa na Ryan Leslie, akaandikiwa hadi nyimbo zimegonga Billboard halafu akamwacha mshikaji akaenda kwa Diddy....Basi kaanza mapema Na yeye
KarmaHuyu manzi alitolewa na Ryan Leslie, akaandikiwa hadi nyimbo zimegonga Billboard halafu akamwacha mshikaji akaenda kwa Diddy....
Diddy ana mzigo kuliko Leslie. Na wanawake siku zote wanaangalia mpungaHuyu manzi alitolewa na Ryan Leslie, akaandikiwa hadi nyimbo zimegonga Billboard halafu akamwacha mshikaji akaenda kwa Diddy....
Diddy ana mzigo balaa lakini naamini kama huyu manzi angebaki kwa Leslie angekuwa kafika mbali sana kimuziki. Les is a genius na alikuwa anampatia sanaaaaa Cassie..Diddy ana mzigo kuliko Leslie. Na wanawake siku zote wanaangalia mpunga