Baada ya miaka 39, Taifa Stars yafuzu kucheza michuano ya AFCON 2019 baada ya uicharaza Uganda goli 3-0, Uwanja wa Taifa-Dar

Baada ya miaka 39, Taifa Stars yafuzu kucheza michuano ya AFCON 2019 baada ya uicharaza Uganda goli 3-0, Uwanja wa Taifa-Dar

Tuliambiwa huyo jamaa hajawahi kufanikiwa kwenye chochote I guess hili la kwanza.Motisha kwa wachezaji ni kitu kikubwa pia tuone kama hiyo kamati itatoa hiyo 10M kwa kila mchezaji
Ushindi huo tumepewa mkuu, Uganda uyu limpiga cape Verde nje ndanj na cape Verde yuko juu sana yetu,

Bashite huyu hatafanikiwa kitu asilani, juzi tu alisema kila mfanyabiashara awe na kitambulisho kisha amepotezea since then. Na hakuna kinachoendelea till now

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niwape hongera sana wachezaji wa timu ya Taifa na wananchi wote kwa ujumla kwa kuwapa moyo vijana wetu na hatimaye tumeuona ushindi

Hamasa iliyojengwa ilikuwa kubwa sana. Kuanzia vyombo vya habari, viongozi wa serikali, wa kisiasa na hata wa dini wote kwa pamoja wali wapa hamasa vijana wetu kuufikia ushindi wa leo

Kilichofanyika uwanjani kinadhihirisha kwamba kumbe watanzania si kwamba hatuwezi, ila huwa tunakosa kitu kidogo sana ambacho ni hamasa katika kile tukifanyacho

Ukiangalia kuanzia mechi ya juzi kati ya Simba na wale wakongo na hii ya leo utagundua kumbe tukitiwa moyo tunaweza kufika mbali

Katika tasnia ya ualimu, walimu wanasisitizwa kuwapa moyo na ku wahamasisha wanafunzi kujaribu na kufanya kwa kujiamini katika masomo yao bila kuwakatisha tamaa wala kuwacheka pale wanapokosea

Taifa Stars kushinda leo goli tatu kwangu mimi naona wamewapa somo kwa vitendo wale wote waliohusika kufanikisha hamasa iliyokuwepo kwamba wasisubiri mwishoni tu kuja kutia hamasa.

Na pia hili ni somo kwa viongozi wetu kwamba watu wao wakipewa motisha, wakihamasishwa kwa lugha nzuri ya upendo na ya ushindi vitu vitafanyika vizuri tu!

Binadamu hufanya kitu kizuri pale anapokuwa huru na anapopewa motivation hufanya vizuri zaidi!

Tuache lugha za vitisho kwa wafanyakazi wetu wa chini, tuache mikwara kwa tunaowaongoza badala yake tutumie lugha ya ki ungwana, lugha inayohamasisha mafanikio... hakika tutatoka hapa tulipo.

AFCON, NI ZAMU YETU

Sent using Jamii Forums mobile app


Washangiliaji na kamati ya ufundi hoyee.
 
Kama huwezi jua kuwa Rais anahusikaje hapo basi utakuwa na tatizo kubwa sana kwenye Ubongo wako wa kati Mkuu.
Timu yenyewe inaitwa Taifa stars jiulize ni Taifa lipi na Kiongozi wa hilo Taifa ni nani?
Hata kama ungekuwa wewe ndiye Rais tungekupongeza pia, acha wivu na Uchama uliokosa muelekeo.
 
Badala ya kuwasifu vijana waliocheza unamsifu makonda, kafunga mangapi kwani?
 
