Marandofficial
Senior Member
- Apr 21, 2023
- 157
- 63
Achaneni na mawazo ya njia nne, zinatakiwa zijengwe njia sita na kuendelea keyatta na Nyerere road.Inabidi upanuzi wa njia nne ufanyike kwa barabara hiyo, na hata hii ya mjini kuja Nyanguge.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achaneni na mawazo ya njia nne, zinatakiwa zijengwe njia sita na kuendelea keyatta na Nyerere road.Inabidi upanuzi wa njia nne ufanyike kwa barabara hiyo, na hata hii ya mjini kuja Nyanguge.
Huyo ni chawa kama chawa wengine tu.Mmmh!
Mleta mada wewe ni mshamba kweli kweli. Kuna kitu gani kipya cha ajabu hapo?
Kama ni daraja la juu la njia ya reli, kwa Kilimanjaro (Same kuelekea Mwanga) limekuwepo tangu Uhuru!
Mleta mada umewahi kufika Dodoma?
Hayo mabeam ya SGR kama hilo la Mwanza yapo tele, miaka kadhaa sasa, na bado hayajakamilika.
Mkuu, kwa Serikali ipi? Hata mbili ni changamoto. Hadi leo wameshindwa hata kupanua barabara ya mjini hadi Buhongwa, sembuse.Achaneni na mawazo ya njia nne, zinatakiwa zijengwe njia sita na kuendelea keyatta na Nyerere road.
...Mama Samia ? Ndio ameyatekeleza Haya ? Tutoe Sifa panapostahili... Hapahitaji UCHAWA ! [emoji846]...Sisi Wana Mwanza tunamshukru Sana mama Samia Kwa kweli
Mkuu, mbona unatusemea? Kwani sisi hatuna vidole?Sisi Wana Mwanza tunamshukru Sana mama Samia Kwa kweli
Yeah Inapendeza SanaaInapendeza...