Baada ya miaka 2000 hatimaye Mwanza yapata daraja la juu la kwanza

Huyo ni chawa kama chawa wengine tu.
 
Achaneni na mawazo ya njia nne, zinatakiwa zijengwe njia sita na kuendelea keyatta na Nyerere road.
Mkuu, kwa Serikali ipi? Hata mbili ni changamoto. Hadi leo wameshindwa hata kupanua barabara ya mjini hadi Buhongwa, sembuse.
 
HuYu jamaa hajatembea tembelea hata reli ya tazara madaraja hayo ni mengi mno zipo sehemu kama makambako gari inapitajuu treni chini flay over mbeya madaraja kama hayo yapo mawili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…