Umesahau alichangia 50m wewe umechangia nn mpaka ukereke?
Ondoa huu uharo wako bora hata JK kuliko JPM kwa upande wa Soccer alijitolea hadi kumlipa kocha kutoka brazil inafika wakati watoto wa kiume tuache unafki
 
Nakereka sana kila naposikia kila kiongozi anazungumza kuhusu hii mechi ya Taifa stars na Uganda akinza kwa kumpongeza rais wetu mpendwa Magufuli.
Nachojiuliza Magufuli anapewa pongezi ya kazi gani? Kati ya Magufuli na mashabiki na wachezaji ni nani wa kwanza kupewa pongezi?
Huu ni ujinga wapeni pongezi wachezaji na mashabiki kwa kufika na kucheza vizuri Magufuli hana hata chembe ya pongezi kwenye mchezo huu... Bora hata Makonda alikua kwenye kamati na kiki zake za msimu...


Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nasema wacha Magufuli ahusike tu na huu ushindi. Nasubiri pia kule Misri watakapobugizwa migoli nako wamhusishe. Wasimuweke kando.
 
Hakika kazi yako kwa kushirikiana na wenzako ndani ya kamati imekua ni ya mafanikio makubwa sana,hongera sana.

Kuna kundi lilikupania ile mbaya kwa matusi na kashifa ,limeishiwa nguvu,hakika wewe ni kiongozi makini,you walk the talk.


Sent using Jamii Forums mobile app
Mnashindwa kumpongeza coach mnampongeza Makonda wakati kazi ngumu kafanya kocha ndio amewandaa kisaikolojia, ndio anajua wamekula nini kila siku kambini, ndio anajua wamelala vipi, ndio anahangaika nao mazoezini kwenye jua Kali lakini mmeona Makonda ndio wa kupongezwa Kwa sababu anaonekana kwenye TV na kuwaahidi mashabiki kunywa bure.
Hii nchi hapo ndio huwa tunakosea wapo watu wengi wanafanya kazi nzuri lakini wanaopata sifa ni wanasiasa wale wataalam waliofanya hiyo kazi hata kujulikana hawajulikani.
 
ac
Wala siyo siri mkuu! Dogo ni jembe sana! Watu oooh mpira hauhitaji siasa mara oooh Makonda anaingilia nini nini lakini ukweli ni kuwa mtu yoyote akiwa fully encouraged anaweza kufanya wonders kama ilivotokea leo. Ni maajabu ya dunia Taifa stars kuipiga tatu bila the Cranes! Shikamoo Makonda.

Sent using Jamii Forums mobile app
acheni kuongea maneno ya ajabu ajabu kama kina Juma lokole, ni encouragement gani unayoizungumzia wewe??

ulisahau Marcio Maximo alikua analipwa mshahara na Ikulu? what happened??

usitake tuongee sana watu bado tunamtafakari maalim Seif
 
Ushindi wa goli 3 kwa 0 ilioupata timu ya taifa stars leo dhidi ya Uganda na hivyo kufuzu fainali za kombe la mataifa ya Nchi za African@ AFCON zitakazochezwa Misri mwezi June mwaka huu ni uthibitisho mwingine kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam mh Paul Makonda ni hadhina kwa taifa kwenye upangaji na usimamizi wa masuala ya kitaifa.

kwa faida ya wengi ni kwamba Mh Makonda alikuwa Mwenyekiti wa kamati ya kuiwezesha taifa stars kufuzu AFCON 2019 ambapo pamoja na mambo mengine ilikuwa na jukumu la kushirikiana na Uongozi wa timu kubuni mbinu na mikakati ya kiufundi ndani na nje ya uwanja, bila shaka kwa matokeo yaliyopatikana inahitaji kiburi na husuda na wivu kupinga kwamba hajafanikiwa.

Jukumu lingine kubwa lilikuwa ni kuhamasisha Watanzania kujitokeza kwa wingi uwanjani kuishangilia timu ili kuwapa nguvu na hamasa wachezaji ya kupambana na kushinda. Katika hili la kuhamisha watu kujitokeza tumpe Kongole Makonda kwa niaba ya kamati aliweza kuwaunganisha watu maarufu kutoka tasnia za muziki, filamu, wanamitindo, wanasiasa na kuwaomba kutumia vyombo vya habari ikiwemo mitandao ya kijamii kuhamisha wananchi na matokeo yake yameonekana uwanja ulijaa yaani zaidi ya watu 60,000 walikuwepo taifa.

