Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Hapo sasa.. Ndoa Sio sababuPrenup agreements za kazi gani sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sasa.. Ndoa Sio sababuPrenup agreements za kazi gani sasa?
AWAACHE WENYE WITO WABEBE JUMLAAView attachment 902516
There is something there, between these two.
10 years no kids?
View attachment 902515
Look at that!
Sean Combs lazima atabadili mawazo na kwenda kupiga goti kwa Cassie kuomba msamaha.
Anachonikwazaga huyu kaka ni kutokuzeeka.sijui anakula maharage ya wapi,nmezaliwa nimemkuta nakua hadi nazeeka Mzee baba yuko vilevile mnyamwezi wa watu. Pole yao
Wabongo wengi huwa hata hatujui kama kuna vitu kama hivi.Prenup agreements za kazi gani sasa?
Muombe Mungu mwanamke wako asiwe anachepuka, au utakua unamsamehe akikuchepukia???Hata kama pesa ipo ila utaratibu wa kuwa na wanawake zaidi ya mmoja na kila mama ana mtoto wako yani wanawake kumi huwa hainingi akilini,mimi napenda watoto wangu wawe wa mke mmoja ili wapendane kutokana na misingi ya malezi yangu Mungu uzidi kunipa hamu hii nisijeteteleka na vimada
Nahisi ana damu nzuri,, pia mazoezi na pesa pia, hanaga stress huyo mwamba,, kati ya watu ambao hawaamini ndoa ni cha furaha,,Anachonikwazaga huyu kaka ni kutokuzeeka.sijui anakula maharage ya wapi,nmezaliwa nimemkuta nakua hadi nazeeka Mzee baba yuko vilevile mnyamwezi wa watu. Pole yao
unasema wasio na ndoa wana furaha??Nahisi ana damu nzuri,, pia mazoezi na pesa pia, hanaga stress huyo mwamba,, kati ya watu ambao hawaamini ndoa ni cha furaha,,
Sent using Jamii Forums mobile app
mwingine ambaye kagoma kuzeeka ni mwanahiphop Nas.Anachonikwazaga huyu kaka ni kutokuzeeka.sijui anakula maharage ya wapi,nmezaliwa nimemkuta nakua hadi nazeeka Mzee baba yuko vilevile mnyamwezi wa watu. Pole yao