Baada ya miaka 39, Taifa Stars yafuzu kucheza michuano ya AFCON 2019 baada ya uicharaza Uganda goli 3-0, Uwanja wa Taifa-Dar

Baada ya miaka 39, Taifa Stars yafuzu kucheza michuano ya AFCON 2019 baada ya uicharaza Uganda goli 3-0, Uwanja wa Taifa-Dar

Watanzania bwana mtu anashinda kwa juhudi zake sifa inapewa ccm
Mkiwa na kiongozi mkuu ambaye hataki siasa anataka kazi tu ,mambo yote hubadilika kutoka juu mpaka chini ,tofauti na tulivyokuwa tunaaminishwa na baadhi ya wasomi hasa Chadema kwamba rais hata akiwa mwizi ,mvivu mzururaji mambo yataenda tu kisa eti urais ni taasisi?

Katika sekta ya michezo asante Taifa stars, Simba na bondia Mwakinyo

Asante kasi ya Rais Magufuli.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkiwa na kiongozi mkuu ambaye hataki siasa anataka kazi tu ,mambo yote hubadilika kutoka juu mpaka chini ,tofauti na tulivyokuwa tunaaminishwa na baadhi ya wasomi hasa Chadema kwamba rais hata akiwa mwizi ,mvivu mzururaji mambo yataenda tu kisa eti urais ni taasisi?

Katika sekta ya michezo asante Taifa stars, Simba na bondia Mwakinyo

Asante kasi ya Rais Magufuli.

Sent using Jamii Forums mobile app
Akili za mtu makalio mpauko hizi. Umeoga jana?
 
Kwa jinsi Wachezaji walivyo, Taifa stars hawana genes za kuingia AfCON.
Lakini, Nakumbuka Jiwe, Aliwatema biti hawa Taifa stars wanapewa hela ya kujenga Timu wanapewa marupurupu kibao, kisha wanaenda kuuza Sura. Wanaishia kufungwa na timu zingine.
Wabongo wameanza kuogopa kuchezea hela ya Bwana Mkubwa kizembezembe. Biti linasaidia sana. Daadeki

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Group halikuwa jepisi wewe labda hufuatiliagi mpira Cape Verde unawajua vizuri wewe na Uganda je? Hawa wote sio size yetu labda Kesotho hvyo usiwe mgumu kupongeza. Kilichokuwa kinatuangusha sisi ni rushwa kila sehemu sasa wala rushwa wamedhibitiwa na JPM matunda tunayaona.
Cape Verde na Equatorial Guinea hawajawa consistency katika viwango vyao vya soka, kuna kipindi walikuwa juu sana, lakini ghafla wameporomoka sana.
 
Mkiwa na kiongozi mkuu ambaye hataki siasa anataka kazi tu ,mambo yote hubadilika kutoka juu mpaka chini ,tofauti na tulivyokuwa tunaaminishwa na baadhi ya wasomi hasa Chadema kwamba rais hata akiwa mwizi ,mvivu mzururaji mambo yataenda tu kisa eti urais ni taasisi?

Katika sekta ya michezo asante Taifa stars, Simba na bondia Mwakinyo

Asante kasi ya Rais Magufuli.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa jee?
FB_IMG_1550749919227.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ongera sana raisi wangu, umenitokea kunikosha sana kuona Timu inacheza vizuri, mungu akupe maisha marefu john Joseph pombe magufuri, ongera ccm kwa kazi nzuri mlioifanya taifa mpaka tumeibuka na ushindi
Hujielewi ndicho ninachoweza kusema. Ccm hapa unaiingizaje ?! Mnaharibu sana kuingiza siasa michezoni . Hata Fifa wanakataa jambo hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushindi wa goli 3 kwa 0 ilioupata timu ya taifa stars leo dhidi ya Uganda na hivyo kufuzu fainali za kombe la mataifa ya Nchi za African@ AFCON zitakazochezwa Misri mwezi June mwaka huu ni uthibitisho mwingine kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam mh Paul Makonda ni hadhina kwa taifa kwenye upangaji na usimamizi wa masuala ya kitaifa.

kwa faida ya wengi ni kwamba Mh Makonda alikuwa Mwenyekiti wa kamati ya kuiwezesha taifa stars kufuzu AFCON 2019 ambapo pamoja na mambo mengine ilikuwa na jukumu la kushirikiana na Uongozi wa timu kubuni mbinu na mikakati ya kiufundi ndani na nje ya uwanja, bila shaka kwa matokeo yaliyopatikana inahitaji kiburi na husuda na wivu kupinga kwamba hajafanikiwa.

Jukumu lingine kubwa lilikuwa ni kuhamasisha Watanzania kujitokeza kwa wingi uwanjani kuishangilia timu ili kuwapa nguvu na hamasa wachezaji ya kupambana na kushinda. Katika hili la kuhamisha watu kujitokeza tumpe Kongole Makonda kwa niaba ya kamati aliweza kuwaunganisha watu maarufu kutoka tasnia za muziki, filamu, wanamitindo, wanasiasa na kuwaomba kutumia vyombo vya habari ikiwemo mitandao ya kijamii kuhamisha wananchi na matokeo yake yameonekana uwanja ulijaa yaani zaidi ya watu 60,000 walikuwepo taifa.

Kwa kurejea baadhi ya mambo mengine mengi ambayo mhe Makonda amewahi kufanya;-

## kufanikisha kama kusaidia Walimu katika Mkoa wa Dar es salaam kupanda daladala bure,

## kufanikisha upatikanaji wa bima za afya @ toto kadi kwa mamia ya watoto ambao wametelekezwa na wazaz.

## kuwapatia viatu bandia walemavu, kuchangia matibabu ya wagonjwa mbalimbali nje ya Nchi.

## kusikiliza na kutatua kero mbalimbali za wananchi zinazohusu ardhi na kuwasaidia wakina mama hasa wajane waliodhurumiwa Nyumba na mashamba.

## kupanua huduma za kijamii kama vile ujenzi wa hospital Temeke, shule za sekondari na Msingi hivyo kuwawezesha wananchi na wanafunzi wengi kupata huduma.

Makonda ni binadamu pamoja na mafanikio hayo Lukuki aliyofanya katika kipindi kifupi ambacho amekuwa mkuu wa Mkoa yaweza kuwa kuna mapungufu ya hapa na pale amefanya lakini hayaondoi ukweli kwamba amejitanabaisha kuwa ni asset kwa taifa letu.
Makonda ni ZERO BRAIN uganda walishafuzu ndio maana jana wameweka kikosi cha pili siyo first eleven yao.Waganda wametubeba hakuna cha makonda wala wachezaji wetu.HUO NDIO UKWELI MCHUNGU
Makonda hajawahi fanikiwa lolote anajitahidi kuuza sura ili watu wasahau kesi yake ya kuiba vyeti

Lizaboni
 
Back
Top Bottom