Baada ya miaka 39, Taifa Stars yafuzu kucheza michuano ya AFCON 2019 baada ya uicharaza Uganda goli 3-0, Uwanja wa Taifa-Dar

Kwenye mpira nagoma na nafanya kiburi kabisa!
Watanzania kwa mpira wala hatuhitaji wanasiasa au watu wasioujua mpira kutuhamasisha!
Yaani mm Shilole Wema sepetu wanihamasishe kushangilia timu yangu ya Taifa?watu ambao hata mashindano yenyewe hawayajui?watu ambao wao wenyewe wanaulizana kuwa mashindano haya si ndio wanayoshindana Simba?
Nakataa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata ungepewa wewe jukumu lile la kuhamasisha ungeshindwa?

Funzo kwa maccm Magufuli akiwa muungwana Taifa linaweza kusimama pamoja kama jana, aache kuwagawa Watanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyinyi mlijigawa kitambo sana ndio maana kabla ya mechi dua zilikua ni Tanzania ifungwe. So uliowaona jana uwanjani na waliokuwemo humu ni watanzania ambao mda wote huwa wanawapuuza. Huwa nasema Tanzania ni kubwa zaid ya jf,usijifungie humu ukaja na propaganda zako eti taifa limegawanyika. Majibu umeyaona jana na 2020 somo ni hilihili

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Huoni jinsi Magufuli alivyopambana a rushwa kwenye michezo?

Akina Malinzi wako wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kamsikilize Chief Coach wa Uganda..alisema wachezaji wake hawakuwa motivated baada ya kuwa walishaqualified.. Bashite hatabaki kuwa Zero..
hakuna mtu asiependa ushindi na kuweka ka historia cha kutokufungwa mech hata moja sema jana tuliwazidi kila kitu kuanzia uwanjani nje ya uwanja hadi uwanjani wachezaji na hayo ni maneno tu ya kocha na je wangetufunga angesema hvyo?
 
Nijuavyo mimi
1. Msuva 21'
2. Nyoni 51'
3. Agrey Morris 57'

Wakati vijana hawa wakiyafanya haya, Mungu alikuwa upande wetu Uganda hawakuchezesha full squad na kule Cape Verde FT 0-0

Kama kuna mwingine alifunga goli zaidi ya hawa basi tunapoenda Egypt tusimsahau.
 
kwani 1.5trilioni zimepotea kipindi cha rais gani?
Hizo 1.5T umetumia ripoti ya zito au CAG?

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
CAF wameongeza timu za kushirik AFCON ndo mana tumepita wengi, mbona huyo mtu wako alivyopiga bit ndo tukaenda kufungwa, punguzen kulamba ndala za watawala

Sent using Jamii Forums mobile app
Defence mechanism

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
usishau na ushindi huu....

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…