Kwa kurejea baadhi ya mambo mengine mengi ambayo mhe Makonda amewahi kufanya;-

## kufanikisha kama kusaidia Walimu katika Mkoa wa Dar es salaam kupanda daladala bure,

## kufanikisha upatikanaji wa bima za afya @ toto kadi kwa mamia ya watoto ambao wametelekezwa na wazaz.

## kuwapatia viatu bandia walemavu, kuchangia matibabu ya wagonjwa mbalimbali nje ya Nchi.

## kusikiliza na kutatua kero mbalimbali za wananchi zinazohusu ardhi na kuwasaidia wakina mama hasa wajane waliodhurumiwa Nyumba na mashamba.

## kupanua huduma za kijamii kama vile ujenzi wa hospital Temeke, shule za sekondari na Msingi hivyo kuwawezesha wananchi na wanafunzi wengi kupata huduma.

Makonda ni binadamu pamoja na mafanikio hayo Lukuki aliyofanya katika kipindi kifupi ambacho amekuwa mkuu wa Mkoa yaweza kuwa kuna mapungufu ya hapa na pale amefanya lakini hayaondoi ukweli kwamba amejitanabaisha kuwa ni asset kwa taifa letu.

asset kwa mkewe pamoja babako na mamako (in Kibonde’s voice RIP brother)
 
Kàfunga magoli mangapi?
Ushindi wa goli 3 kwa 0 ilioupata timu ya taifa stars leo dhidi ya Uganda na hivyo kufuzu fainali za kombe la mataifa ya Nchi za African@ AFCON zitakazochezwa Misri mwezi June mwaka huu ni uthibitisho mwingine kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam mh Paul Makonda ni hadhina kwa taifa kwenye upangaji na usimamizi wa masuala ya kitaifa.

kwa faida ya wengi ni kwamba Mh Makonda alikuwa Mwenyekiti wa kamati ya kuiwezesha taifa stars kufuzu AFCON 2019 ambapo pamoja na mambo mengine ilikuwa na jukumu la kushirikiana na Uongozi wa timu kubuni mbinu na mikakati ya kiufundi ndani na nje ya uwanja, bila shaka kwa matokeo yaliyopatikana inahitaji kiburi na husuda na wivu kupinga kwamba hajafanikiwa.

Jukumu lingine kubwa lilikuwa ni kuhamasisha Watanzania kujitokeza kwa wingi uwanjani kuishangilia timu ili kuwapa nguvu na hamasa wachezaji ya kupambana na kushinda. Katika hili la kuhamisha watu kujitokeza tumpe Kongole Makonda kwa niaba ya kamati aliweza kuwaunganisha watu maarufu kutoka tasnia za muziki, filamu, wanamitindo, wanasiasa na kuwaomba kutumia vyombo vya habari ikiwemo mitandao ya kijamii kuhamisha wananchi na matokeo yake yameonekana uwanja ulijaa yaani zaidi ya watu 60,000 walikuwepo taifa.

Kwa kurejea baadhi ya mambo mengine mengi ambayo mhe Makonda amewahi kufanya;-

## kufanikisha kama kusaidia Walimu katika Mkoa wa Dar es salaam kupanda daladala bure,

## kufanikisha upatikanaji wa bima za afya @ toto kadi kwa mamia ya watoto ambao wametelekezwa na wazaz.

## kuwapatia viatu bandia walemavu, kuchangia matibabu ya wagonjwa mbalimbali nje ya Nchi.

## kusikiliza na kutatua kero mbalimbali za wananchi zinazohusu ardhi na kuwasaidia wakina mama hasa wajane waliodhurumiwa Nyumba na mashamba.

