Baada ya miaka 10 ya mahusiano bila ndoa. P-Didy na Cassie waachana rasmi

Baada ya miaka 10 ya mahusiano bila ndoa. P-Didy na Cassie waachana rasmi

JLo alimtibuaga, kama kuoa angemuoa huyo, sijui alimfumania au ilikuwaje. Ila hawa watu wangeoana aisee couple yao ingekuwa ya dunia, hata ya Jay na Bee isingeona ndani
Absolutely yes mkuu[emoji122] [emoji122] ..mpaka kesho Diddy akihojiwaga anamsifia Jlo balaa na anasema yuko radhi kurudiana nae!

Yaan kati ya wanawake wote kwa Jlo alifika ss sijui wangeenda church?...sema mama Diddy alikuwa hamtaki Jlo anasema alikuwa anamchuna mwanae!
 
DIDDY.jpg

Cassie kifaa sema kanyimwa bastola na inye,hawa watakuja kurudiana tu kukaa miaka 10 halafu mje kuachana kiboya sio kweli.
 
1539877935483.png

There is something there, between these two.

10 years no kids?

1539877734032.png

Look at that!

Sean Combs lazima atabadili mawazo na kwenda kupiga goti kwa Cassie kuomba msamaha.
 
Absolutely yes mkuu[emoji122] [emoji122] ..mpaka kesho Diddy akihojiwaga anamsifia Jlo balaa na anasema yuko radhi kurudiana nae!

Yaan kati ya wanawake wote kwa Jlo alifika ss sijui wangeenda church?...sema mama Diddy alikuwa hamtaki Jlo anasema alikuwa anamchuna mwanae!
Kumchuna kivipi wakati naye ni tajiri? Hofu yake tu, maana hata kama anamchuna hawezi kumchuna kama wanavyomchuna maskini kina Cassie. JLo sema itakuwa hakumfeel jamaa, ilikuwa ni mahusiano ya showoff tu. Kama alikuwa radhi kutoka na madensa wake na kuwahonga why ashindwe kukaa na Diddy mwenye pesa?
 
View attachment 902505
Cassie kifaa sema kanyimwa bastola na inye,hawa watakuja kurudiana tu kukaa miaka 10 halafu mje kuachana kiboya sio kweli.
Cassie hana tako kabisaa, sema wanyamwezi kwao tako sio ishu, sio kama sie waswahili. Ingekuwa bongo tungemshangaa Diddy kwanini anachukua flat screen wakati ana pesa chafu, ila kwa 'wazungu' kwao fresh tu. Sema ana sura nzuri sana
 
Jamaa mjanja sana aliogopa akimpeleka church au aki mdhibitisha kisheria wakiachana itakua 50/50 kugawana utajiri ila hata yule maza wa didy mkaksi balaa alimkataaga jlo kwamba anamchuna diddy.
 
Kafanya vibaya sana.....mtoto wa watu kaacha njemba kibao amegandana nae leo anakuja mtosa dakika za majeruhi
 
Nikajua Pdidy wa JF. Wacha nije mbio kumsihi abadili msimamo huo na fanyejitihada za kumueleza mwenzake wafunge ndoa!! Kumbe ni huyu 'mnyamwezi' na mtani wake 'mzaramo'.


YAANI KABLA YA KUFUNGUA NIMESMS MILUPO YOOTE JAMAN MMENICHA MAJIBUYAO YAKANIPIA MOYO HUYU ATAKUWA PHOTOCOPYTU
 
Back
Top Bottom