Mbona uongelee masuala ya kuimba na kunywa asali tu, binguni wakatoliki wanavo aminisha waamini wao,Mm Bado nafanyia utafiti kuhusu hii issue ya bikra 72 nikigundua ni kweli na sio fiksi basi naslim faster ,
Imagine utamu unaoupata ukichakata bikra mmoja kesho unaambiwa unakabidhiwa 72 na nguvu za uchakataji unapewa maradufu How Do your Dudu fee? Ila hapo sijajua kwamba ukishabikir unaletewa zingine 72 au zile 72 za mwanzo zinarudishwa kwenye default mode?
Issue ya kuimba na kunywa asali kwangu sio kipaumbele mkuu.Mbona uongelee masuala ya kuimba na kunywa asali tu, binguni wakatoliki wanavo aminisha waamini wao,
Mkuu unataka kapigia dini za watu jinsi ya kuhubarishani mambo muhimu kwao, sisi waaislamu tunaamini Dini peke inao kubalika mbele ya Mungu ni uislamu, na nijikumu la muislamu kusilimisha wale ambao wako gizani kurudi kwenye dini yao ya asili, tutaulizwa siku ya mwisho iliweke juhudi gani kusambaza ukweli wa dini ya haki.nisikilize mvunja barafu,
dini zikiendekeza habari za namna hii, zitajenga chuki, dini zinatakiwa zi'co-exist'
uislamu sio ukweli pekee kwenye hii dunia
dini zijikite kwenye kutangaza mafundisho yake tu
Mkuu mbona hapo unajigonga mwenyewe, wewe Dini gani yenye Miungu watatu, na ukafikiria ina ukweli wowote?Hakuna dini ya kweli, zote zimeundwa tu na binadamu. Ila Waislamu hawamgawi Mungu sehemu tatu kama wakristu.
Si bure, hilo zungu kuna utafiti wa kitheolojia linafanya, at the end litarudi kwenye u othodox wake
Kwanini zijenge chuki? Unazungumzia chuki zipi hasa? Je hizo chuki sasa hivi hazipo?nisikilize mvunja barafu,
dini zikiendekeza habari za namna hii, zitajenga chuki, dini zinatakiwa zi'co-exist'
uislamu sio ukweli pekee kwenye hii dunia
dini zijikite kwenye kutangaza mafundisho yake tu
Dini ya asili?Mkuu unataka kapigia dini za watu jinsi ya kuhubarishani mambo muhimu kwao, sisi waaislamu tunaamini Dini peke inao kubalika mbele ya Mungu ni uislamu, na nijikumu la muislamu kusilimisha wale ambao wako gizani kurudi kwenye dini yao ya asili, tutaulizwa siku ya mwisho iliweke juhudi gani kusambaza ukweli wa dini ya haki.
Mbona unakua na akili nzito hivyo?Lengo langu ni kuwaeleza nwacheni kuleta habari ndogo kama hizi
Post mambo ya uchumi, siasa nk
Sasa wewe kunatuletea habari za mtu kuhama dini
ustaadh upo?Jikite kwenye mada,au anzisha mada yako kuhusu hili,tutakuja kuchangia,
Naona uzi umekuuma sana mpaka unatafuta njia za kujifariji,
Kila mtu yupo huru kuamini anachokiamini,
Heshimu maamuzi ya watu.
Me nawasaidia hapa jukwaani watu wanawashangaa mnaleta habari za watu kubadili diniMbona unakua na akili nzito hivyo?
JF kuna majukwaa ya aina mbali mbali na kuna mada mbali mbali,
Nenda kwenye mada unazoona wewe zinakufaa na ni mada za maana,
Huna authority ya kupangia watu hapa JF wapost nini na wasipost nini,
Pole sana kwa kuumia kisa huyo kiongozi kubadili dini.
Checheche🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tuna habarishana tu, ili tukumbushane kwamba binaadamu wote walizaliwa wakiwa waislamu isipo kua hubadilishwa dini yao ya asiri na wazazi wao, lakini kabla ya kiama wengi watalejea kwenye dini yao ya asili, kwa mjibu wa Qur"an tukufu.
zitajenga chuki kwa kuleta mashindano ya nani kapata wafuasi wapya wengi?Kwanini zijenge chuki? Unazungumzia chuki zipi hasa? Je hizo chuki sasa hivi hazipo?
Nilichokigundua hapa ni kwamba,watu wameshindwa kuheshimu maamuzi ya hiyo kiongozi wa dini,
Kwahiyo mtu kutumia uhuru wake wa kuabudu ni kosa?
Kwa utumishi wa zaidi ya miaka 40 kama padri mkuu wa kanisa ya orthodox David Gould, kwa sasa anaitwa kwa majina ya Abdul Rahman amekua Muislamu rasmi.
Na hili limeanza baada ya kuenda Perth kuudhuria msiba wa ndugu yake, roho mtakatifu kamshukia na kujikuta kwenye mskiti wa eneo, (village mosque) na kulazimika kuomba mungu amuongoze kupata dini ya ukweli na haki.
Roho mtakatifu ikamsisitizia kwamba Uislamu ndo dini ya kweli katoa shahada na kua muislamu na sasa imeenda ku hijji kufanya umra nchini Saud Arabia, kuongeza shahadah yake.
My worry ni hi hapa, hawa watu wetu wanao amini sanaa wazungu kwa kila jambo, sasa wazungu wa meeanza kuamini Uislamu bàada ya kuona uislamu ndo njia peke ya ukweli dini zingine ni utapeli na ushogaa watafanya je?
View attachment 3185351
Kwa utumishi wa zaidi ya miaka 40 kama padri mkuu wa kanisa ya orthodox David Gould, kwa sasa anaitwa kwa majina ya Abdul Rahman amekua Muislamu rasmi.
Na hili limeanza baada ya kuenda Perth kuudhuria msiba wa ndugu yake, roho mtakatifu kamshukia na kujikuta kwenye mskiti wa eneo, (village mosque) na kulazimika kuomba mungu amuongoze kupata dini ya ukweli na haki.
Roho mtakatifu ikamsisitizia kwamba Uislamu ndo dini ya kweli katoa shahada na kua muislamu na sasa imeenda ku hijji kufanya umra nchini Saud Arabia, kuongeza shahadah yake.
My worry ni hi hapa, hawa watu wetu wanao amini sanaa wazungu kwa kila jambo, sasa wazungu wa meeanza kuamini Uislamu bàada ya kuona uislamu ndo njia peke ya ukweli dini zingine ni utapeli na ushogaa watafanya je?
View attachment 3185351
Kuna utofauti wa kwenda kwa sangoma na KUJISALIMISHA KWA MUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU NA VYOTE VILIVYOMO AMBAYE HAJAZALIWA , HANA MKE , HANA MTOTO WALA HANA WA KUFANANA NAYE .Huwa mnatafuta ukubwa fake
Sasa mtu kukengeuka nakujiunga na dini yenu ni habari ya kuleta Uzi.
Watu wanaenda hadi Kwa sangoma na Sangoma yupo kimya Haji kutamba
Islam is the "mother" of all religions of the world. Dini ya asiliDini ya asili?
Dini ni Nini?
Asili ni nini?