usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,956
- 14,032
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaombea mwenzako ashindwe ili wewe upite.
Huu ni ushirikina tosha
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaombea mwenzako ashindwe ili wewe upite.
Huu ni ushirikina tosha
Hapana mkuu chama kimeingiaje hapa ninacho pinga ni ulevi utakaotokea na uharibifu wa mali na amani,amani yanngu haikubali kabisa mambo ya ulevi.CHA.dema majizi hayana nafasi awamu ya tano, ndio mashabiki ya UGANDA hayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ww unafkir unaachiwa tu ndeeeee vle unafkiriaIvi Tungeachiwa Si Tungekua Na Matano Mpaka Sa Ivi!
Mbona Vijana Wanacheza.
Umeona eeh
Ila waganda kama wanatuachia achia vile.
Ivi Tungeachiwa Si Tungekua Na Matano Mpaka Sa Ivi!
Mbona Vijana Wanacheza.
Karuka kwa kasi kwenda juu halafu kanyoosha mkono pembeni kishahidi!!haaa haaa haaaaHongera Stars japo ule urukaji wa Denis Onyango unatia shaka.
Acha roho mbaya weweWaganda mtashtukiwa sasa daah.mnatuachia sanaa
Ila waganda kama wanatuachia achia vile.
Pacha uko vizuriGooooooooooal
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Kusema ukweli wangekuwa hawajaqualify mambo yasingekuwa hivi yalivyo.Wanatuachia mbona ipo wazi kabisaa.