Wabongo mnaongea sana. Unapima ujazo wa uwanja kwa macho?Hapa taifa watu ni wengi sana haijawahi kutokea,kusema ukweli unaweza kuhisi kiingilio ni bure. Kama wote wataingia ndani uwanja HAUTOSHI KABISA HATA KWA MACHO TU UNAONA.
TFF kama mmeuza tiketi zaidi ya 60k jiandaeni kama kuna janga kitatokea. Bado lisaa tu lakini watu wengi sana.
Taifa stars pigeni mpira mashabiki warudi na furaha... Asante
Mwenye updates tunaomba tuweke hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hichi ndicho kinachonisikitisha zaidiHuu mpira tiyari washaingiza sihasa
Sent from my iPhone using Tapatalk
Download app ya TBC, Mimi nafaidi mechi kwa app yao.Kiongozi mm nahangaika kujiunga na DSTV online hapa, ila AzamTV wamefanya kitendo cha kisicho faa kabisa kibiashara, badala ya kuona fursa ya biashara wao wameona wafanye roho mbaya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hadi huku unakaanga sumu?Kila la Heri Uganda na Lesotho
Lazima tuwapige uganda usisahau baadae kurudi hapa uganda lazima watoke 0 sie 2Uganda tandika hao adi bashite arudi kwao kolomije Najua okwi hatatuangusha.
Hahaaa!! DaahUganda tandika hao adi bashite arudi kwao kolomije Najua okwi hatatuangusha.