Hahahhahhahaa embu acha kwanza hizo kuanzia kesho hela zipo mitaani!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeeeeeeeeeeeeaaaaaahhhhh tunaipenda sana ila basi tuuu yaani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]VIVAAAAAAAA Tanzania na Taifa Stars nchi yetu tunaipenda sana basi tu.
Furaha niliyonayo nisipo vua nguo sijui[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaniiiiii yeleuwiiiiiiii, kiruuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Hahahaha hahahaha hahaha acha kabisa yaani toka kipindi kile hata hatujazaliwa Leo ndo tunaenda wacha tufurahiiiiii!!!!!!!!! Haters wakaange sumu wale
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatujapa mshahara mkuu[emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241]
Kesho ni mapumziko ya kitaifa kusherehekea ushindi[emoji23][emoji23][emoji23]
Kulewa mkuuHutaki nini mrembo?
Tuanze kukusanya nauli mpwa ya kwenda misri [emoji28][emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mteule aombewe tena???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Hatuna huo muda kwa kweli.Vitu vyetu tunavyovitaka kuviombea siyo mtu tu azuke Watanzania mniombee. Tunamuangalia hivi [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]