wakatanta
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 2,594
- 3,158
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
12Hivi Makonda alicheza Number ngapi ?
Hayo ndiyo madhara ya kutojiamini. Kama wewe hujiamini wengine wanajiamini sana tu. Kufungwa ni bahati mbaya hakuna timu inayokwenda kwenye mashindano ili ifungwe!Nisiwe mnafki ..
Kwa maslahi mapana ya taifa hili kimataifa ni vyema tufungwe na Uganda ili kuepukana na aibu pamoja na fedheha hapo mwakani AfCON
Miaka michache iliyopita tulifungwa 7 kwa 0 na hakukuwepo na jitihada zozote za kuridhisha ili kuzuia tukio kama hilo lisitokee tena
Tusaidie kufahamuBig up Taifa Stars!
Nyongeza; Yale mazungumzo ya m7 na ndugu yake yaliyuhusu nini haswa!
Sent using Jamii Forums mobile app
We falatyuu!Kwa kuwa Babaako na mamaako ni mafala usidhani ni kila mtu zwazwa wewe.
[emoji23]Mteule aombewe tena???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Hatuna huo muda kwa kweli.
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Hahaa
[emoji23]Vitu vyetu tunavyovitaka kuviombea siyo mtu tu azuke Watanzania mniombee. Tunamuangalia hivi [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
😃😃wataandamana kumpongeza kwa ushindiMteule aombewe tena???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Hatuna huo muda kwa kweli.
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Big Brain? Lmfao.
Hana la maana alilofanya.
Tatizo la nyie watanzania ni average thinkers ndio maana kitu ambacho ni obvious mnaita big brain.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bocco game za club bingwa zimemfanya awe moto maana mara nyingi huwa anakosa kosa so siku hizi ni mzee wa ku assist tu wayaaaLeo nimemkubali sana John Bocco