Baada ya miaka 39, Taifa Stars yafuzu kucheza michuano ya AFCON 2019 baada ya uicharaza Uganda goli 3-0, Uwanja wa Taifa-Dar

Baada ya miaka 39, Taifa Stars yafuzu kucheza michuano ya AFCON 2019 baada ya uicharaza Uganda goli 3-0, Uwanja wa Taifa-Dar

Hapa taifa watu ni wengi sana haijawahi kutokea,kusema ukweli unaweza kuhisi kiingilio ni bure. Kama wote wataingia ndani uwanja HAUTOSHI KABISA HATA KWA MACHO TU UNAONA.
TFF kama mmeuza tiketi zaidi ya 60k jiandaeni kama kuna janga kitatokea. Bado lisaa tu lakini watu wengi sana.
Taifa stars pigeni mpira mashabiki warudi na furaha... Asante
Mwenye updates tunaomba tuweke hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wabongo mnaongea sana. Unapima ujazo wa uwanja kwa macho?
 
Uwanja umejaa na takribani watu 20,000 wapo nje. Mabomu ya machozi yamekuwa yakirindima sporadically. Watu wamekata ticket za Tshs.10,000 lakini nafasi ndani hakuna
 
Bado sijaona ushindani thabiti, mchezo bado umepooza.
 
Back
Top Bottom