## kupanua huduma za kijamii kama vile ujenzi wa hospital Temeke, shule za sekondari na Msingi hivyo kuwawezesha wananchi na wanafunzi wengi kupata huduma.

Makonda ni binadamu pamoja na mafanikio hayo Lukuki aliyofanya katika kipindi kifupi ambacho amekuwa mkuu wa Mkoa yaweza kuwa kuna mapungufu ya hapa na pale amefanya lakini hayaondoi ukweli kwamba amejitanabaisha kuwa ni asset kwa taifa letu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nisiwe mnafki ..

Kwa maslahi mapana ya taifa hili kimataifa ni vyema tufungwe na Uganda ili kuepukana na aibu pamoja na fedheha hapo mwakani AfCON

Miaka michache iliyopita tulifungwa 7 kwa 0 na hakukuwepo na jitihada zozote za kuridhisha ili kuzuia tukio kama hilo lisitokee tena

mpuuzi wewe
 
Ushindi wa goli 3 kwa 0 ilioupata timu ya taifa stars leo dhidi ya Uganda na hivyo kufuzu fainali za kombe la mataifa ya Nchi za African@ AFCON zitakazochezwa Misri mwezi June mwaka huu ni uthibitisho mwingine kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam mh Paul Makonda ni hadhina kwa taifa kwenye upangaji na usimamizi wa masuala ya kitaifa.

kwa faida ya wengi ni kwamba Mh Makonda alikuwa Mwenyekiti wa kamati ya kuiwezesha taifa stars kufuzu AFCON 2019 ambapo pamoja na mambo mengine ilikuwa na jukumu la kushirikiana na Uongozi wa timu kubuni mbinu na mikakati ya kiufundi ndani na nje ya uwanja, bila shaka kwa matokeo yaliyopatikana inahitaji kiburi na husuda na wivu kupinga kwamba hajafanikiwa.

Jukumu lingine kubwa lilikuwa ni kuhamasisha Watanzania kujitokeza kwa wingi uwanjani kuishangilia timu ili kuwapa nguvu na hamasa wachezaji ya kupambana na kushinda. Katika hili la kuhamisha watu kujitokeza tumpe Kongole Makonda kwa niaba ya kamati aliweza kuwaunganisha watu maarufu kutoka tasnia za muziki, filamu, wanamitindo, wanasiasa na kuwaomba kutumia vyombo vya habari ikiwemo mitandao ya kijamii kuhamisha wananchi na matokeo yake yameonekana uwanja ulijaa yaani zaidi ya watu 60,000 walikuwepo taifa.

Kwa kurejea baadhi ya mambo mengine mengi ambayo mhe Makonda amewahi kufanya;-

## kufanikisha kama kusaidia Walimu katika Mkoa wa Dar es salaam kupanda daladala bure,

## kufanikisha upatikanaji wa bima za afya @ toto kadi kwa mamia ya watoto ambao wametelekezwa na wazaz.

## kuwapatia viatu bandia walemavu, kuchangia matibabu ya wagonjwa mbalimbali nje ya Nchi.

## kusikiliza na kutatua kero mbalimbali za wananchi zinazohusu ardhi na kuwasaidia wakina mama hasa wajane waliodhurumiwa Nyumba na mashamba.

## kupanua huduma za kijamii kama vile ujenzi wa hospital Temeke, shule za sekondari na Msingi hivyo kuwawezesha wananchi na wanafunzi wengi kupata huduma.

Makonda ni binadamu pamoja na mafanikio hayo Lukuki aliyofanya katika kipindi kifupi ambacho amekuwa mkuu wa Mkoa yaweza kuwa kuna mapungufu ya hapa na pale amefanya lakini hayaondoi ukweli kwamba amejitanabaisha kuwa ni asset kwa taifa letu.
Unamfunga maiti unasema unajua mpira? Uganda haina mpira wa kujivunia kuwa nimemfunga fulani! Nenda West /North Africa then, nitasema kuna improvement kwente timu.
 
Back
Top Bottom