iombee Nchi Yako Mema Ata Mara Moja!Uganda wanawasoma kwanza kawaida ushindi wa the cranes ni kipindi cha pili kama wakiwa ugenini,nawatakia Uganda ushindi wa goli 3-1 bar zifungwe baada ya mechi.
Watu mbona Hampendi Kubari Vyakwenu!Hamna kitu Uganda wametuachia sanaaaa.
Usitusababishia ban,pumbavu mkubwa weweCHADEMA wanashabikia Uganda leo wanadhalilika
Uganda piga hao Wadanganyika goli 3 - 1 waende wakalewe walevi wakubwa hawa.iombee Nchi Yako Mema Ata Mara Moja!
Huwez Jua kesho Inaeza Kukusaidia!
Tunaweza Shinda Tukaionje Afcon!
Na wakishindwa?Taifa Stars Wakishinda CCM wameshinda
Hamtaki kuambiwa ukweli kiwango cha Uganda nakifahamu wanafanya makosa ya makusudi kabisa ili stars ifunge magoli we kipofu niniWatu mbona Hampendi Kubari Vyakwenu!
Uganda wameishakoHamtaki kuambiwa ukweli kiwango cha Uganda nakifahamu wanafanya makosa ya makusudi kabisa ili stars ifunge magoli we kipofu nini
Inamaana maombi yangu yanataka kuota mbawa?Dakika ya 30
Taifa Stars 1 Uganda 0 (Msuva 20')
Cape verde 0 Lesotho 0
Sent using Jamii Forums mobile app
💪💪