Baada ya miaka 10 ya mahusiano bila ndoa. P-Didy na Cassie waachana rasmi

Baada ya miaka 10 ya mahusiano bila ndoa. P-Didy na Cassie waachana rasmi

Mazoezi mazoezi na kuzingatia kula vzr na mm nimeshangaa kumuoana Janet jackson hazeeki jamani,jenifer lopez duuh
Anachonikwazaga huyu kaka ni kutokuzeeka.sijui anakula maharage ya wapi,nmezaliwa nimemkuta nakua hadi nazeeka Mzee baba yuko vilevile mnyamwezi wa watu. Pole yao

azoezi
 
Huyu mtoto Kweny movie ya The perfect match alitisha sana...Diddy anaaachaje huu mzgo kizembe
 
Hata kama pesa ipo ila utaratibu wa kuwa na wanawake zaidi ya mmoja na kila mama ana mtoto wako yani wanawake kumi huwa hainingi akilini,mimi napenda watoto wangu wawe wa mke mmoja ili wapendane kutokana na misingi ya malezi yangu Mungu uzidi kunipa hamu hii nisijeteteleka na vimada
Muombe Mungu mwanamke wako asiwe anachepuka, au utakua unamsamehe akikuchepukia???
 
Mwaka 2006 hiyoo,
Siku Ryan Leslie anampeleka Cassie kwa P Diddy, masikini hakujua kwamba anafanya makosa.
Manzi akamgeuka mchizi na akaaenda kwa mnyamwezi Diddy, leo hii manzi kapigwa chini kisa kazeeka


CC: Mzee Kigogo
 
Anachonikwazaga huyu kaka ni kutokuzeeka.sijui anakula maharage ya wapi,nmezaliwa nimemkuta nakua hadi nazeeka Mzee baba yuko vilevile mnyamwezi wa watu. Pole yao
Nahisi ana damu nzuri,, pia mazoezi na pesa pia, hanaga stress huyo mwamba,, kati ya watu ambao hawaamini ndoa ni cha furaha,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IMG_3613.JPG
 
Anachonikwazaga huyu kaka ni kutokuzeeka.sijui anakula maharage ya wapi,nmezaliwa nimemkuta nakua hadi nazeeka Mzee baba yuko vilevile mnyamwezi wa watu. Pole yao
mwingine ambaye kagoma kuzeeka ni mwanahiphop Nas.

black community kwenye social media huwa wanamtania kwa kumuita vampire. wakimfananisha na viumbe wa ajabu nyonya damu ambao inasemekana wanaishi karne nyingi duniani bila kuzeeka.
 
Back
Top Bottom