Baada ya miaka 39, Taifa Stars yafuzu kucheza michuano ya AFCON 2019 baada ya uicharaza Uganda goli 3-0, Uwanja wa Taifa-Dar

Baada ya miaka 39, Taifa Stars yafuzu kucheza michuano ya AFCON 2019 baada ya uicharaza Uganda goli 3-0, Uwanja wa Taifa-Dar

Hata wakituachia goli 50 Uganda anaongoza kundi keshapita hana cha kupoteza after all ni majirani zetu nadhani unajua hata museveni siku tunacheza pale Kampala alisema hataki Uganda ishinde wala stars kwakua zote ni timu zake.hujapata picha tu
Mechi ilipangwa, waganda walikuwa hawana cha kupoteza, Museven mwenyewe mechi ya kwanza alifurahi kwa droo na kusema timu zote ni za nyumbani. Ingekuwa kwenya ungejua ujirani ukoje.
Mm naioenda stars ila natokeo yetu ni ya ujirani mwema.
 
Kwani beer ni nusu bei na mikoani?Taifa Stars ni timu ya Dar es Salaam mkae mkijua
 
Huna akili wewe chura
Wana Jf,

Maendeleo hayana chama ndio ninachoweza kusema kilichotokea kwenye mpira Leo

Shukrani kwa mheshimiwa Makonda pia kwa uhamasishaji,

Rais magufuli wengi walijaribu lakini yeye ameweza ,aliwekeza kwa kocha, matunda yanaonekana

Kuna watu waliombea tufungwe lakini tumeshinda Kama watanzania

Chuki kwa viongozi hazitujengi, Tupongeza yanapofanyika mema

In God we trust
 
Mechi ilipangwa, waganda walikuwa hawana cha kupoteza, Museven mwenyewe mechi ya kwanza alifurahi kwa droo na kusema timu zote ni za nyumbani. Ingekuwa kwenya ungejua ujirani ukoje.
Mm naioenda stars ila natokeo yetu ni ya ujirani mwema.
Kwahiyo na Lesotho nao tuliwapanga!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom