Baada ya miaka 39, Taifa Stars yafuzu kucheza michuano ya AFCON 2019 baada ya uicharaza Uganda goli 3-0, Uwanja wa Taifa-Dar

Baada ya miaka 39, Taifa Stars yafuzu kucheza michuano ya AFCON 2019 baada ya uicharaza Uganda goli 3-0, Uwanja wa Taifa-Dar

Kichwa cha mwendawazimu no more?

“Tell her she is the noor of my eyes and the sultan of my heart.”



A Thousand Splendid Suns
 
Hongera Stars ila haya mashindano yamepunguzwa makali kwa kuongeza timu inabidi kila mara tuwe tunakuwenda hakuna visingizio hata kwa vichwa vya mwendawazimu
 
Hahahaha hahahaha hahaha acha kabisa yaani toka kipindi kile hata hatujazaliwa Leo ndo tunaenda wacha tufurahiiiiii!!!!!!!!! Haters wakaange sumu wale

Sent using Jamii Forums mobile app
Furaha niliyonayo nisipo vua nguo sijui[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaniiiiii yeleuwiiiiiiii, kiruuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!


The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
 
Back
Top Bottom