Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasukuma tumefikiwa.
Wabeja maami!
Ohoo kumbe la wasukumaHongereni Wasukuma.
MAENDELEO HAYANA CHAMA.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Lile pale Ruvu ni juu pia, Ama?Draja la juu la reli lipo Kilimanjaro (Same-Mwanga) tangu zamani sana, huenda kwa zaidi ya miaka 50 sasa lipo hapo, na hakuna mtu wa Kilimanjaro aliwahi kulishobokea.
Haswaa.Lile pale Ruvu ni juu pia, Ama?
NdioKupitia Buhongwa??
Kisumu kuna sgr; au na wewe ndio "walewale" wanaosifia kila kitu cha Kenya?😎😁Kisumu? Nina mashaka!!!
SGR ya Mwanza iko Busisi to Kigongo
heko Magufuli
Basi mi nikajua ni Interchange kama Kijazi au Mfugale au Chang'ombe au Uhasibu pale! au Kama Mbezi Luis au Kama pale Kibamba, ambapo magari yanapita juu na chini.Haswaa.
Duh! kazi ipoUnamsifia magufuli badala umsifie mama!!. Mama akisitisha miradi aliyoiacha magufuli je! Utasemaje?
Wasukuma tumefikiwa.
Wabeja maami!
NdioKwa maana ya kuongeza njia nne?
Kazi ya kusaga sumu inambanaInabidi afanye utalii wa ndani ili awe anatoa taarifa sahihi
Mmmh!
Mleta mada wewe ni mshamba kweli kweli. Kuna kitu gani kipya cha ajabu hapo?
Kama ni daraja la juu la njia ya reli, kwa Kilimanjaro (Same kuelekea Mwanga) limekuwepo tangu Uhuru!
Mleta mada umewahi kufika Dodoma?
Hayo mabeam ya SGR kama hilo la Mwanza yapo tele, miaka kadhaa sasa, na bado hayajakamilika.
Siongelei underpass na huo uchafu mwingine naongelea madaraja ya nusu km hapaHapa Dom mjini yapo kama manne hivi kuanzia Makulu hadi Kikuyu.
Pia lingine lipo Bahi.
Mleta mada hajatembea....
Wote wanastahili sifa.😁Unamsifia magufuli badala umsifie mama!!. Mama akisitisha miradi aliyoiacha magufuli je! Utasemaje?
Ni kwamba umelewa au una shida ganiView attachment 2838438
Katika hali ya kushangaza na kufurahisha kwa wakati mmoja, hatimaye jiji la Mwanza linaingia katika orodha ya majiji ya kisasa yenye miundombinu ya kisasa. Katika eneo la Mkuyuni , beams zimeanza kupanda juu kuashiria kuanza rasmi maandalizi ya kutengeneza njia ya reli ya SGR.
Daraja hili la juu linayaacha kiasi fulani majiji mengine Arrika mashariki kwa kupata daraja hili la juu. Baadhi ya majiji hayo ni Mbeya, Tanga, Arusha, Kigali Rwanda, Bujumbura, Dodoma, Kisumu nk.
Ni msukuma wala usijisumbueMmmh!
Mleta mada wewe ni mshamba kweli kweli. Kuna kitu gani kipya cha ajabu hapo?
Kama ni daraja la juu la njia ya reli, kwa Kilimanjaro (Same kuelekea Mwanga) limekuwepo tangu Uhuru!
Mleta mada umewahi kufika Dodoma?
Hayo mabeam ya SGR kama hilo la Mwanza yapo tele, miaka kadhaa sasa, na bado hayajakamilika.
Wote wanastahili sifa.😁
Wanadhani vioverpass na viunderpass hilo daraja la juu la sgr pale Mwanza ni 1.4 kmSiongelei underpass na huo uchafu mwingine naongelea madaraja ya nusu km hapa