Mimi natumia Android. Hivyo kwa IOS sijui.Kwenye IOS hamna TBC app, labda wawe wanatumia jina jingine tusaidie kiongozi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi natumia Android. Hivyo kwa IOS sijui.Kwenye IOS hamna TBC app, labda wawe wanatumia jina jingine tusaidie kiongozi.
Haya Wacha Watuachie! Majirani Zao Wakitusaidia Sio Mbaya!Weweee huijui Uganda wewe
Wanatuachiaje? Kwao tulitoka 0-0 kila mtu ashinde kwaoWanatuachia mbona ipo wazi kabisaa.
Wewe kama sio mchawi wewe, sijui..Hamtaki kuambiwa ukweli kiwango cha Uganda nakifahamu wanafanya makosa ya makusudi kabisa ili stars ifunge magoli we kipofu nini
Acha tufuzu,ila kule tunakoenda itakuwa ni aibu tupu.Karuka kwa kasi kwenda juu halafu kanyoosha mkono pembeni kishahidi!!haaa haaa haaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa UTAKUA MCHAWIWaganda mtashtukiwa sasa daah.mnatuachia sanaa
Kusema ukweli wangekuwa hawajaqualify mambo yasingekuwa hivi yalivyo.
Sahihi kabisa...kuna ubinadamu unafanyika,lakini Uganda wakisema wacheze ule mpira wao tutakimbiana humu...Kusema ukweli wangekuwa hawajaqualify mambo yasingekuwa hivi yalivyo.
Tena yangekuwa zaidi ya hivi. Waganda ni wahivyohivyo mbona kwao walishindwa kutufunga wakati walikuwa hawajaqualifyKusema ukweli wangekuwa hawajaqualify mambo yasingekuwa hivi yalivyo.
Wewe kama sio mchawi wewe, sijui..
Mbona ZBC2 ipo?
Acha ulalamishi..!
Ungewaeleza tbcssm waonyeshe live
Sent using Jamii Forums mobile app
Huna maana kwetu, potelea mbili.Uganda piga hao Wadanganyika goli 3 - 1 waende wakalewe walevi wakubwa hawa.