pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,660
- 6,282
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Situmii kileviLeo tunalewa
Weeeee jamaa wewe siyo bure utakuwa Mganda!!! Acha kuwapa watu preshaAnaongoza goli moja
Mmenunua mechiHawataki kuamini kwamba kama UG ni wababe wamekutana na wababe waliowazidi Mbinu.
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Wote CUF na FIFA Uganda wanacheza chini ya kiwango kupita kiasi.No kwamba huamini kwamba tumeshinda kihalali? Halafu ni FIFA au CAF?
Unaongea nini wewe?Hahahaah stars imebebwa hii match tuishukuru sana Uganda nawambia
Hadi wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]????
Uko sahihi! Lesotho naomba wasipate goli hadi mwisho ili Tz twende huko kwa mafarao Afcon tusafishe nyotaJamani wachezaji wetu walihitaji umma tu,hakika nawaapia tungekuwa nao tokea mwanzo.Basi nawaapia tungekuwa tunaongoza hili kundi.
Nimesema tunalewa sio unalewaSitumii kilevi
Roho ya korosho 🤣🤣🤣Kwa Sasa anaona aibuHahahaha bado uko na msimamo uleule[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app