Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Absolutely yes mkuu[emoji122] [emoji122] ..mpaka kesho Diddy akihojiwaga anamsifia Jlo balaa na anasema yuko radhi kurudiana nae!JLo alimtibuaga, kama kuoa angemuoa huyo, sijui alimfumania au ilikuwaje. Ila hawa watu wangeoana aisee couple yao ingekuwa ya dunia, hata ya Jay na Bee isingeona ndani
Mahusiano ya kula bata tuu[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ha ha ha mahusiano yao huwa nayafananisha ya shaa na master J....uchumba sugu...hawazai ila wapo miaka nenda rudi
Aisee kama huwa unakosea kuchagua lawama usitutupie wote.....Mianaume tabia zinafanana tu! Jogoo huwaga haridhiki na tetea moja!
Na mimi nashangaa rafiki, wameandika jina lako kizungu Cassie.
Nikapigwa butwaa.
Kumchuna kivipi wakati naye ni tajiri? Hofu yake tu, maana hata kama anamchuna hawezi kumchuna kama wanavyomchuna maskini kina Cassie. JLo sema itakuwa hakumfeel jamaa, ilikuwa ni mahusiano ya showoff tu. Kama alikuwa radhi kutoka na madensa wake na kuwahonga why ashindwe kukaa na Diddy mwenye pesa?Absolutely yes mkuu[emoji122] [emoji122] ..mpaka kesho Diddy akihojiwaga anamsifia Jlo balaa na anasema yuko radhi kurudiana nae!
Yaan kati ya wanawake wote kwa Jlo alifika ss sijui wangeenda church?...sema mama Diddy alikuwa hamtaki Jlo anasema alikuwa anamchuna mwanae!
Cassie hana tako kabisaa, sema wanyamwezi kwao tako sio ishu, sio kama sie waswahili. Ingekuwa bongo tungemshangaa Diddy kwanini anachukua flat screen wakati ana pesa chafu, ila kwa 'wazungu' kwao fresh tu. Sema ana sura nzuri sanaView attachment 902505
Cassie kifaa sema kanyimwa bastola na inye,hawa watakuja kurudiana tu kukaa miaka 10 halafu mje kuachana kiboya sio kweli.
Hilo nalo ni jipuBado master jay na shaa kuachana
Nikajua Pdidy wa JF. Wacha nije mbio kumsihi abadili msimamo huo na fanyejitihada za kumueleza mwenzake wafunge ndoa!! Kumbe ni huyu 'mnyamwezi' na mtani wake 'mzaramo'.
Alisema Shah sababu hataki mtoto nje ya ndoa, kingine Shah ni MuslimMimi mwenyewe nawashangaa...hata katoto jamani!!!
Siwaelewi kabisa
Kumbe!!Alisema Shah sababu hataki mtoto nje ya ndoa, kingine Shah ni Muslim
Hawa nao hawaoani sijui wana siri gani
Miaka 10 kitu gani Chief ? Babu alimuacha bibi wakiwa na miaka 65 ya Ndoa na maisha yakaendelea .View attachment 902505
Cassie kifaa sema kanyimwa bastola na inye,hawa watakuja kurudiana tu kukaa miaka 10 halafu mje kuachana kiboya sio kweli.