Baada ya miaka 2000 hatimaye Mwanza yapata daraja la juu la kwanza

Baada ya miaka 2000 hatimaye Mwanza yapata daraja la juu la kwanza

Draja la juu la reli lipo Kilimanjaro (Same-Mwanga) tangu zamani sana, huenda kwa zaidi ya miaka 50 sasa lipo hapo, na hakuna mtu wa Kilimanjaro aliwahi kulishobokea.
Kwahyo unalinganisha hicho kivuko hapo na hiyo njia ya juu inayojengwa mwanza? Labda tukutolee mfano unaona ile njia ya tren ya juu dsm inayotoka mjini inapitq mpka buguruni na kuendelea unaifahamu? Ndo kinachojengwa mwanza.

Hako kakivuko moshi unalinganisha na mambo ya msingi kweli!
 
Daraja analozungumzia sio la namna hiyo! lile la Mwanza ni viaduct yenye urefu wa 1.4 km treni inapita juu.
Mfano mzuri aangalie kilichojengwa dar kutoka mjini tren inapita juu kwa umbali wa KM kadhaa mpk bugurun huko na kuendelea kuepusha misongamano na ajali mjini
 
View attachment 2838438
Katika hali ya kushangaza na kufurahisha kwa wakati mmoja, hatimaye jiji la Mwanza linaingia katika orodha ya majiji ya kisasa yenye miundombinu ya kisasa. Katika eneo la Mkuyuni , beams zimeanza kupanda juu kuashiria kuanza rasmi maandalizi ya kutengeneza njia ya reli ya SGR.
Daraja hili la juu linayaacha kiasi fulani majiji mengine Arrika mashariki kwa kupata daraja hili la juu. Baadhi ya majiji hayo ni Mbeya, Tanga, Arusha, Kigali Rwanda, Bujumbura, Dodoma, Kisumu nk.
View attachment 2838438
Katika hali ya kushangaza na kufurahisha kwa wakati mmoja, hatimaye jiji la Mwanza linaingia katika orodha ya majiji ya kisasa yenye miundombinu ya kisasa. Katika eneo la Mkuyuni , beams zimeanza kupanda juu kuashiria kuanza rasmi maandalizi ya kutengeneza njia ya reli ya SGR.
Daraja hili la juu linayaacha kiasi fulani majiji mengine Arrika mashariki kwa kupata daraja hili la juu. Baadhi ya majiji hayo ni Mbeya, Tanga, Arusha, Kigali Rwanda, Bujumbura, Dodoma, Kisumu nk.
Mkuu kama una makoneksheni ya kuingia hapo nitujuzane mkuu.
 
View attachment 2838438
Katika hali ya kushangaza na kufurahisha kwa wakati mmoja, hatimaye jiji la Mwanza linaingia katika orodha ya majiji ya kisasa yenye miundombinu ya kisasa. Katika eneo la Mkuyuni , beams zimeanza kupanda juu kuashiria kuanza rasmi maandalizi ya kutengeneza njia ya reli ya SGR.
Daraja hili la juu linayaacha kiasi fulani majiji mengine Arrika mashariki kwa kupata daraja hili la juu. Baadhi ya majiji hayo ni Mbeya, Tanga, Arusha, Kigali Rwanda, Bujumbura, Dodoma, Kisumu nk.
Ndio hilo hapo pichani?..... kawaida tu
 
Hapo ndio mwanzo wa daraja na ndio wameanza kuweka hizo beam! daraja ni refu la 1.4 km
Mkuu unajua maana ya daraja?
Unazungumzia nini hapa?
Soma kichwa cha mada yako na maelezo ya mada yako halafu rudia upya kuja kutetea.

Yaani SGR wanajenga tuta la kupitisha reli yao mjini wewe unasema ni daraja la treni, how?
 
Thats y wanaita watu wa Mwanza washamba but nvm
 
Mkuu unajua maana ya daraja?
Unazungumzia nini hapa?
Soma kichwa cha mada yako na maelezo ya mada yako halafu rudia upya kuja kutetea.

Yaani SGR wanajenga tuta la kupitisha reli yao mjini wewe unasema ni daraja la treni, how?
Acha ujuaji basi umeshafika pale ukaona?

Ni kwamba lile ni daraja la juu la sgr (viaduct) la 1.4 km kama lile limejengwa pale hapa dar na sio tuta kama unavyosema wewe.
 
Ndio hilo hapo pichani?..... kawaida tu
Hapo ni mwanzo wa daraja na ndio wameanza kuweka hizo beam.

Daraja likiisha litakuwa kama kwenye picha [emoji116]
images.jpg
 
View attachment 2838438
Katika hali ya kushangaza na kufurahisha kwa wakati mmoja, hatimaye jiji la Mwanza linaingia katika orodha ya majiji ya kisasa yenye miundombinu ya kisasa. Katika eneo la Mkuyuni , beams zimeanza kupanda juu kuashiria kuanza rasmi maandalizi ya kutengeneza njia ya reli ya SGR.
Daraja hili la juu linayaacha kiasi fulani majiji mengine Arrika mashariki kwa kupata daraja hili la juu. Baadhi ya majiji hayo ni Mbeya, Tanga, Arusha, Kigali Rwanda, Bujumbura, Dodoma, Kisumu nk.
Sijui ni Tanga ipi unayoizungumzia. Yapo madaraja kwa mfano gari zinapita juu, reli inapita chini inayoelekea/ kutoka bandarini, na jingine reli ya Tanga - Korogwe inapita juu, lami inapita chini maeneo ya Hale, ni kijijini sio mjini. Haya yako tangu enzi za ukoloni!

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
View attachment 2838438
Katika hali ya kushangaza na kufurahisha kwa wakati mmoja, hatimaye jiji la Mwanza linaingia katika orodha ya majiji ya kisasa yenye miundombinu ya kisasa. Katika eneo la Mkuyuni , beams zimeanza kupanda juu kuashiria kuanza rasmi maandalizi ya kutengeneza njia ya reli ya SGR.
Daraja hili la juu linayaacha kiasi fulani majiji mengine Arrika mashariki kwa kupata daraja hili la juu. Baadhi ya majiji hayo ni Mbeya, Tanga, Arusha, Kigali Rwanda, Bujumbura, Dodoma, Kisumu nk.

View attachment 2838438
Katika hali ya kushangaza na kufurahisha kwa wakati mmoja, hatimaye jiji la Mwanza linaingia katika orodha ya majiji ya kisasa yenye miundombinu ya kisasa. Katika eneo la Mkuyuni , beams zimeanza kupanda juu kuashiria kuanza rasmi maandalizi ya kutengeneza njia ya reli ya SGR.
Daraja hili la juu linayaacha kiasi fulani majiji mengine Arrika mashariki kwa kupata daraja hili la juu. Baadhi ya majiji hayo ni Mbeya, Tanga, Arusha, Kigali Rwanda, Bujumbura, Dodoma, Kisumu nk.
Mwanza inaupiga mwingiii muda si mrefu itaipita hadi Dar
 
Dah mtaa wangu huo mbele ya chake chake tumepiga boli sana hapo
 
Back
Top Bottom